Naomba ushauri jinsi ya kumuapproach aliyenitafutia kazi, nataka kuacha kazi

Naomba ushauri jinsi ya kumuapproach aliyenitafutia kazi, nataka kuacha kazi

for now there is no a good way to do it without burning the bridge, work for at least a year, u will be understood
 
Ngoja nikukumbushe mkuu ndio maana kwenye Sheria Kuna kitu kinaitwa termination of contact mtu kuacha kazi ni jambo la kawaida sana sababu Kuna reasons nyingi zinazomfanya mtu kuacha kazi.

So ukipewa connection sharti uifanye for the rest of your life sababu unaogopa kuumiza hisia za aliyekupa kazi what if kama ni kazi iliyojaa uonevu au unyonyaji? What if kama umepata fursa nyingine? What if kama unataka kujiendeleza.

Mkuu try to think kabla hujaandika nonsense hakuna sehemu nimeonyesha disrespect that why nimekuja hapa jukwaani Kwa ma GT but the badluck nimekutana na low thinker with a lot of emotions kama wewe. But lengo langu ni kutafuta approach nzuri ya kumwambia Mzee aliyenitafutia kazi na sio kumdisrespect.
Termination of contract na contact
 
Kwa attitude yake tu keshafanikiwa , kwenye maisha huwa tunaangalia risk reward ratio, kama faida ni kubwa, mtu anaweza enda extra miles kibabe
Sasa kazi yenyewe mshahara milioni , ikufanye uliliwe na familia kadhaa kwa ajili ati unakusanya madeni !! Hell no!
Nakubaliana na hoja Mimi mmoja wa family member alikuwa afisa mikopo mwisho wa siku kiinua mgongo alichopata nikusakwa na Takukuru
 
Salamu Kwenu Greatthinker(Akili kubwa).

Ushauri wako muhimu sana. Two weeks ago nilipewa connection Kwa Mzee wa makamu kidogo nikampigia simu kumuomba kazi the way nilivyoongea naye kupitia simu nilijionyesha kuwa Nina uhitaji sana na kazi hatimaye nikaitwa Kwenye interview japo Kwenye usaili palikuwa na graduates wengine ila kupitia ile connection nikafanikiwa kupata kazi nikapangiwa kituo changu.

Honestly Kwa nature ya kazi na nilivyojitathmini siwezi kufanya Kazi Na sio Kwa ubaya bali Kwa lengo la kutoharibu kazi za watu siku za mbeleni. Sasa nataka kuwasiliana na aliyenipa connection kuwa sipo tayari kuendelea kazi naombeni WanaJamiiforums ambao walishakutana na situation kama hii mnisaidie approach sahihi ya namna navyoweza kuacha kazi kubwa zaidi ni kumpa taarifa Mzee aliyenitafutia kazi in humble way asione kuwa nilikuwa namsumbua
Dah.! Dunia haina usawa
 
Salamu Kwenu Greatthinker(Akili kubwa).

Ushauri wako muhimu sana. Two weeks ago nilipewa connection Kwa Mzee wa makamu kidogo nikampigia simu kumuomba kazi the way nilivyoongea naye kupitia simu nilijionyesha kuwa Nina uhitaji sana na kazi hatimaye nikaitwa Kwenye interview japo Kwenye usaili palikuwa na graduates wengine ila kupitia ile connection nikafanikiwa kupata kazi nikapangiwa kituo changu.

Honestly Kwa nature ya kazi na nilivyojitathmini siwezi kufanya Kazi Na sio Kwa ubaya bali Kwa lengo la kutoharibu kazi za watu siku za mbeleni. Sasa nataka kuwasiliana na aliyenipa connection kuwa sipo tayari kuendelea kazi naombeni WanaJamiiforums ambao walishakutana na situation kama hii mnisaidie approach sahihi ya namna navyoweza kuacha kazi kubwa zaidi ni kumpa taarifa Mzee aliyenitafutia kazi in humble way asione kuwa nilikuwa namsumbua
Kazi imekuwa maji marefu? Nenda kamuombe msamaha na uwe mkweli kwake ili kama kuna nafasi itakayokufaa, akufikirie.
 
