Naomba ushauri jinsi ya kumuapproach aliyenitafutia kazi, nataka kuacha kazi

Naomba ushauri jinsi ya kumuapproach aliyenitafutia kazi, nataka kuacha kazi

Hiyo ndio sababu wenye connection hawataki kuwapa Vijana wengi kazi Kwa sababu ya upuuzi Kama huu.
Wakati ukiomba mtu unavyolalama na kuomba msaada.
Mtu anakuambia Hana kazi, lakini unakazania kazi yoyote tuu.
Unapewa kazi unaleta utoto
Ngoja nikukumbushe mkuu ndio maana kwenye Sheria Kuna kitu kinaitwa termination of contact mtu kuacha kazi ni jambo la kawaida sana sababu Kuna reasons nyingi zinazomfanya mtu kuacha kazi.

So ukipewa connection sharti uifanye for the rest of your life sababu unaogopa kuumiza hisia za aliyekupa kazi what if kama ni kazi iliyojaa uonevu au unyonyaji? What if kama umepata fursa nyingine? What if kama unataka kujiendeleza.

Mkuu try to think kabla hujaandika nonsense hakuna sehemu nimeonyesha disrespect that why nimekuja hapa jukwaani Kwa ma GT but the badluck nimekutana na low thinker with a lot of emotions kama wewe. But lengo langu ni kutafuta approach nzuri ya kumwambia Mzee aliyenitafutia kazi na sio kumdisrespect.
 
Salamu Kwenu Greatthinker(Akili kubwa).

Ushauri wako muhimu sana. Two weeks ago nilipewa connection Kwa Mzee wa makamu kidogo nikampigia simu kumuomba kazi the way nilivyoongea naye kupitia simu nilijionyesha kuwa Nina uhitaji sana na kazi hatimaye nikaitwa Kwenye interview japo Kwenye usaili palikuwa na graduates wengine ila kupitia ile connection nikafanikiwa kupata kazi nikapangiwa kituo changu.

Honestly Kwa nature ya kazi na nilivyojitathmini siwezi kufanya Kazi Na sio Kwa ubaya bali Kwa lengo la kutoharibu kazi za watu siku za mbeleni. Sasa nataka kuwasiliana na aliyenipa connection kuwa sipo tayari kuendelea kazi naombeni WanaJamiiforums ambao walishakutana na situation kama hii mnisaidie approach sahihi ya namna navyoweza kuacha kazi kubwa zaidi ni kumpa taarifa Mzee aliyenitafutia kazi in humble way asione kuwa nilikuwa namsumbua
Eeeh umepata vijisenti subili viishe uanze kulala njaa tena ndo utajua
 
Ngoja nikukumbushe mkuu ndio maana kwenye Sheria Kuna kitu kinaitwa termination of contact mtu kuacha kazi ni jambo la kawaida sana sababu Kuna reasons nyingi zinazomfanya mtu kuacha kazi.

So ukipewa connection sharti uifanye for the rest of your life sababu unaogopa kuumiza hisia za aliyekupa kazi what if kama ni kazi iliyojaa uonevu au unyonyaji? What if kama umepata fursa nyingine? What if kama unataka kujiendeleza.

Mkuu try to think kabla hujaandika nonsense hakuna sehemu nimeonyesha disrespect that why nimekuja hapa jukwaani Kwa ma GT but the badluck nimekutana na low thinker with a lot of emotions kama wewe. But lengo langu ni kutafuta approach nzuri ya kumwambia Mzee aliyenitafutia kazi na sio kumdisrespect.
Tatizo wewe unataka ushauriwe unavyotaka wewe. Kama ulikuwa na majibu ya mambo yanayokusibu si ungekaa zako kimya tu? Acha upumbavu aisee.
 
Acha tu mkuu.

Maana nimesoma comment hata wanaokushauri uendelee unawajibu kuwa huwezi.

Kwa hiyo ulishafanya maamuzi Yako. Hukuwa na haja ya kuanzisha Uzi, huyo Mzee kama ulivyomtafuta akuombee kazi ndivyo hivyo mtafute umwambie umeshindwa kazi.
 
