Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Karibu kutafuta kitu cha kujiweka busy pale unapokua heat..mfano badala ya porn angalia series ya kawaida.toka japo mtaani tembea tu kujirudisha kwenye hali ya kawaida.
Pika...we chukua hata nguo piga pasi.soma kitabu au gazeti.in short Fanya jambo lolote Litalokusahaulisha mawazo ya ngono na kuangalia porn.

Hata kubwa zaidi ni kufuta kila chanzo cha porn..kama kuna video kwenye simu futa..kwenye PC futa..CD vunja.

Nliwahi kuwa mhanga wa jaribu kama lako nkalishinda.hata bila ya mwanaume nipo okay.third year papuchi imefunikwa.

Ukiamua unaweza



Sent using Jamii Forums mobile app
Imefunikwa na nini
Isije ikajifunga au kuziba kabisa
Miaka 3 duuh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo magumu Sana haya. Ila utaacha tu, muhimu nia ipo kutoka ndani.
 
My one n only hivi kumbe huangalii pilau?[emoji125][emoji125][emoji125][emoji39]
Hahaha hahaha hahaha
Umenikumbusha mbaliii, nilikuwa nikiskia pilau najua ni msosi! Daaah my one n only, mie siangaliagi
 
Kugegedwa hutaki...

Alafu unataka kuacha kuangalia porn????

Ok...nunua Dildo sasa...nadhan hii kwanza unajipooza bila mwanaume..nabila porn

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
 
😀😀😀 kuacha hiyo kitu sio kazi rahisi..... cha msingi usijihukumu, hata ikitokea umetazama. Maana kujihukumu hai maanishi umeacha, ila unajipa maumivu na kufungu mlango wa kutazama tena. Kikubwa ona hiyo issue ya porn ni rahisi na sio nzito kwako, wala isikusumbue ni namna gani utaacha
 
Ahahaa I know.but me nataka kujitoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mm najua mbinu za kujitoa but its hard to apply them and stay away from porn if and only you live only in a room....its possible provided to hauishi pekee yako ila kama uko mwenyewe ni ngumu kuacha kabisa.....
Ila kama unania bhc fanya hivi...
1.Epuka kukaa mwenyewe au kukaa mpweke au kuishi mwenyewe
2.Epuka kutumia simu ukiwa kitandani iwe usiku au mchana.
3. Epuka kumiliki earphones za kusikiliza muziki.
4. Tafuta mpenzi kama unaweza,kama huwezi basi tumia muda wa ziada kusoma vitu tofauti,waweza soma vitabu,majarida,biblia n.k ila isiwe kwa kutumia simu ,use hardcopy
5.Futa apps unazotumia kuangalizia porn.
6.Fanya mazoezi ya mwili na jiweke busy sana,ichoshe akili yako...do extra things coz the idle mind is the devils workplace
7.Jiapie kuwa hutaangalia porn hata iweje,andika kwenye diary na weka saini kuverify kiapo chako.....ukiweza kukaa zaidi ya mwezi ktk kiapo hakikisha unaishinda akili itakayokuwa inakushawishi kuangalia japo kidogo tu maana ubongo ndivyo ulivyo,hii hutokea in those days when u will be extremely horny.
8.Have positive friends who are not porn addicts.....share yr shortcomings with them,they may help u in resolving this addiction.

GOOD LUCK.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabadiliko huanza ndani yako mwenyewe.
Mabadiliko hayaanzii nje yako ewe Miss Natafuta.

Ukibadilisha mazingira ya nje yako wakati ya ndani hujayabadili basi kumbuka utakuwa unatwanga maji kwenye kinu tu.

Fikiria mtu ambae alikuwa anataka aache punyeto alipaka mpaka pilipili mikononi ili aache,lakini ilipofika muda akaenda mwenyewe kunawa mikono na akapiga punyeto yake alipomaliza akajilaumu.

Hapo ni kuwa usitegemee sababu za nje kutaka kubadilika.sababu za nje hazipo na sisi mda wote.

Wewe upo na wewe kila unapoenda na wala haupo na simu yako wala tv.kwa hiyo kama kuepuka kwako kuangalia picha za ngono unategemea kuiacha simu yako na kuuza basi jua sababu ya nje umeiepuka ila je unaweza kuiepuka nafis yako ambayo upo nayo kila unapokwenda?basi kama huwezi kuiepuka basi vizuri ukaanza na mszoezi ya kuibadilisha nafsi.

Ukiibadilisha nafsi yako basi utaenjoy maisha utajikuta unamiliki simu,TV na wala hupati tabu ya kutumia nokia ya tochi kwa sababu ya kuepuka kuangalia porn movie.haya yanatokea endapo umeamua kuibadilisha nafsi yako kwanzaa kabla ya chochote.

Na hiyo nafsi ndo sababu ya ndani kabisa ya wewe kuangalia hizo porn.

Sasa njia za kubadilisha nafsi yako ili iwe na uwezo wa kujizuia ni njia rahisi sana na zina mafanikio makubwa lakini kabla haujaanza kuibadilisha kamatia huu msingi hapa chini usemao..

"katika kila lengo lako unalotaka ufikie basi kuna maumivu na tamaa unatakiwa uishinde na uikimbie"

Na msingi wa pili pia uelewe kuwa..

"hakuna nafsi yeyote isiyotamani mambo yenye kufurahisha lakini nafsi imepewa akili na iuwezo wa kuyakwepa mambo hayo"

Hivyo basi usione watu wamekaa ukajua hawatamani kabisa kuangalia porn hapana,nafsi wakati mwingine zinawaambia "angaliaa" lakini wana uwezo wa kudhibiti nafsi zao na kupotezea ushawishi kama huo.

Lakini pia kumbuka katika ile fomula ya kwanza kuwa hautokaa kabisa ukaja kuona umechukiaaa tuu hiyo hali,bali unatakiwa upitie hatua kadhaa ili usiitamani na kuifanya hata kama fikra inakujiaa.

Picha za ngono ni hatari sana kwa afya ya ubongo.

Kuna bwana mmoja alisema kwamba " ana miaka 13 toka ameacha kuangalia lakini mpaka mwaka huo wa 13 bado zile picha za ngono zinamjia kichwani licha ya kuwa ana miaka 13 tokea kuacha kwake,vipi wewe unaendelea mpaka leooooo je itakuwaje?

Chukua hatua.
Good response, I adored it

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye kunihukumu poa tu
Kila mwezi nikiwa heat huwa nawashwa kucheki ngono mtandaoni.
Nikishamaliza najuuta mpaka basi
Nikiwaza kugegedwa live naona hapana sio kwamba sitongozwi sema Mimi tu nimeamua sitoi papuchi yangu.
Nifanyeje wakuu niachane na dhambi hii?


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nn usicheze gemu yako mwenyewe badala ya kuangalia za watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye kunihukumu poa tu
Kila mwezi nikiwa heat huwa nawashwa kucheki ngono mtandaoni.
Nikishamaliza najuuta mpaka basi
Nikiwaza kugegedwa live naona hapana sio kwamba sitongozwi sema Mimi tu nimeamua sitoi papuchi yangu.
Nifanyeje wakuu niachane na dhambi hii?


Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya hilo tendo unalolitazama utajikuta umeacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom