Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Naomba ushauri jinsi ya kuacha kuangalia filamu za ngono

Najuwa saivi umetoka kuangalia ndio maana unajutia, BTW hivi nyeto kwa mwanamke ina madhara kwani
 
Nakupa ushauri wa kitaalamu. Ni kwamba huwezi kuacha huo mchezo mpaka ukunwe, na vile unajifanya kubania hiyo k huo mchezo ndio utakuharibu kabisa akili yako, utapata ulemavu.

Tafute mwanaume wa kukukuna hata mara 3 kwa wiki akutoe kwenye hilo jangwa dada utakuja kufa na kiu. Mimi nipo single naomba tusiwasiliane...
Sipendi wanaume.bora nifanye mambo yangu.
Sijaona wa kuniinspire

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba hiyo papuchi niifunue aggyjay
Karibu kutafuta kitu cha kujiweka busy pale unapokua heat..mfano badala ya porn angalia series ya kawaida.toka japo mtaani tembea tu kujirudisha kwenye hali ya kawaida.
Pika...we chukua hata nguo piga pasi.soma kitabu au gazeti.in short Fanya jambo lolote Litalokusahaulisha mawazo ya ngono na kuangalia porn.

Hata kubwa zaidi ni kufuta kila chanzo cha porn..kama kuna video kwenye simu futa..kwenye PC futa..CD vunja.

Nliwahi kuwa mhanga wa jaribu kama lako nkalishinda.hata bila ya mwanaume nipo okay.third year papuchi imefunikwa.

Ukiamua unaweza



Sent using Jamii Forums mobile app

"Enough of No Love"
 
Pole sana...

Kwa mwezi mara moja siyo mbaya...

Na pia kila liliokua na mwanzo halikosi kua na mwisho... endelea tu kuangalia mpaka mwisho wake...


Cc: mahondaw
 
Mazoea huisha kwa kuzoea kitu kingne unatakiwa utafute kitu kitakacho kufanya uwe bize unapo ingia kwenye mambo ya intranet
 
Maombi, kufunga na kusali pekee ndiyo kiboko ya hayo mawakala ya shetani.

Ilinigharimu zaidi ya miaka 8 kujivua kwenye CHAPUTA baada ya kuwa addicted maana nilikuwa naweza nikapiga hata mara 6 kwa siku 1.
Nilijitahidi sana kuacha hata baada ya mwezi lkn nilipothubutu kukumbuka tu ndipo hapo hapo nilijifariji "si nitapiga mara 1 tu afu nitaacha kwa siku hiyo hiyo? lkn nilikuwa nikijaribu tu mara 1 nitarudia tena hata 3" na ndipo ni mwendelezo wa kila siku nakati hata kabla sijapiga najikuta nikisoma madhara yake lkn bado hujanisaidia kitu chochote kile.

Niliuza laptop zaidi ya mara 2, niliuza hadi smartphones zangu nibakiwe na simu za buttons lkn nikajikuta nikinunua upya na kuendeleza kujifungia geto kupiga punyeto huku nikiendeleza mahusiano ya kawaida kwa binti niliyekuwa naye wakati huo.

Nilimwomba Mungu sana bila kufanikiwa hadi nilipojikita ktk maombi ya kufunga na kuomba kwa wiki kadhaa hivi ndipo Mungu alinisaidia niliacha kabisa kupiga punyeto.

NB:

JESUS IS THE WINNER & NOTHING CAN STOP HIM TO DO, COZ POWER AND WINNING ABILITIES ARE TOGETHER WITHIN HIS PRESENCE WHEREVER, ALWAYS AND FOREVER.
Wenye kunihukumu poa tu
Kila mwezi nikiwa heat huwa nawashwa kucheki ngono mtandaoni.
Nikishamaliza najuuta mpaka basi
Nikiwaza kugegedwa live naona hapana sio kwamba sitongozwi sema Mimi tu nimeamua sitoi papuchi yangu.
Nifanyeje wakuu niachane na dhambi hii?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom