jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Mshahara wake sh ngapi ili tukushauri vema?Credit officer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara wake sh ngapi ili tukushauri vema?Credit officer
Kutokana na mtazamo wako nakubali kuwa Mimi ni mpuuziWe ni mpuuzi....
Piga chini huo ujinga , mikopo unatakiwa uwe na roho mbaya , alaf anayenufaika ni aliyeko juu huku wewe mtenda dhambi kuu unakula kiduchu ...!!Nature ya Kazi ni Kudeal na mikopo Sasa nimejitahidi kuendana na mfumo lakini najikuta nafsi inakataa ni kazi ambayo inataka roho mbaya afu usiwe msikilizaji na pressure kutoka juu ni kubwa sasa Mimi ni good listener inshort sipo tayari kuifanya
Kutokana na mtazamo wako nakubali kuwa Mimi ni NgombeTena Ngombe kabisa
Kimsingi I'm not comfortable kudai madeni.Piga chini huo ujinga , mikopo unatakiwa uwe na roho mbaya , alaf anayenufaika ni aliyeko juu huku wewe mtenda dhambi kuu unakula kiduchu ...!!
Umenikosha sana "Tape measure" na comment yako hii.... Huyu jamaa ni KenchyType Islamabad kabisa....Hutokaa ufanikiwe endekeza ujinga mara mimi ni good listener sijui Godfearing,,,, baghdad blali lebanon mother Teresa.
Siku utapewa mgodi usimamie utaanza mara siwezi kusimamia wavuta bangi, mazingira machafu, dhuluma, tanganyika jeki wewe, ......Kuwa uyaone.... Mwenzako Majaliwa kajitoa muhanga kuokoa majeruhi wa ndege wewe unashindwa ata kumuheshimisha aliekutafutia kazi ...balimi baridi sana wewe
Mie mwenyewe kaniudhi...afu ukute ni me😝Hutokaa ufanikiwe endekeza ujinga mara mimi ni good listener sijui Godfearing,,,, baghdad blali lebanon mother Teresa.
Siku utapewa mgodi usimamie utaanza mara siwezi kusimamia wavuta bangi, mazingira machafu, dhuluma, tanganyika jeki wewe, ......Kuwa uyaone.... Mwenzako Majaliwa kajitoa muhanga kuokoa majeruhi wa ndege wewe unashindwa ata kumuheshimisha aliekutafutia kazi ...balimi baridi sana wewe
Yaani wewe ni falasi la kike...badala upate ujuzi huko mbeleni uje uanzishe yako...Kimsingi I'm not comfortable kudai madeni.
Sio ukute ni Me Mimi ni Mwanaume mkuu na kama nimekuudhi nisamehe lengo sio kukuudhi Mrs Lissu.Mie mwenyewe kaniudhi...afu ukute ni me😝
Kumbe wewe ushakuwa sugu wa kuacha acha kazi, utakuwa na pepo linakufanya uichukie kazi...Mkuu nishawahi kuacha kazi sehemu kimya kimya nilichokutana nacho sitaki kurudia mistakes
Kwa vile Huo ni mtazamo wako na hakuna anayekupangia endelea na fikra zakoYaani wewe ni falasi la kike...badala upate ujuzi huko mbeleni uje uanzishe yako...
True huenda ana roho za ajabuKumbe wewe ushakuwa sugu wa kuacha acha kazi, utakuwa na pepo linakufanya uichukie kazi...
Ukitoka hapo uanze tena kuomba utafutiwe kazi...
Kama ulijua una mishe zako, kwanini ulimsumbua mzee wa watu akutafutie kazi?
Kabisa na hajielewi nini anataka katika maisha. Mwache aache kazi aone kazi...True huenda ana roho za ajabu
Huo ni mtazamo wako Bantu lady na naheshimu mawazo yako.Kumbe wewe ushakuwa sugu wa kuacha acha kazi, utakuwa na pepo linakufanya uichukie kazi...
Ukitoka hapo uanze tena kuomba utafutiwe kazi...
Kama ulijua una mishe zako, kwanini ulimsumbua mzee wa watu akutafutie kazi?
Ha ha 😂. Thanks Kwa ideaAu nenda kazini huku umelewa, wakufukuze kazi
Sawa Mkuu Sina experience ya maisha.? So Wacha nikaitafute hiyo experience hukohuko mtaaniHahah dah huyo jamaa bado haha experience maisha huyongoja aingie mtaani huku Hana kazi