Naomba ushauri jinsi ya kumuapproach aliyenitafutia kazi, nataka kuacha kazi

Naomba ushauri jinsi ya kumuapproach aliyenitafutia kazi, nataka kuacha kazi

Mkuu... Kwanza kabisa pole sana kwa hali unayopitia hapo kazini mpaka kufikia hatua ya kuwaza kuacha kazi.

Naelewa Discomfort unayoipata trust me! Nakumbuka Nmewahi kufanya kazi mkoa tofauti na Nyumbani, Ugenini ambako skua na ndugu wala rafiki, na kazi ambayo nlikua naifanya ilikua inanigombanisha sana na wafanyakazi, na raia wa eneo lile, Sometimes nlikua nkipita mtaani nasikia kabisa jamii inanizungumzia vibaya.

Hali hiyo ilinipa tabu sana na iliniathiri sana kisaikolojia, yaan ukizingatia kazi inafanywa kwa masaa 16 mpaka 17 alafu malipo kiduchu.

Nlivumilia for two years, then nkaamua kuondoka, but style yangu ya kuondoka ilikua hv... Nliondoka tu, siku kama tatu hv skufika kazini, then nkaandika barua kua naomba likizo ya dharura coz nna shughulikia matatizo home, yakiisha ntarejea tena, but sjaspecify ntarejea lini..

so i guess with time watachoka kunisubiri na watatafuta wa kunireplace.
 
Hutokaa ufanikiwe endekeza ujinga mara mimi ni good listener sijui Godfearing,,,, baghdad blali lebanon mother Teresa.
Siku utapewa mgodi usimamie utaanza mara siwezi kusimamia wavuta bangi, mazingira machafu, dhuluma, tanganyika jeki wewe, ......Kuwa uyaone.... Mwenzako Majaliwa kajitoa muhanga kuokoa majeruhi wa ndege wewe unashindwa ata kumuheshimisha aliekutafutia kazi ...balimi baridi sana wewe
Indeed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu... Kwanza kabisa pole sana kwa hali unayopitia hapo kazini mpaka kufikia hatua ya kuwaza kuacha kazi.

Naelewa Discomfort unayoipata trust me! Nakumbuka Nmewahi kufanya kazi mkoa tofauti na Nyumbani, Ugenini ambako skua na ndugu wala rafiki, na kazi ambayo nlikua naifanya ilikua inanigombanisha sana na wafanyakazi, na raia wa eneo lile, Sometimes nlikua nkipita mtaani nasikia kabisa jamii inanizungumzia vibaya.

Hali hiyo ilinipa tabu sana na iliniathiri sana kisaikolojia, yaan ukizingatia kazi inafanywa kwa masaa 16 mpaka 17 alafu malipo kiduchu.

Nlivumilia for two years, then nkaamua kuondoka, but style yangu ya kuondoka ilikua hv... Nliondoka tu, siku kama tatu hv skufika kazini, then nkaandika barua kua naomba likizo ya dharura coz nna shughulikia matatizo home, yakiisha ntarejea tena, but sjaspecify ntarejea lini..

so i guess with time watachoka kunisubiri na watatafuta wa kunireplace.
Nyie ndo mkija kuwa viongozi wa hili taifa mtakuwa mnaliingiza taifa matatizoni kwa kuvunja mikataba kihuni. Mkataba wako wa kazi unaruhusu hivyo ulivyofanya? Huoni ulichofanya kama vile hujuma tu?
 
Mkuu... Kwanza kabisa pole sana kwa hali unayopitia hapo kazini mpaka kufikia hatua ya kuwaza kuacha kazi.

Naelewa Discomfort unayoipata trust me! Nakumbuka Nmewahi kufanya kazi mkoa tofauti na Nyumbani, Ugenini ambako skua na ndugu wala rafiki, na kazi ambayo nlikua naifanya ilikua inanigombanisha sana na wafanyakazi, na raia wa eneo lile, Sometimes nlikua nkipita mtaani nasikia kabisa jamii inanizungumzia vibaya.

