Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bas achana nayo hio kaz kumbe unaweza kupambana..after all sio kaz nzur kudai mikopo sijaona kama inakujenga career yoyote labda ya ubandidu tu.wewe unasema mim kiaz ni sawa ila we acha .sis tushaacha had kuandika notis of 24hrs na hela tukakatwa wala sikuuliza ushaurNimepanga mkuu
Uzuri nilikuwa najisomea sana mixer google na you yube alafu mimi O level nilipata PHYSICS B BIOLOGY-B MATHS-A CHEMISTRY-B enzi zetu elimu ya kushindanaKwahyo anatomy na pharmacology zilikuwa zinapanda mkuu [emoji847][emoji847]
SI unajua Suply ya Labors ikiwa kubwa kuliko demand kinachofuata ni kushushwa mshahara halisiIshu sio kazi au kupuyanga juani remote area, hiyo kazi unalipwaje ndo ishu ilipo
Siyo atakavyo response. Sema atakavyo respond.Unajua Mkuu kuna watu wengi hawakuelewi,
Wew kama umeshakubali kuacha kazi acha tu, akuna cha kungoja sijui miezi 3 wala 10
Pia sio lazima umwambie uyo aliekutafutia connect, ila ni vyema ukatumia busara na kumjulisha, atakavyo response vyovyote vile wala isikutishe songa mbele
Atuko kweny dunia ya kumridhisha kila mtu.
Maneno mengi yamesemwa, ushauri mwingi ameshauriwa. Hayo yote kwangu si chochote wala si lolote.Fresh we kama unajikubali haina noma !! We mpigie hata simu kwamba unajikataa achukie atajijua ! Haya ni maisha yako ! Ila ujiwekee pia na uhakika kwamba hakuna tena shida itakayowakutanisha !!
Pia umewaharibia wengine tukuchane tu ! Ukishaona maswala ya kazi unasita sita kwenda sema tu mapema au usiombe kupitishwa ! Kuna dogo hapo umemkosesha nafasi wakati ukoo mzima unamtegeme! Nafsi ikusute
Bado limatamani liendelee kulelewa na shemeji!Kweli maisha hayatabiriki watu wanatafuta kazi huyu anataka kuacha kazi
Sahihi kabisaWakati unaikubali mwanzo mkuu ulijua nature yake?
Nakushauri sana kama kaka yako, USIIACHE HIYO KAZI! Fanya hiyo kazi angalau miezi 6 au mwaka alafu acha. Nakwambia hivi kwa sababu zifuatazo
1. Unless useme kama umepata kazi nyingine sasa hivi ambayo unahisi ni nzuri zaidi na kwa nature yako usivyochunguza mwanzo nayo ukiianza utaiona mbaya, kumbuka hakuna kazi rahisi duniani, ukishakuwa nayo itaanza kukuboa
2. Utamsikitisha sana mtu aliyekuunga na mzee na mzee mwenyewe. Hapa maana yake unakata network yako yote na kumbuka maisha sio tu kutafutiana kazi kuna na mengine ya kusaidiana
3. Mtaani ni pagumu sana jamaa. Aheri ukomae kukusanya madeni kuliko kutengeneza madeni wewe kudaiwa
Kweli. Yaani anatafuta namna ya kuacha kazi....!!!!Kweli maisha hayatabiriki watu wanatafuta kazi huyu anataka kuacha kazi