Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Mtoa mada mwenyewe kasema hataki mwanaume!
 
Olewa ila kwa wew ndoa kudumu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano maana ni mjuaji wa kila kitu hapa duniani.....wanaume hatuwataki watu wa aina yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda sio nyege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tuanzie kwenye sentensi ya 2..
Hivi wanawake wanakuwa heat kipindi gani??
Kwenye siku za hatari??

Maana nna manzi hapa huwa mapenzi yake yapo kwenye circle...kuna kipindi cha mwezi huwa anakuwa kauzuu kuna kipindi anakuwa very sweet..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ushauri wangu kwanza tafuta mpenzi ambaye upo nae karibu... Pili jaribu kuji keep busy mara zote unapo jisikia hamu ya kutazama pono... Uambie moyo wako kuwa hutaki kuangalia pono na ukijisikia hamu mjulishe msela wako mkavunje amri ya sita
 
Wapi wanauza izo cd za porno nikaangalie zikoje ndio nije kumshauri

Sent using Uncesored Device
 
My one n only hivi kumbe huangalii pilau?[emoji125][emoji125][emoji125][emoji39]
Hivi kwa nini waliiziita pilau??
Kuna siku nilikuwa na lap top ya mtu nikakuta folder limeandikwa pilau nikawa interested kufungua
Mwe mwe mweee[emoji87]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee hapo kuacha labda uje umpate Mwanaume atayemaliza hizo nyege zako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…