Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nijaribuuu,,,halaf angalia pm yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu nitokee uko. Nilikwambia unitext sijaona text yako, tumia ile namba ingine sio ya SA.
Nimekupata mkuu. Hongera sana na usichoke kushare ulichonacho, wapo watakaokupinga (hawawezi kukosekana) lakini wengi watapata faida.Boss! We challenging status quo and breaking stereotypes. Trust me, niliwahi kuwa na kila kitu kinachohitajika kupewa mkopo, na financial statements zangu zilikua zinaprove naweza kuwalipa huo mkopo wao ht kabla muda haujafika, lkn CRDB walininyima mkopo kisa umri, nilikua nina miaka 21 wakati huo.
Asante sana,boss..Kusoma soft copy nilishaga shindwa boss wangu, so nimekubali kuingia gharama za kununua vitabu kila nipatapi muda.View attachment 512927View attachment 512928View attachment 512929View attachment 512930hiki 48 lawsa of power ukigoogle unapata pdf yakeView attachment 512931
Boss kuhusu dawa hua tuna assume mahindi yakivuka magoti basi mashambulizi dhidi ya wadudu ni madogo sana, so hkn dawa tunatumia. Kwa uelewa wangu.Naomba msaada hapa ndugu yangu, maana mie nimepanda mahindi mabichi dodoma mwezi uliopita, bado sijatafuta soko japo naamini nitapata soko, je? Kuna dawa ama mbolea yoyote napaswa kutumia?
Tuko pamoja sana boss wangu. Keep being awesome!! Cheers.Hongera sana mkuu.
jambo unalolifanya hapa la kutupa elimu ya bure tena yenye thamani ya hali ya juu ni kubwa sana. Mungu akuzudishie mkuu.
i wish kila mwana JF angeisoma hii thread.
Hilo darasa likianza tutangazianeTuko pamoja sana boss wangu. Keep being awesome!! Cheers.
Boss mtitimbi kwa bei gan mkuuMimi nimepata ekari kumi,kuna ekari 26 zimenishinda.Mpitimbi ukiweza they are all yours
Ninkweli mahindi ya Ruvuma garama za uzalishaji sio sanaHata mm nikipata shamba ruvuma siwezi nikaliacha aisee. Mahindi ya huko ni hatari, yakijaga Dar hayo mahindi yanatibua soko vibaya mno.
kwa jibu hili..kaka Nimegundua kitu kikubea sana toka kwako....I knowMan!! My hustle is real since day 1. Niliosoma nao wanajua boss. Na hata leo nikisema niingie kwenye kiwanda cha kufanya refinery ya mafuta naeza choma kiwanda chote, maana hata sikumbuki chuo nilikua nasoma nini.
Pia kuna nguvu kubwa sana katika vitabu. These things look average, but they're mightier than you'd think.
Boss! Kua connected kwenye biashara ndio kila kitu, naeza sema hii ndio prime factor. Wenzetu wazungu wanapenda kusema "Your network is your net worth."mr ontario connection unaizungumziaje katika biashara ya aina yeyote, na n jinsi gan ya kutengeneza connection ya biashara yako, afu tunatambua soko ndo muhimil mkubwa kweny biashara yeyote ebu tuambie strategies za kutumia kuhakikisha unakua nasoko la kudumu la biashara tumia mfano ule wa kuku kutoa mayai trei 200 kwa siku, asante natanguliza shukrani kwa majib yako yenye ueled wa hal yajuu
nan kakataaaa humfanyi mkuu ? hebu give it a third degree though kama angejionesha anachokidai anafanya hamasa Yake ingekuwaje.sio lazima uandike chochote.....watu tupo busy na thread hii na tunafanya ujasiriamali kama huu