Amalrik TZ
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 341
- 303
Shukrani sana mzee kwa ushauri mnzuri.
Be blesses [emoji120]
Be blesses [emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio rahisi kama anavyodhania. Watu tushajaribu sana. Tumeamua kuishi nayo tu.Gelesha tu
"Bila kuamua kutoka moyoni hauwezi"Sio rahisi kama anavyodhania. Watu tushajaribu sana. Tumeamua kuishi nayo tu.
Unakuta tupo hadi page ya 52 tunatafuta a perfect video. Yeye kizembe zembe tu anafikiri hawa wanaomshauri ndio hawaangalii au hawapigi?
Bila kuamua kutoka moyoni hawezi.
Ukishashindwa kufanya mapenzi ndipo utaacha bila kushauriwa na mtuMhhhh..sasa hapo sinitashindwa hata kufanya mapenzi
Niliacha mwenyeweSio rahisi kama anavyodhania. Watu tushajaribu sana. Tumeamua kuishi nayo tu.
Unakuta tupo hadi page ya 52 tunatafuta a perfect video. Yeye kizembe zembe tu anafikiri hawa wanaomshauri ndio hawaangalii au hawapigi?
Bila kuamua kutoka moyoni hawezi.
Lakini tatizo litakuwa lishakuwa kubwa maishani mwanguUkishashindwa kufanya mapenzi ndipo utaacha bila kushauriwa na mtu
Hii kitu ilinitesa sana, ila nimeacha abaada ya kuelekezwa na prof mmoja wa saikolojia, ngoja nikupe maujanja ya kuacha hii kitu, fanya yafuatayo....Usiache kufanya jambo likupalo faraja
Aisee na wakimbia tena kwa spidi kali.MKUU YAANI UNATAKA USALITI CHAMA LETU PENDWA .......
FIKILIA VZR .....TUTAKUTAFUTA
Sio ndo atawai kupizzNjia sahihi ya kukufanya uache hiyo nakushauri kisaikolojia
Kila ukianza kujichua muweke kwenye fikra Mama yako mzazi au dada yako Mudi utakata , kila ukitaka kugusa vuta hisia za mama basii hutarudia tena
[emoji847][emoji847]Mwenzenu yamenifika shingoni nawaombeni ni wakimbie.