STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaHakuna mtu duniani atakupa feed formula hata ufanyaje boss, hapa nisikufiche. Sawa na Cocacola kutoa formula ya vinywaji vyake.
Kuku 500 hawatakiwi kula zaidi ya mifuko 26 ya kilo 50
Mkuu msowero ya njia ya ifoza au msowero ya wap..maana njia yng iyo tu ifakara mngeta mbingu hadi mlimbami nipo moro town shabani ni msowero kilosa
Mkuu uko vizuri sana upstairs, salute!!! Umejibu vizuri sana kwa kuelezea midium size company. Hii ina maana small ni below that range na large ni above that range. I am not concerned whether the range for mid sized is OK or not, but the way you put it, is marvelous!!!Mid sized companies kwa Bongo unabidi uwe na turn over ya bil 1 - 20 kwa mwaka.
mkuu naomba kujua aina gan ya kuku kwa hizo aina ni bora na garama za matunzo kidogo ziko chini?Unafuga kuku gani?! Hybrid, Broilers ama Layers?
Boss sijui hasa swali lako ulikua unamaanisha nini. Sijawahi kufanya biashara yoyote na USA, na kwasasa sitegemei any soon. Lakini nimewahi kuagiza vitu kadhaa kutoka USA lkn kutumia eBay.ONTARIO bado haujaanza kupiga biashara USA?? I mean kuhusisha vitu vyovyote kutokea nchi hiyo?
Nimeona unamshkaji Washington, sasa nataka nijue kama umeshaanza kuwatumia watu unaojuana nao ili kukuletea faida( mi naamini kila kitu katika hii dunia kinaleta pesa, ila inategemea unakitumiaje)
Mkuu nina ardhi mkoani ruvuma nataka nilime Mohogo ila sijui process zake na hasa Soko lake ni wapBoss mwezi wa 10 ndio muda muafaka wa kilimo cha mihogo, kwenye zile vuli. Japo mimi nilichelewa lkn kiukweli mvua hizi zimeniboost sana.
Nunua mbegu ya Monsanto inaitwa VIRCA, hii kitu ni mkombozi, haishikwi ma magonjwa ya kipuuzi puuzi. Ukifata principles na ukiwa na soko la uhakika utapiga pesa nzuri, 1.5-2 mil faida kwa hekari... na si unajua hiki kilimo ni cha kimaskini, gharama za uzalishaji ni reasonable sana hasa mvua zikikubali. So ukianza zako na heka 10, unaeza ukapata pata tufaida twa kulimia heka 50.
Boss swali gumu kidogo, lkn mimi kumshauri mtu anayeanza ningemwambia aanze na Broilers. Kwanini? hawa ukiwa makini nao wanakupa pesa kila mwisho wa mwezi I mean siku 35. So ni rahisi wewe kujichanga. Gharama yao haipaswi kuzidi 500,000 (kwa kuku 100) nawe ukiuza kwa bei ya kienyeji ya laki 6, then faida yako ni laki 1 kwa kuku 100.mkuu naomba kujua aina gan ya kuku kwa hizo aina ni bora na garama za matunzo kidogo ziko chini?
Morogoro yapo mengi tyuuwapi nitapata mashamba ya kukodi ,eneo lenye rutuba na hali ya hewa nzuri hapa tzania?
all in all hongera sana dogo
Ningekua mboga 7 sahivi ningekua nipo na kina Gigy mane napima oil. HahahaaShukrani mkuu kwa kurudi tena!
Kwenye ule Uzi wako ulipita ulinitia moyo sana Na umenipa ari mpya!
Ila nikawa nafikiria unatokea familia Fulani mboga saba!
Ila huu Uzi umemaliza dauti zangu zote kama umepigana sana!
Hongera sana mkuu kwa Mara nyingine
Dah nashukuru sana mkuu sikutegemea kama utanijibu kwa uwazi namna hii..Ubarikiwe kiongoziBoss swali gumu kidogo, lkn mimi kumshauri mtu anayeanza ningemwambia aanze na Broilers. Kwanini? hawa ukiwa makini nao wanakupa pesa kila mwisho wa mwezi I mean siku 35. So ni rahisi wewe kujichanga. Gharama yao haipaswi kuzidi 500,000 (kwa kuku 100) nawe ukiuza kwa bei ya kienyeji ya laki 6, then faida yako ni laki 1 kwa kuku 100.
Kama una mtaji mzito na hauna haraka ya pesa gonga layers (kuku wa mayai). Kamwe hutotafuta mteja ukiweza kuzalisha trei 200 kwa siku. Yani wakianza kutaga wewe ni kukusanya milioni kila siku kwa miezi 18 mfululizo.![]()
Ruvuma mbali boss wng.Mkuu nina ardhi mkoani ruvuma nataka nilime Mohogo ila sijui process zake na hasa Soko lake ni wap
Ila kwa mahindi Ruvuma ni sawa?Ndipo nina uhakika wa kaeneo mkuuRuvuma mbali boss wng.
Watu wengi wanalima mihogo pwani ambapo ni karibu na Dar. Ukiweza kujaza canter na kuleta Buguruni, Dar, wala huiti wateja. But mimi hua nauzia shamba - tunamalizana porini, bugudha za mjini sitaki.
Mimi nimepata ekari kumi,kuna ekari 26 zimenishinda.Mpitimbi ukiweza they are all yoursHata mm nikipata shamba ruvuma siwezi nikaliacha aisee. Mahindi ya huko ni hatari, yakijaga Dar hayo mahindi yanatibua soko vibaya mno.
Kwa 100 zilizo pamoja itabidi niulizie,hizo 26 nilitaka kuuziwa.ila nitakujuza nikifatilia mkuuAt least heka 100 ziwe kwa pa1. Inawesekana boss?!