Hali hiyo ilinipa tabu sana na iliniathiri sana kisaikolojia, yaan ukizingatia kazi inafanywa kwa masaa 16 mpaka 17 alafu malipo kiduchu.

Nlivumilia for two years, then nkaamua kuondoka, but style yangu ya kuondoka ilikua hv... Nliondoka tu, siku kama tatu hv skufika kazini, then nkaandika barua kua naomba likizo ya dharura coz nna shughulikia matatizo home, yakiisha ntarejea tena, but sjaspecify ntarejea lini..

so i guess with time watachoka kunisubiri na watatafuta wa kunireplace.
Ndo njia nzuri ya kuacha kazi iyo
 
Mkuu... Kwanza kabisa pole sana kwa hali unayopitia hapo kazini mpaka kufikia hatua ya kuwaza kuacha kazi.

Naelewa Discomfort unayoipata trust me! Nakumbuka Nmewahi kufanya kazi mkoa tofauti na Nyumbani, Ugenini ambako skua na ndugu wala rafiki, na kazi ambayo nlikua naifanya ilikua inanigombanisha sana na wafanyakazi, na raia wa eneo lile, Sometimes nlikua nkipita mtaani nasikia kabisa jamii inanizungumzia vibaya.

Hali hiyo ilinipa tabu sana na iliniathiri sana kisaikolojia, yaan ukizingatia kazi inafanywa kwa masaa 16 mpaka 17 alafu malipo kiduchu.

Nlivumilia for two years, then nkaamua kuondoka, but style yangu ya kuondoka ilikua hv... Nliondoka tu, siku kama tatu hv skufika kazini, then nkaandika barua kua naomba likizo ya dharura coz nna shughulikia matatizo home, yakiisha ntarejea tena, but sjaspecify ntarejea lini..

so i guess with time watachoka kunisubiri na watatafuta wa kunireplace.
Ndo njia nzuri ya kuacha kazi iyo
 
Vumilia miezi kadhaa ukipata pesa mlipe fadhila yule mzee zeni tafuta escape plan binafsi kuna kazi nafanya ila siipendi mambo yangu yanaingiza pesa mara kumi ya iyo ninayoingiza kwa mwezi ila bado sijaacha nimejipa muda mwaka ukipinduka no matter what sitakuwa kazin
 
Nature ya Kazi ni Kudeal na mikopo Sasa nimejitahidi kuendana na mfumo lakini najikuta nafsi inakataa ni kazi ambayo inataka roho mbaya afu usiwe msikilizaji na pressure kutoka juu ni kubwa sasa Mimi ni good listener inshort sipo tayari kuifanya
Wewe ni Mwanamke?kwani ulichokuwa unakiomba ulikuwa Hujui sifa zake na utendaji wake?
Unajua mnakosea sana nyinyi watoto wa miaka ya 2000 kuja Juu sana

Nikukumbushe kama wazazi wako hawana mabillioni fanya hiyo kazi ndio itakupatia kazi unayotaka
 
Nature ya Kazi ni Kudeal na mikopo Sasa nimejitahidi kuendana na mfumo lakini najikuta nafsi inakataa ni kazi ambayo inataka roho mbaya afu usiwe msikilizaji na pressure kutoka juu ni kubwa sasa Mimi ni good listener inshort sipo tayari kuifanya
Asee hapo kwemye kuwa na roho mbaya!!!!, nimekuelewa vizuri sana !!
Niliwahi kumsikia ofisa mmoja Tanroad akitoa maelekezo kwa watu wake ,ati hii kazi hata ndugu yako usiwe ma mazoea naye wala usimchekee, wanaoambiwa sasa !, ni degree holders!! I was like !! Yani nipoteze utu wangu kwa ajili ya kazi ambazo huwa zinaisha kirahisi tu? , kuna tofauti gani na polisi ambao wakistaafu huwa wanaamua kufia wasikojulikana. Baada ya kuisbi maisha ya unafiki na roho mbaya.
Imagine trafiki anaamka asubuhi anaoga na kwenxa kazini ili akawatie majonzi madereva na faini za kubambikia na uonevu , halafu ndo ni daily routine.
 
