Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Baada ya kusoma maelezo ya mwanzo na replies zako kwa maswali na comments za wakuu mbalimbali katika uzi huu, na kama nimeelewa vizuri kuhusu umri wako, kuna sehemu umesema unataka uwe na kampuni 5 kabla ya kufika miaka 25, ikiwa na maana hujafikisha miaka 25. Hii inanipa shida kuamini kwamba uko below 25, au labda sijaelewa vizuri kuhusu hilo la kabla ya 25 years. Mkuu kama hutojali, ufafanuzi pls.
 
Boss sijui hasa swali lako ulikua unamaanisha nini. Sijawahi kufanya biashara yoyote na USA, na kwasasa sitegemei any soon. Lakini nimewahi kuagiza vitu kadhaa kutoka USA lkn kutumia eBay.

Kuhusu kujuana na mUSA na kunisaidia kibiashara... iko hivi nilikutana na Prof. Thom Jayne huyu ni Foundation professor kutoka Michigan State university na Director wa Alliance for African Partnership.

Alinipa mchongo m1 wa kuniunganisha na prof Sianga wa Eldoret university, tukaingia mkataba wa wao kufanya research kwenye kuku wangu kwenye kudevelop Probiotics an alternative to antibiotics. So nakula faida mara 2, kulipwa na hawa watu wa research na kuuza products zng.

Hp nikiwa na Prof JaneView attachment 512885
 
Samahani boss nililipita swali lako.

Mahindi natumia mbegu ya East African Hybrid seed, hii inatoka Kenya.

Mpunga nilinunua mbegu kutoka NAFCO.
Mkuu mahindi yako umewahi kuuza kwenye mashine za kusaga na kukuboa? Maana huwa wanataratibu za kupima wastani wa mahindi kama mahindi ni mbegu ya kisasa huwa yanasumbua sana kuyauza
 
Boss sijui hasa swali lako ulikua unamaanisha nini. Sijawahi kufanya biashara yoyote na USA, na kwasasa sitegemei any soon. Lakini nimewahi kuagiza vitu kadhaa kutoka USA lkn kutumia eBay.

Kuhusu kujuana na mUSA na kunisaidia kibiashara... iko hivi nilikutana na Prof. Thom Jayne huyu ni Foundation professor kutoka Michigan State university na Director wa Alliance for African Partnership.

Alinipa mchongo m1 wa kuniunganisha na prof Sianga wa Eldoret university, tukaingia mkataba wa wao kufanya research kwenye kuku wangu kwenye kudevelop Probiotics an alternative to antibiotics. So nakula faida mara 2, kulipwa na hawa watu wa research na kuuza products zng.

Hp nikiwa na Prof JaneView attachment 512885
Aisee, sasa kwa kijana ambaye ni mgeni kwenye ishu za ujasiliamali, namaanisha hajakomaa vizuri,
wewe kama wewe unamshauri atumie njia ipi kati ya hizi tatu kwa kuanzia(yenye afadhali)
Forex, kilimo, ufugaji(natambua unauzoefu nayo thats why nimekuuliza kuhusu hayo)
 
Ruvuma mbali boss wng.

Watu wengi wanalima mihogo pwani ambapo ni karibu na Dar. Ukiweza kujaza canter na kuleta Buguruni, Dar, wala huiti wateja. But mimi hua nauzia shamba - tunamalizana porini, bugudha za mjini sitaki.
Na vipi kuhusu mbegu za mhogo boss ?
 
Swali la ziada, ONTARIO je, una kipaji chochote? umeshawahi kukitumia kipaji chako kwa njia yoyote ile?
 
Siku zote nna amini mimi ni mbegu iliyo jangwani na inahitaji tone la mvua tu ili iote!

Jangwani kuna shortage ya mvua and no matter how i tried to germinate i found my self with no water! Good news is am still trying and i will never give up!!

Imani yangu ni kwamba kuna siku mvua itanyesha na ikinyesha tu ntaanza kuota na nianza kuota cha kwanza kufanya ni kuhahakikisha mizizi yangu inafika mpaka chini kabisa ardhini kuhakikisha napata maji ili hata mvua ikiisha jangwani basi nitumie maji ya ardhini!

Nikiota nitahakikisha nakua kwa kasi kubwa kabisa kuhakikisha matawi yangu yanatoa kivuli ili wenzangu waliopo jangwani na ambao bado hawajaota kama mimi wapate walau kivuli changu!

Ni swala la muda tu! Nachukia hali ngumu ya jangwani! Nikiota nitahakikisha sirudi tena kwenye ukame...na nitajitahidi mbegu na matawi yangu vilifunike jangwa kwa kivuli ili siku moja jangwa lipotee kabisa!!