Nature ya Kazi ni Kudeal na mikopo Sasa nimejitahidi kuendana na mfumo lakini najikuta nafsi inakataa ni kazi ambayo inataka roho mbaya afu usiwe msikilizaji na pressure kutoka juu ni kubwa sasa Mimi ni good listener inshort sipo tayari kuifanya
Kufuatilia na kukusanya madeni sio?
 
Huyu angepitia tuliopitia sisi.sis picha linaanza part time ya kwanza tulifanya ile kusajil majina wakat ulee miaka flan ndio sheria imeanza.data entry pale aitel moroko enzi hizo.unaingia shift ya usiku unatoka asubuh.
Unalipwa kwa majina.mzee tumepiga ile kaz unaingia usiku unatoka asubuh naul yako mwenyew kula utajua mwenyewe pc yako mwenyewe tukadhulumiw hela tukaenda kukinukisha kule kwenye ofisi ya hao jamaa waliopewa tenda mikochen.weka kambi pale mpaka ikabidi kuja kusaidiwa na polisi ndio tukalipwa.laki na ishirin.
Kutoka hapo nikaingia customer care voda piga training pale mikochen pokea simu kichwa kinauma kama chote.we dogo wewe unaleta mchezo
Pole sana bro. Hiyo ya customer care umenikumbusha jamaa yangu alikuwa ni kichwa hatari kuanzia sekondari hadi UDSM. Ila mwanzoni kwenye kutafuta kazi akaanzaga na hiyo. Yule jamaa alipiga hiyo kazi kwa uaminifu mkubwa baadae alikuja kupata kazi nzuri. Madogo wanachoshindwa kuelewa ni kwamba ili upate "kazi" inabidi uwe na kazi.
 
Umenikumbusha machungu, nilipambana kumtafutia post nduguyangu wadamu kabisa My really brother.

Akaiacha baada ya mwezi mmoja, yeye alinitumia mseji akanishukuru sana akasema nashukuru sana mdogoangu kwa kunipigania lakini nimeamua kuacha kazi nimepata sehemu nyingine.

Daaaah ilikuwa siku mbaya sana kwangu sababu kazi ilikuwa nzuri, mbakaleo sijawahi kumuuliza kwanini aliamua kuacha kazi sikuile.

Ajabu nikwamba Mimi na browangu tunapendana kama mapacha lakini sijawahi kumuuliza mbaka Leo.
This time anapambana nje ya mipakahuko.

Bro K, kama upo humu take note ulinihuzunisha sana mwakaule nduguyangu, hahahàaa.
Mbaka X
Mpaka ✓
 
Nimepitia comments nyingi nimeona kila mtu amepata pa kutolea frustrations zake

Mkuu, kaa chini na ufikiri. Ondoa watu waliokutafutia kazi, hawa waliokereka na kila kitu then jiulize wewe kama wewe kama utaweza kuifanya

Je, nini kilikufanya uendelee na interview hata baada ya kujua ni kampuni na position ipi, naamini kuna sababu
nyingine ilikupush ukubaliane na hali. Je, huwezi kuitumia hiyo sababu kuendelea na kazi

Je, kama hii kazi huitaki ni nini umepanga kufanya au una supportive system ya kukufanya uendelee kuishi comfortably

Najua upo katika hofu sana lakini ningekuomba usitumie hisia kufanya maamuzi kuliko akili. Hisia zitakupeleka ufanye kitu ambacho ni safe and comfortable ila akili itakusaidia kuamua kitu ambacho ni SAHIHI

By the way kama ni mtu ambaye huna experience, jitahidi bhasi utoke maana ni rahisi kupata kazi ukiwa kazini lakini kama unaona moyo wako ni mzito sanaaa. Don't do it
 
