Amalrik TZ
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 341
- 303
Hapana..Jambo kama hilo haliwezi kutokea kwangu kamweukiacha unabaka, nondo 30
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana..Jambo kama hilo haliwezi kutokea kwangu kamweukiacha unabaka, nondo 30
"Ni lazima uweze ku control hisia zako usipoweza kufanya hivyo utakuwa mwanaume wa hovyo sana"Pole sana, jitahidi usikae mwenyewe muda mwingi, na hata ukikaa mwenyewe basi jiingize kwenye programs zingine hata kusoma novel, kufatilia habari mitandaoni, angalia mpira, au kutana na marafiki mbadikishane mawazo,
Ni lazima uweze kucontrol hisia zako na sio hisia zikuendeshe, usipoweza kufanya hilo jambo utakua mwanaume wa hovyo sana
kweli usemayo lakin hyo njia niliyompa ndo sahihi kwakeKama wewe ndiyo ungepewa ushauri huu... Ungejihisi vipi? Mtoa Mada kaweka jambo lake hapa ebu tusirichukulie mzaha.... Yeye kathubutu kusema. Jibu lako lingesaidia wengi watakaosoma ulichoandika ambao hawajataka kukili suala hili...
Bora usiandike chochote kama uwezo wa kutoa msaada wa kifikra hauna
Mhhhh..sasa hapo sinitashindwa hata kufanya mapenziDawa ya moto ni moto ndugu yangu... Ongeza speed ya kuangalia na kujichua ipo siku utaona madhara yake dhahiri alafu utaacha huku ukilaani
Hili ni tatizo la vijana wengi na shida hatupendi kuweka mambo waziDah tupo weeeeen.....
Sijakataa lakini kwangu mm ina madhara mengiMwambie asiache porn ni raha asikwambie mtu
Tatizo kwangu naangalia kila siku na kwa siku naweza kupiga nyeto zaidi ya mara mbili [emoji24]Aliekwambia kuangalia hzo mambo kuna ubaya nan..watu tunaangalia toka tuko primary had leo...hakuna mwanaume asieangalia hzo mambo kiongoz...ni vile ujicontrol usiwe regular.....
Yaan..punguza routine ya kuchek..labda kwa mwez mara moja si mbaya...
Tatzo lenu mnaskiliza sana maneno ya watu[emoji16]
Kama watu wanatoa mawazo ya maana na ya kujenga pia. Nawashukur sana kwa hiloMkuu wewe piga kazi achana na ishauri was humu.
Wazo la kuoa lipo jikoni.1. Waza kuoa mke wa pili na watatu na wanne
2. Jilipue mwambie Baba/mama/ unapenda hako kamchezo
3. Waza ni wadada wangapi wanapenda uwape mimba na uwe serious kujenga familia ... wewee unaendekeza ayo mambo ili hali umemaliza chuo
4. Ivi umesoma chuo gani .... wakakulea ivoooo
5. Kuna jambo hujasemaaaaa liseme tukusaidieee
Once a marine. Always a marine.Kwani ilani ya chama inathemaje?
Gelesha tuOnce a marine. Always a marine.
Huyu mwamba anataka kurudisha kadi?