Haya basi kuanzia kesho usirudie hiyo tabia... Sawa mwanangu ehLakini tatizo litakuwa lishakuwa kubwa maishani mwangu
Yes nikiweza kuacha kuangalia porn nitaweza kuacha kupiga nyetokuangalia sio tatizo sana tatizo sana ni kupiga nyeto
ukiweza kuacha moja kati ya hayo basi utaweza kuacha lingine kirahisi
"Umaskini unagonga odi kwenye maisha yako".Vuta bangi mwanagu utakuja kunishukru siku moja[emoji23]
Kubwa zaidi umaskini unagonga odi kwenye maisha yako..
Hiyo ni dalili moja wapo[emoji122]..
Soma vitabu vya uchumi na mafanikio ya watu..
Usipende kujikatia tamaa hakuna lolote gumu Duniani isipokuwa kifo.
Nalo neno mkuu. Japo kupitia internet ndo napata kula yangu.Anza kutumia simu ya tochi kws muda
Njia gani nitumie kucontrol mind set?Control mindset yako badili style ya maisha usije kosa watoto
Sasa we unataka uache punyeto halafu ufanye nini? Hujui hiyo ndio njia pekee salama ya kujiepusha na magonjwa kama corona, ngwengwe, homa ya ini nk? Achilia mbali gharamaNjia gani nitumie kucontrol mind set?
Ndo ivo mkuu ni kujiendekeza na nililijua hilo kama kitu hupendi kwa nini ufanye??"Nilijenga uvumilivu ndani yangu".
Narudia kila saa kusoma comment yako. Shukran sana.
[emoji23][emoji23]Sasa we unataka uache punyeto halafu ufanye nini? Hujui hiyo ndio njia pekee salama ya kujiepusha na magonjwa kama corona, ngwengwe, homa ya ini nk? Achilia mbali gharama
[emoji24]Usiuache uhondo wa Punyeto haswa kama wewe u bado mtoto mbichi wa only 26yrs ukifika arobaini labda uje uombe ushauri
Inasema.mitano Tena [emoji1]Kwani ilani ya chama inathemaje?
Sasa hio ya porn aibandike ukutani mama yake mzazi akiiona je[emoji1787]Punguza kukaa mwenyewe kwanza, tafuta shughuli zikuweke bize halafu tubu kwa imani yako roho chafu zikutoke,Andika tabia ambazo hazina afya katika karatasi halafu bandika chumbani kwako kila siku asubuhi zisome hizo tabia utaziacha na kuzisahau muhimu uwe umedhamiria kutoka ndani mwako, Hakuna malaika atashuka kutoka mbinguni kuja kuwaambia wanaadam fanyeni hivi maarifa yote Mungu wa mbinguni ameshawapa hivyo ni juu yenu muhakikishe mnazifuata kanuni zake tofauti na hapo ni maangamizi katika kizazi hadi kizazi.
Mimi nimeshavuka arobaini na bado nainjoiUsiuache uhondo wa Punyeto haswa kama wewe u bado mtoto mbichi wa only 26yrs ukifika arobaini labda uje uombe ushauri
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] ushauri umefika kwa mshauriUsiache kufanya jambo likupalo faraja