Ngoja nikukumbushe mkuu ndio maana kwenye Sheria Kuna kitu kinaitwa termination of contact mtu kuacha kazi ni jambo la kawaida sana sababu Kuna reasons nyingi zinazomfanya mtu kuacha kazi.

So ukipewa connection sharti uifanye for the rest of your life sababu unaogopa kuumiza hisia za aliyekupa kazi what if kama ni kazi iliyojaa uonevu au unyonyaji? What if kama umepata fursa nyingine? What if kama unataka kujiendeleza.

Mkuu try to think kabla hujaandika nonsense hakuna sehemu nimeonyesha disrespect that why nimekuja hapa jukwaani Kwa ma GT but the badluck nimekutana na low thinker with a lot of emotions kama wewe. But lengo langu ni kutafuta approach nzuri ya kumwambia Mzee aliyenitafutia kazi na sio kumdisrespect.

Hayo maelezo yote yanafahamika.
Nilichoeleza Mimi ni kuwa watu wengi hawatoi connection (Nani nawaambia wasitoe hizo connection) Kwa sababu ya watu wapuuzi wenye akili Kama hii.

Kama unajua kuna termination of contract Kwa nini usitafute mwenyewe kazi? Kwa nini ni mpaka usumbue wengine!

Hivi unajua kinachotokea baada ya wewe kuacha kazi Kwa aliyekutafutia na huko alikokutafutia?
 
Nature ya Kazi ni Kudeal na mikopo Sasa nimejitahidi kuendana na mfumo lakini najikuta nafsi inakataa ni kazi ambayo inataka roho mbaya afu usiwe msikilizaji na pressure kutoka juu ni kubwa sasa Mimi ni good listener inshort sipo tayari kuifanya
Oooh zile utapewa mtu una ambiwa hakikisha una leta pesa aliyo kopa kwa njia yoyote ile kudadeki [emoji81][emoji81] na jamaa angu ili mshinda aka ondoka kama vile hakuwepo ya nini kujifia haitaki moyo wa kike , una enda kumdai mama ana watoto wote wana kuliliaa hadi una jihisi mkosaji ,wengine uvua nguo kabsa mbele ya watu plus vikombora ni full vituko
 
Enzi za Kimwete nilibahatika kupewa connection ya kuwa mwalimu wa chuo cha unesi na kimi nimesoma masomo ya biashara nilikomaa ile kazi mpaka wenye taaluma yao wakahisi mimi ni pure daktari kumbe njaa zimenitupia huko.
Ukiwa na njaa ya ukweli uta Apply flexibility law ili kufit humo then mambo yatajiset yenyewe
 
Enzi za Kimwete nilibahatika kupewa connection ya kuwa mwalimu wa chuo cha unesi na kimi nimesoma masomo ya biashara nilikomaa ile kazi mpaka wenye taaluma yao wakahisi mimi ni pure daktari kumbe njaa zimenitupia huko.
Ukiwa na njaa ya ukweli uta Apply flexibility law ili kufit humo then mambo yatajiset yenyewe
Yeapunacho kisema ni kweli mkuu,,👌💯
 
Hutokaa ufanikiwe endekeza ujinga mara mimi ni good listener sijui Godfearing,,,, baghdad blali lebanon mother Teresa.
Siku utapewa mgodi usimamie utaanza mara siwezi kusimamia wavuta bangi, mazingira machafu, dhuluma, tanganyika jeki wewe, ......Kuwa uyaone.... Mwenzako Majaliwa kajitoa muhanga kuokoa majeruhi wa ndege wewe unashindwa ata kumuheshimisha aliekutafutia kazi ...balimi baridi sana wewe
Comment Safi kabisaa
 
Back
Top Bottom