Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Karibu kutafuta kitu cha kujiweka busy pale unapokua heat..mfano badala ya porn angalia series ya kawaida.toka japo mtaani tembea tu kujirudisha kwenye hali ya kawaida.
Pika...we chukua hata nguo piga pasi.soma kitabu au gazeti.in short Fanya jambo lolote Litalokusahaulisha mawazo ya ngono na kuangalia porn.

Hata kubwa zaidi ni kufuta kila chanzo cha porn..kama kuna video kwenye simu futa..kwenye PC futa..CD vunja.

Nliwahi kuwa mhanga wa jaribu kama lako nkalishinda.hata bila ya mwanaume nipo okay.third year papuchi imefunikwa.

Ukiamua unaweza



Sent using Jamii Forums mobile app

miaka 3 wewe utakua na matatizo sio bureeeee<afu kwa nn nyie wanawake mnakua waongo sana
 
Soma vitabu vya dini kwa wingi, fanya mazoezi na epuka kukaa peke yako kwa muda mrefu!
Mbona mna shauri ujinga jibu ni kuwa aolewa basi kwisha, "SI VEMA MTU AKAE PEKE YAKE....utamalizia mwenyewe.

Mungu si mjinga kuumba jinsi mbili, ata hao wanaofanya porno wako wawili wa jinsi tofauti ukiacha hiyo mifrauni iloamua kupingana na kawaida/normal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu kutafuta kitu cha kujiweka busy pale unapokua heat..mfano badala ya porn angalia series ya kawaida.toka japo mtaani tembea tu kujirudisha kwenye hali ya kawaida.
Pika...we chukua hata nguo piga pasi.soma kitabu au gazeti.in short Fanya jambo lolote Litalokusahaulisha mawazo ya ngono na kuangalia porn.

Hata kubwa zaidi ni kufuta kila chanzo cha porn..kama kuna video kwenye simu futa..kwenye PC futa..CD vunja.

Nliwahi kuwa mhanga wa jaribu kama lako nkalishinda.hata bila ya mwanaume nipo okay.third year papuchi imefunikwa.

Ukiamua unaweza



Sent using Jamii Forums mobile app
Itaziba bure! "Use and disuse"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya wanawake 10, saba kati yao wanaangalia porn. Na kati ya wanauke 10, wanne kati yao ni waangaliaji porn.

Sent using my Nokia Torch
 
Ushauri wa kiuchumi:Angalieni tu ili waliogiza hizo movie waendelee kupata kipato na ajira iongezeke.
 
Wenye kunihukumu poa tu
Kila mwezi nikiwa heat huwa nawashwa kucheki ngono mtandaoni.
Nikishamaliza najuuta mpaka basi
Nikiwaza kugegedwa live naona hapana sio kwamba sitongozwi sema Mimi tu nimeamua sitoi papuchi yangu.
Nifanyeje wakuu niachane na dhambi hii?


Sent using Jamii Forums mobile app
Pole dada kwa hyo hali.
Lakin jaribu kujikeep bze hata unapokuwa mtandaoni kama ukimaliza kucheki/kufanya mambo ya msingi jitahdi uwe unazima data ili kuepusha kuperuzi hayo madude.
Pia kuwa msomaji mzuri wa vitabu vya dini nayo itakupunguzia hyo hali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana dada yangu kwa maswahibu yanayokukuta,najua unapitia wakati mgumu sana katika tatizo hilo ambalo limekuwa ni sugu kwa vijana walio wengi.

Labda tu nikuambie kuwa si wewe peke yako ,waumini wa hicho chama ni wengi mno.tena wengine hujisifia na kujiona kuwa wapo sahihi kwa hicho wakitendacho cha kudhurumu nafsi zao.

Katika vitendo vibaya na vichafu ni kuangalia picha za uchi na kupiga punyeto,unapokuwa unaangalia picha hizo usizani kuwa unakuwa peke yako,la hasha,kundi kubwa la malaika wachafu huwa linakutazama na kushuhudia uzaifu wako katika shughuri zako zote hizo za kujichua na kuangaria porn,nao hao malaika wachafu ,pepo huwa wanatazama na kusifu uovu huo wakishilikiana na wewe kuutukuza uovu maana wao ni watoto wa muovu na asili yao ni uovu tangu zamani.

