Amalrik TZ
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 341
- 303
[emoji120]Hiyo ndiyo dawa ya kudumu. Hudhuria pia misiba. Itakupa big picture ya maisha ambapo Porn sio sehemu ya equation. Ukijifungia ndani waweza kudhani ngono ni big deal. Ni kuwa myopic tu.
Mwisho badili marafiki. Marafiki ni chanzo kikubwa cha baraka au balaa kwenye maisha yetu. Chagua marafiki kwa hekima.
1 Wakorintho 15
33 Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.
34 Tumieni akili kama ipasavyo, wala msitende dhambi; kwa maana wengine hawamjui Mungu. Ninanena hayo niwafedheheshe.
[emoji120]Anza kutazama movie za kutisha
Hapana halijakushinda jitahidi tu utalishinda weweNi kweli ndugu.
Sema sasa nipo nimepanga na naishi alone so muda mwingi nakuwa geto alone.
Nishajaribu kulichukia sana sema kuna saa linakuja tuu hata kama nilikuwa nafanya mambo mengine najikuta naacha naanza kuangalia porn na kujichua.
Kuna tabia nyingi ambazo nimefanikiwa kuziacha. Kwamfano nilishawah kuvuta sigara ila nilifika sehemu nikasema basi nikafanikiwa kuacha.
Lakini hili naanza kufikiria kama limekwisha nishinda kabisa.
Nimeichoka hali hii mzee
Nimeichoka hali hii mzee
Nilishajaribu sana kuwa na kiasi lakini mambo yakawa magumu kwanguUwez acha muhim uwe na kias mkuu
[emoji120]Hapana halijakushinda jitahidi tu utalishinda wewe
[emoji109]Piga mgalala mpaka unaenda kaburi maana ndio starehe yako uliyochagua
Anyway,inaonekana hauna kazi ya kufanya.
Unatakiwa ujishughulishe muda wote, usipate muda wa kupumzika na kufikiria mambo ya porn.
HakikaHapa pa ni kuzalisha urahibu mwingine. Ni kama mtu mwenye majini aliyamua kwenda kuyapunga.
Yes, huwa inafikia kipindi unaziona za kawaida tu[emoji1787][emoji1787] Umeanza kuangalia Mkubwa angalia kila siku mpk zikukinai itajikuta umeacha automatic.
Shukrani sana ndugu kwa ushauri mnzuri. Tayari nishaanza kuisha na leo ni siku ya tatu bila kufanya naaamini nitaishinda hii tabia kwani "nia" ya dhati kutoka moyoni ninayo.Pole sana rafiki yangu kwanza kabisa naomba ufute katika akili yako kuwa jambo fulani ni gumu na haliwezekani. Jaribu kuifanya akili yako kukubali kuwa chochote kinawezekana na tabia yoyote ile inawezekana kujifunza na inawezekana kuachwa. NI SUALA LA KUAMUA KWA DHATI TU.
Jiulize mwenyewe hivi..." kabla sijaanza haka kamchezo kwani nilikuwa naishi vipi?"..utagundua kuwa hako kamchezo haukuwa nako ila ulijifunza kidogokidogo na sasa kamekomaa.
Mkuu kumbuka wewe siyo tabia na tabia siyo wewe....wewe ni mtu mwingine kabisa na unaweza kuachana na chochote au kufuatanahote ukiamua.
Tatizo ni kwamba huwa tunafikiri vitu tulivyonavyo ikiwemo tabia ndiyo sisi tulivyo jambo linaloipumbaza akili na kushindwa kujipinga.....kumbuka akili yako haipingani na uwepo wake. Usiiwekee mipaka ya vitu ila jione upo huru kuamua utakacho.
Mkuu kinachotakiwa kwanza ni kuweka "nia"ya kuacha huo mchezo na pia nakushauri fanta hili kwa dhati jaribu kuzalisha mawazo yanayoonesha kuwa upo juu ya tabia yoyote .
Be the master of your destiny.
[emoji109]Pole sana...
Punguza uzembe tafuta mwanamke...
Ningekaziaga shule leo ningeteleza kama wewe.You are simply being controlled by your emotions
Let your mind work on other things rather than dirty thoughts
Ungekuwà unapiga walau moja per day mzee afu unavuka ata siku atu bila kupiga unapunguza mdogo mdogo ivoNilishajaribu sana kuwa na kiasi lakini mambo yakawa magumu kwangu
Ilani:Kwani ilani ya chama inathemaje?
Hiki ni kisa cha kweli cha Bwana Alex.
"Mimi ni kijana ambaye nina miaka 26. Nimemaliza chuo miaka miwili iliyopita. Nilianza kuangalia picha na video za xxx tangu nipo sekondari.
Ndugu zangu tatizo moja linalonisumbua ni kuangalia video za xxx na mbaya zaidi linachangia tatizo lingine la kupiga punyeto, kwani kama nipo pekee yangu baada ya kuangalia xxx lazima nipige punyeto.
Nimejaribu sana kuacha na kupata suluhu ya kudumu lakini nimeshindwa.
Naweza nikaacha kuangalia zaidi ya wiki moja lakini baada ya hapo najikuta tena naangalia.
Naombeni msaada wenu wa kimazo wa namna ya kuacha [emoji120][emoji120][emoji120]."