Naomba Usharuri Mimi ni kijana wa Mwaka wa Kwanza Computer Science Nina shauku ya kutoka na GPA kuanzia 4.5 mpaka 5 Je nizatie jambo gani na gani?

GPA kubwa itakusaidia kuteseka tu baada ya masomo yako, pambania ujuzi kiasi kwamba ukija kitaa ukaona ajira hazisomi basi uwe na chance ya kujiajiri...

Huku maofisini mamaneja wanatuogopa sisi magenius, wanaona kama tutawapokonya ulaji... Fitna kibao
 
Ok but nimeuliza kiungwana Incase Kuna any mistake please ungeniambia mkuu
Anza kwanza kutengeneza phrases,heading yako ieleweke ili mtu ajue anaanza wapi kukupa msaada.
Humu kuna watu wengi tu maprofessor,lecturer,wajasiliamali etc.
Ila hutapata msaada ukiwa unaonyesha empty headed watakusoma wanapita.
Jitahidi sana kuchambua unachoandika hapa.otherwise weka jukwaa la jokes.
 
Pumbavu wewe kwani advance ulitumia mbinu gani hadi kufika chuo? Uliiba mitihani? Basi na chuo iba uone kitakachokukuta.
Thanks bro watu kama wewe hamkosekanagi una uhakika gani nipo diploma au bachelor not good at all jitahidi kutumia lugha nzuri kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…