Hao wanaocheza sinema hizo ni mawakala wa shetani na hata pepo wachafu hushiliki pia, wakiwa wamevaa sura na umbo la kibinadamu kutekeleza uovu huo na wa hali ya juu na hata kumtolea maneno ya kashifa na matusi Muumba wetu,unapoangalia unakutana na sura za pepo wachafu na wengine humuingia mtazamaji moja kwa moja,na hivyo humfanya kuwa adicted na pornograph

Utazamaji wa porn unamadhara makubwa kiroho,kwani mtazamaji humfanya kuondokewa na ulinzi wa Mungu na kumuacha yeye kama alivyo,hivyo neema na baraka zote hutoweka na kubaki wewe kama wewe.
Kwa maana tendo la kutazama picha hizo ni uasi mkubwa mbele za mwenyezi Mungu na hautakuacha salama,madhara makubwa ya porn ni pamoja na kukosa kibali mbele za Mungu,kubeba pepo wachafu pindi unapotazama hali itakayo pelekea wewe kukosa mchumba bora wa kuoa/kuolewa maana unakuta kuna pepo wachafu wameshakuoa tayari au umeshawaoa bila kujijua.

Pia utakuwa mtu wa kujiona unahatia mda wote pindi umalizapo tendo hilo chafu la porn/kutazama au kijichua.

Jinsi ya kuacha,

Mkabidhi mungu mwili wako na roho yako,mwambie wazi kuwa unahitaji msaada wake.weka nia ya kuacha mara moja na umushilikishe mungu wako,Weka nia na uahidi mbele za Mungu kuwa hautatazama tena picha chafu kwa macho aliyo kupa ,wengi hawana macho hawajui hata jua lipoje,hawajui hata mbuzi yupoje wala kuku maana wamezaliwa hawaoni,iweje wewe uliyejaaliwa macho unayatumia kwa kumuudhi aliyekuumba!,

Muogope Muumba wako kwani anaweza kufanya lolote kwako na hata kwa kizazi chako,unaweza kukupa laana na ukazaa watoto machangudoa kwani mapigo yake yanaweza yasiishie kwako pekee,

Weka nia kuwa hautashika shika sehemu zako kwa nia ya kujilizisha mwenyewe tena ,na hautatazama uovu huo tena kwa macho yako mwenyewe,imeandikwa ni heri kiungo chako kimoja kipotee kuliko mwili wako mzima,basi ukiona jicho lako la kuume linakukosesha ni heri uling'oe ulitupe kule maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee kuliko mwili wako mzima utupwe katika jehanamu ya moto.

Epuka tamaa ya macho na tamaa ya mwili,jikane mwenyewe,mwili ni mdanganyifu siku zote ,hupenda anasa na kujirishisha,
Ubarikiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sante kwa neno zito..! Karibuni wengi tuanzie hapa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo madude yana mapepo ndani yake ambapo kama hujajikabidhi kwa Mungu ipasavyo basi itakula kwako mazima.

Mimi nilikuwa bize sana kuhusu kibarua, mazoezi, ruti za kwenda chuoni kusoma kila siku na mishe mishe za mitaani lkn sikufanikiwa kabisa kuyaacha.

Rafiki yangu naye aliathirika kufikia hatua asipoyaangalia hayo madude basi hata hisia za kuduu na mkewe hawezi kuwa nazo kabisa.

Mungu pekee ndiye mbabe wao kwa kumuomba sana mara kwa mara, kufunga na kuomba kwa imani na Yesu hushinda yote.

Ebu fikiria tangu 2005-20013 ni zaidi ya miaka mingapi kama si 8?

Miss natafuta piga sana maombi 7bu hakuna kinachoshindikana kwa Mungu.
Pole dada kwa hyo hali.
Lakin jaribu kujikeep bze hata unapokuwa mtandaoni kama ukimaliza kucheki/kufanya mambo ya msingi jitahdi uwe unazima data ili kuepusha kuperuzi hayo madude.
Pia kuwa msomaji mzuri wa vitabu vya dini nayo itakupunguzia hyo hali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki kugegedwa na miwanaume isiyo na shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kukataa kuna miwatu ya hivyo ila mbona wanaume wa kukustiri na kukuheshimu wapo kibao ,maana kwa maumbile ya mwanamke asiye malaya anapenda awe na msiri wake mmoja wakupeana maunono ,give it a try kuliko kuadhibu waote kwa kuficha asali kwa kuificha dalini ,usitufanyie hivyo
 
Back
Top Bottom