Huyu angepitia tuliopitia sisi.sis picha linaanza part time ya kwanza tulifanya ile kusajil majina wakat ulee miaka flan ndio sheria imeanza.data entry pale aitel moroko enzi hizo.unaingia shift ya usiku unatoka asubuh.
Unalipwa kwa majina.mzee tumepiga ile kaz unaingia usiku unatoka asubuh naul yako mwenyew kula utajua mwenyewe pc yako mwenyewe tukadhulumiw hela tukaenda kukinukisha kule kwenye ofisi ya hao jamaa waliopewa tenda mikochen.weka kambi pale mpaka ikabidi kuja kusaidiwa na polisi ndio tukalipwa.laki na ishirin.
Kutoka hapo nikaingia customer care voda piga training pale mikochen pokea simu kichwa kinauma kama chote.we dogo wewe unaleta mchezo

Hizo ni story za kawaida kwa watu waliofanya kazi za marketing, sales au hiyo credit officer.

Kufanyishwa kazi kupitiliza, kulipwa hela mbuzi au kudhulumiwa haki yako ni normal sanaaa

Yani labda kukoswakoswa na kifo ndo kidogo huwa nashtuka

Cha msingi hatushindanii shida, kuna wengine hawajapitia msoto na wametusua na kuna wanaopitia misoto hadi kufa kwao

Tushauriane tu bro 😁😁 maana kwa hizo tambo anaweza kuogopa maisha yenyewe kumbe kila mtu ana ridhki yake
 
Nashukuru sana Kwa ushauri wako. Ila kabla ya kuomba Kazi nilikuwa Nina harakati ambazo nafanya ndio hizohizo nataka kuziendelezea pale zilipoishia.
Sasa uliomba kazi ya Nini , wakati ulikua na mishe zako , unakwama wapi mkuu
 
Unajua Mkuu kuna watu wengi hawakuelewi,

Wew kama umeshakubali kuacha kazi acha tu, akuna cha kungoja sijui miezi 3 wala 10

Pia sio lazima umwambie uyo aliekutafutia connect, ila ni vyema ukatumia busara na kumjulisha, atakavyo response vyovyote vile wala isikutishe songa mbele

Atuko kweny dunia ya kumridhisha kila mtu.
 
Huyu kaogopa kupuyanga remote area au juani maana kazi ya Credit officer mostly inataka hivyo
Ishu sio kazi au kupuyanga juani remote area, hiyo kazi unalipwaje ndo ishu ilipo
 
Salamu Kwenu Greatthinker(Akili kubwa).

Ushauri wako muhimu sana. Two weeks ago nilipewa connection Kwa Mzee wa makamu kidogo nikampigia simu kumuomba kazi the way nilivyoongea naye kupitia simu nilijionyesha kuwa Nina uhitaji sana na kazi hatimaye nikaitwa Kwenye interview japo Kwenye usaili palikuwa na graduates wengine ila kupitia ile connection nikafanikiwa kupata kazi nikapangiwa kituo changu.

Honestly Kwa nature ya kazi na nilivyojitathmini siwezi kufanya Kazi Na sio Kwa ubaya bali Kwa lengo la kutoharibu kazi za watu siku za mbeleni. Sasa nataka kuwasiliana na aliyenipa connection kuwa sipo tayari kuendelea kazi naombeni WanaJamiiforums ambao walishakutana na situation kama hii mnisaidie approach sahihi ya namna navyoweza kuacha kazi kubwa zaidi ni kumpa taarifa Mzee aliyenitafutia kazi in humble way asione kuwa nilikuwa namsumbua
Kazi za kutafta kwa connection ndo hizo, mwaka 2015 kuna mpangaji wangu mkewe alipangiwa kazi ya ofisa muuguzi wa zahanati ya kijiji wakati hajuwi hata kudunga sindano! Alikimbia kituo mwenyewe!
So kama na wewe upo kundi kama hilo, wewe hapo timka tu mwenyewe kimyakimya!
 
Kwanini uliomba connection ya kuajiriwa wakati ww upo more motivated kujiajiri mwenywe?
Nilipewa shinikizo kuomba ila Toka Mwanzo nilikuwa sipo interested kwani nilikuwa Nina miezi Mitatu Toka niache kazi yangu ya kwanza Kwa lengo la kujiajiri
 
Back
Top Bottom