Mimi nashauri kabla hujaacha kazi tafuta kwanza mume mwenye hela akuoe ili uwe comfortable maana hakunaga kazi rahisi. Watu kama nyie ni laana kwa taifa. HAMSAIDIKI. Ukiacha kazi utamharibia sana huyo dingi asiaminike pia utawaharibia wengine wasisaidiwe na huyo mzee mwenye utu wake. Tatizo ninaamini kwenye ndoa ya mke mmoja ningeweza kukutolea posa.
Wewe ni aibu ya taifa. Umeandika ushuzi mtupu na kiingereza chako cha juhudi binafsi. Vijana wa kiume mnazidi kuharibika tu HAMUAMINIKI. Pumbavu sana. Kuna mwenzako aliacha kazi Kigoma ili apate tu nafasi ya kushinda klabuni pale jangwani. Nitakuunganisha nae ili akushauri.
Bado una safari ndefu sana mkuu you don't know about my life na Mimi sijui maisha yako. my rise and fall are nothing to you so don't try kuforce kuwaza kulinganana na mtazamo wako we have different experience
 
Hauko serious.. yani kwa vyovyote uliyekupa kazi atakuona haukuwa serious na kuna kitu unabidi ukijue Trust ndio kitu unaweza jenga for 1000 yrs ila ukakibomoa kwa sekunde 1
 
Salamu Kwenu Greatthinker(Akili kubwa).

Ushauri wako muhimu sana. Two weeks ago nilipewa connection Kwa Mzee wa makamu kidogo nikampigia simu kumuomba kazi the way nilivyoongea naye kupitia simu nilijionyesha kuwa Nina uhitaji sana na kazi hatimaye nikaitwa Kwenye interview japo Kwenye usaili palikuwa na graduates wengine ila kupitia ile connection nikafanikiwa kupata kazi nikapangiwa kituo changu.

Honestly Kwa nature ya kazi na nilivyojitathmini siwezi kufanya Kazi Na sio Kwa ubaya bali Kwa lengo la kutoharibu kazi za watu siku za mbeleni. Sasa nataka kuwasiliana na aliyenipa connection kuwa sipo tayari kuendelea kazi naombeni WanaJamiiforums ambao walishakutana na situation kama hii mnisaidie approach sahihi ya namna navyoweza kuacha kazi kubwa zaidi ni kumpa taarifa Mzee aliyenitafutia kazi in humble way asione kuwa nilikuwa namsumbua
Umebania nafasi za watu bure, hukujua kabla kazi unayoomba haikufai?
 
Salamu Kwenu Greatthinker(Akili kubwa).

Ushauri wako muhimu sana. Two weeks ago nilipewa connection Kwa Mzee wa makamu kidogo nikampigia simu kumuomba kazi the way nilivyoongea naye kupitia simu nilijionyesha kuwa Nina uhitaji sana na kazi hatimaye nikaitwa Kwenye interview japo Kwenye usaili palikuwa na graduates wengine ila kupitia ile connection nikafanikiwa kupata kazi nikapangiwa kituo changu.

Honestly Kwa nature ya kazi na nilivyojitathmini siwezi kufanya Kazi Na sio Kwa ubaya bali Kwa lengo la kutoharibu kazi za watu siku za mbeleni. Sasa nataka kuwasiliana na aliyenipa connection kuwa sipo tayari kuendelea kazi naombeni WanaJamiiforums ambao walishakutana na situation kama hii mnisaidie approach sahihi ya namna navyoweza kuacha kazi kubwa zaidi ni kumpa taarifa Mzee aliyenitafutia kazi in humble way asione kuwa nilikuwa namsumbua
kutafuta kazi nayo ni kazi pia
 
Mpigie umwambie unahitaji kuonana nae kisha mkisha onana umueleze sababu za kutaka kuacha kazi!

Kimsingi lazima ujiande kujibu maswali magumu sana maana inakera sana nakuumiza sana kumtafutia mtu kazi halafu anaikataa wakati mwanzo alikulilia sana...

Kwakweli utamvunja moyo sana huyo mzee lakini usimwambie kwenye simu bali mfate mwenye umuone muongee ana kwa ana
...Na ndio itakuwa Mwisho wa Yeye mukutafutia Kazi....au Hata Kumbomu TU !!!
 
Ndio mana watu huwa hawataki kuwasaidia wengine kupata kazi,mtu kakupambania wengine wamekosa halafu mwishoni unaleta unyangema?
 
NAWEZA NIKAKUITA MJINGA SAMAHANI LAKINI UNAJUA WATU WANGAPI WAMEKOSA IYO KAZI ???,HALAFU UKAPATA WEWE KAOLEWE NA MZUNGU BASI UKAE NYUMBANI YOUR STUPID
 
Ushauri comment #3 unaweza kuwa mzuri zaidi.

Mtafute muonane si habari ya kumpigia simu au kutumia sms.
 
Back
Top Bottom