Kwa atakayepita hapa please kumbuka hii stori yangu! Maana kuna siku nitakukumbusha!

Lets fight together brethren!
 
Mkuu ONTARIO naomba kujua unapozungumzia mtaji wa kwanza ulipata JKT,ina include hilo banda?kwa mtu aliyechelewa,akijicommit na kilimo heka tano hadi kumi na ufugaji kidogo anaweza kutoka na kukaribia hata robo ya level yako?Pia ni busara kuacha ajira ambayo unaona haitakufikisha mbali ukasimamie mradi wako?
Mkuu kilimo ni kubet.Nimelima ekari tano nikajua maisha nimeyakatia denge.,........Aisee kilicho tokea mvua wa april to may.....Yaani acha tu.
 
Daaaa mkuu hebu niunganishe na hao wadau wako maana Mimi tayari ninao hao kuku wana week ya tatu sasa. Na Nina fugia maeneo ya Kitunda mkuu, maana Mara ya kwanza sikupata faida, kwani niliuza kuku mmoja tzs 5000 wakati huo mfuko mmoja nilikua nanunua kwa tzs 70000, ila sikukutaka tamaa nimerudia tena sitaki tena kilichonikuta tena mwanzo kinikute, maana Mimi mwenyewe Niko Chuo mkuu nimetumia boom kufanya hii project
Nicheki PM boss wangu maana si vzr kuwek mawasiliano ya watu hapa hivi.
 
Baada ya kusoma maelezo ya mwanzo na replies zako kwa maswali na comments za wakuu mbalimbali katika uzi huu, na kama nimeelewa vizuri kuhusu umri wako, kuna sehemu umesema unataka uwe na kampuni 5 kabla ya kufika miaka 25, ikiwa na maana hujafikisha miaka 25. Hii inanipa shida kuamini kwamba uko below 25, au labda sijaelewa vizuri kuhusu hilo la kabla ya 25 years. Mkuu kama hutojali, ufafanuzi pls.
Boss! We challenging status quo and breaking stereotypes. Trust me, niliwahi kuwa na kila kitu kinachohitajika kupewa mkopo, na financial statements zangu zilikua zinaprove naweza kuwalipa huo mkopo wao ht kabla muda haujafika, lkn CRDB walininyima mkopo kisa umri, nilikua nina miaka 21 wakati huo.
 
Mkuu mahindi yako umewahi kuuza kwenye mashine za kusaga na kukuboa? Maana huwa wanataratibu za kupima wastani wa mahindi kama mahindi ni mbegu ya kisasa huwa yanasumbua sana kuyauza
Mara zote nimekuwa nikiuza mahindi mabichi, apparently asilimia 90 ya wakulima wa bonde la ruvu tunauza mahindi mabichi.

Nikiwa na mahindi makavu nayatumia binafsi kama malighafi ya kutengeneza chakula cha kuku wangu.

Boss katika kila changamoto there's always an alternative.
 
Gharama gani boss?!

Heka 1 ni 800k maximum, kila kitu... shamba, dawa, mtaalam (though situmii siku hizi), vibarua yani kila kitu. Except vitendea kazi kama water pipes, water pumps, sprayer, sprinklers (hizi zipo nje ya hiyo 800k).
Wataalamu huwa unawatoa wapi boss na hawapigi Pesa ndefu??
 
Mara zote nimekuwa nikiuza mahindi mabichi, apparently asilimia 90 ya wakulima wa bonde la ruvu tunauza mahindi mabichi.

Nikiwa na mahindi makavu nayatumia binafsi kama malighafi ya kutengeneza chakula cha kuku wangu.

Boss katika kila changamoto there's always an alternative.
Nilikaa kimya kwa sababu maalum ili nione maswal mengi na majib mengi,ili nisije uliza maswal yaliyokwsha ulizwa,,

Kwanza nikupe heko kwa kushare nasi uzi huu maalum na muhim kabsa na kuwapa matumain vijana wengi wanaotaka kujikwamua kutoka sehem moja na kusonga mbele,,

Swali langu linatokana na mahindi mabich,,je yanafaida gan zaid tofauti mahindi yaliyokauka kibiashara? Kwa shamba ambalo lina heka nzima je panaweza kuwepo na miche mingap ya mahindi na bei naweza ikawa bei gn kwa kila muhindi mmoja ambao utakatwa?

Mwsho je kuna mbegu maalum ya mahindi ya kuchoma tofaut na haya mengine tuliyozoea ya kuvuna na kusaga? Kama ipo je inachukua miez mingap shambani? Asante kwa kila jibu ulilotoa hapa toa mchana wa leo mpka saa hizi...
 
Back
Top Bottom