Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Haya mambo ni zaidi ya vile tumeyasoma Mkuu, amini nakwambia inawezekana kabisa. Nimefanya kesi 2 mwaka jana za mtindo huo huo tena baada ya mwanamke kudanganywa na kugoma kuhamisha umiliki uwe wa wawili.Mkuu kukiwa na ubishani kwa sheria zetu mwamba hana kitu. Sheria ya ndoa inaruhusu umiliki wa Mali binafsi kwa wanandoa.
Labda ingekua matrimonial home, sasa hapa mchango wake utakua ni nini ikiwa wife akisema ni kiwanja kanunua kwa pesa zake mwenyewe... kitendo cha yeye kumtumia pesa itakosa ushahidi kwamba alituma kwa ajili ya kununua kiwanja.
oyaaah mkuuKosa la 7
Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Yale yale ya Mwandishi wa ITV na Radio One Ufoo Saro, Marehemu Mpenzi wake Mushi na Mama Mtu kumwagwa Ubongo na kuwa Historia sasa.Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
SawaHuyo mkeo remote ni mama yake,
Kabla ujajenga nyumba pamoja, jenga yako kimyakimya.
Nina uhakika alinunua viwanja viwili, wewe kakuonyesha kimoja, deed ya pili ipo kwa mama yake. Shtuka
wewe ni dhaifu sana
Nashukuru kwa ushauri"........akasema tuchange hela tununue........."
☝️☝️ kosa la kwanza kubwa sana.
".........huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu........."
☝️☝️ kosa la pili .
Ila subiri ushauri wa wadau wenye uzoefu na kesi kama hizo.
Kwanza hati ya kiwanja haina mashahidi, sijui hapa unamaanisha mkataba wa mauziano au nini. Pili hati inabadilishwa majina kwa maana ya umiliki kwa makubaliano ya pande zote mbili. Tatu wewe ni bwege na huhudhurii vikao. Tulishasema don’t trust a woman. Wanawake wengi hutumia wanaume ili kuvushwa kwenye mambo yao. Kwenye hili bado nafasi ipo, nenda nae taratibu mbadili umiliki, tumia sana akili asihisi tofauti, vinginevyo ndio utaharibu kila kitu. All the very bestWana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Wewe ni msenge kinoma😂🫡Kosa la tatu
Kama amekubali mkuu ni sawa, ila kukupa hio hati haimaanishi ndio unakiliki bado anamiliki yeye. Anatakiwa akubali kubadili umiliki kutoka kuwa yeye hadi kuwa ninyi.Yeye kakubali na ameshanipa hiyo hati
Msimtishe sana. We all make mistakes. Aende nae mdomdo tu mambo yataji sortKwa makosa hayo saba mpaka hapo hana kiwanja na akithubutu kudai hati ibadilishwe hana ndoa pia.
Hebu eleza vizuri mkuu,ni hati ya kiwanja au karatasi ya mauziano?Wana jukwaa habari zenu
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa miaka kadhaa iliyopita na tulikuwa tunaishi mikoa tofauti kuna kipindi aliniambia tununue kiwanja nikamwambia sawa basi wakati nipo mkoa ambao nilikua nafanya kazi akasema tuchange hela tununue akanitajia bei nikatoa nae akatoa huko alipoenda alikuwa na mama ake mzazi wakanunua mimi kipind chote hicho sikuwahi kuulizia hati ya kiwanja lakini kwenye kiwanja nimefika mara tatu.
Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Kwa kilatini tunasema "Quod licet Iovi, non licet bovi"Sasa toka mwaka jana nikawa namwambia nataka kuiona hati ya kiwanja. Juzi kanionyesha nimekuta kaandika jina lake tu halafu mashahidi ni mama ake na wengine kawaandika hapo sasa nauliza je naweza kubadili hii hati nikaandika majina mawili yaan jina langu na lake
Nimegundua ni karatasi ya mauziano baada ya jana kupata maelekezo humu jukwaaniHebu eleza vizuri mkuu,ni hati ya kiwanja au karatasi ya mauziano?
Sawa bwana beberuKama ni mkeo na mmezaa mwachie wewe kanunue kwengine kama anataka mjenge msaport jengeni ila usijisahau na wewe kujenga kwako