Naomba ushauri juu ya namna nzuri ya kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha tu

Naomba ushauri juu ya namna nzuri ya kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha tu

Bora ukajenga za kupanga kivyake na ya kuja kuishi wewe kivyake. Usiwaze kuja kuishi kwenye iyo nyumba uliyopangishia mtu.

Pia kama mdau alivyoshauri hapo juu kabisa, jenga chumba sebule choo pia uwe na parking ya magari. Usiwe na mawazo ya wapangaji hawana magari 😂.

Ila hizi za chumba kimoja cha 3*3 aisee zinasumbua na hazilipi.
 
Diversity, unafanya hivyo ili kuwa salama, sio pesa zote utakaa nazo kwa biashara za chap mkuu, sometimes utaumwa
Hii Biashara hua naona ni Kwa matajiri ambao tayari wanapesa na kwamba hapa ni mahala pa kuhifadhi pesa na sio "kutafutia" pesa.... Yaani uwekeze 108m upate return ya 900k ambapo ni around 10.8m kwa mwezi... Kwamba inahitajika zaidi ya miaka kumi kurejesha tu fedha yako.... Noway!!

108m Ina alternative nyingi Sana ya quick return!
 
Bado hayo maelezo hayatoshi kupewa ushauri nzuri. Kuna apartments nyingi mitandaoni zinauzwa.
Tatizo ni location.

Aina ya watu wanaokaa mwembe Mdogo.
Idadi Yao.
Umbali kutoka barabara kuu, umeme na maji upatikanaji wake pamoja na huduma za jamii.
Wastani wa kipato na source ya kipato Chao.
Mkuu mbona unacomplicate sana mambo?

Kujenga ni suala moja, kuanza kukusanya faida ni suala jingine.

Sijawahi fika eneo linalozungumziwa, kwa uzoefu wangu, wateja ni kama maji ya bahari, kuna muda wanaongezeka na kuna muda wanapungua, kikubwa kitega uchumi mtu anakuwa nacho, kajenga kawekeza.

Apate kidogo ama kingi ni uwekezaji wa kudumu huo.
 
Mkuu mbona unacomplicate sana mambo?

Kujenga ni suala moja, kuanza kukusanya faida ni suala jingine.

Sijawahi fika eneo linalozungumziwa, kwa uzoefu wangu, wateja ni kama maji ya bahari, kuna muda wanaongezeka na kuna muda wanapungua, kikubwa kitega uchumi mtu anakuwa nacho, kajenga kawekeza.

Apate kidogo ama kingi ni uwekezaji wa kudumu huo.
Sahihi
 
Ina tegemea na kiwanja,
Ila vya kuzingatia,
Inabid ziungane, ila make sure wapangaji hawaonani, yan zisikae kama frame 😂😂😂
Ukiweza kuweka maget mawili au matatu inakuwa fresh, ili wapangaji wasionane 😂😂 wapangaji wana maneno 😂😂 so unaweza weka vyumba viwili viangalie mbele, viwili kulia viwili kushoto,

Epuka kuweka shared mita kwa watumiaji wengi, ukiweza weka wawili wawili, itakupa advantage kwenye kupata wateja wenye hela,
nmependa ushauri wako wa namna ya ujenzi.

kweli unazijua changamoto zetu, hatupendi kuonana kabisa

nyumba nzuri ya kupanga ni ile iliyozingatia PRIVACY hamnaga kero nyingine ukiondoa PRIVACY kwenye upangaji.
 
Mkuu mbona unacomplicate sana mambo?

Kujenga ni suala moja, kuanza kukusanya faida ni suala jingine.

Sijawahi fika eneo linalozungumziwa, kwa uzoefu wangu, wateja ni kama maji ya bahari, kuna muda wanaongezeka na kuna muda wanapungua, kikubwa kitega uchumi mtu anakuwa nacho, kajenga kawekeza.

Apate kidogo ama kingi ni uwekezaji wa kudumu huo.
Complicate??
Yaani unataka kujijenga apartments na hujui lolote kuhusu hiyo location?
Mkuu kama haupo tayari kujifynza na kufanya utafiti achana na biashara hizi mbili.
1. Real estate.
2. Transportation
Ila unaweza kubahatisha.
 
Mkuu, ukitaka uenjoy, jenga nyumba ya kupangisha bachelors wenye pesa,
Jenga chumba jiko choo,
Chumba sebule jiko choo,

Hizo hapo juu zina pesa, pia soko lake ni zuri na wateja wake wana kipato hivyo hawasumbui sana kulipa,
Kama upo Dar,

Chumba jiko choo, utaweza kudai 80-100 inategemeana na eneo

Chumba choo sebule jiko utadai 100-150 kulingana na eneo
uzi ungeishia hapa cha msingi ajenge kitu standard asibanie pesa maana nyumba ni kitu inakaa maisha
 
Nazungumzia izo jenga karibu na barabara uswahilini, ukikosa wapangaji niite, ilimradi kiwe kikubwa, vyoo visafi, gypsum, maji,eneo la kujidai yani uwani etc sidhan kama inazid ml100 iyo
 

Attachments

  • 20240410_100651.jpg
    20240410_100651.jpg
    1.5 MB · Views: 27
Yes mzee mbona watu wanapanga vizuri tena wanabook hata kabla nyumba haijaisha, point viwe vikubwa tu ata hamsin unachukuwa aya vyumba kumi yani yan tano huku tano huku kati veranda unakuja 500k monthly
Yes boss,

Pia hata ujenzi wake ni nafuu (return chap chap) maana kodi nayo ndogo

Mimi niliwaza nijenge tofari kwa kuchorea namalizia ndani nje naacha bati napiga nyeupe
Tiles reject, sink nanunua zile za mtaani aka pre loved,

Nondo nachukua zile za kunyoosha, dirisha wavu kawaida, milango kama ile ya mageti nmeona wanaweka moshi wanachanganya na kioo
 
Yes boss,

Pia hata ujenzi wake ni nafuu (return chap chap) maana kodi nayo ndogo

Mimi niliwaza nijenge tofari kwa kuchorea namalizia ndani nje naacha bati napiga nyeupe
Tiles reject, sink nanunua zile za mtaani aka pre loved,

Nondo nachukua zile za kunyoosha, dirisha wavu kawaida, milango kama ile ya mageti nmeona wanaweka moshi wanachanganya na kioo
Nondo za kunyoosha, unamaanisha 'used'?

Wapi huko wawezapata hadi nondo na masinkiya mtumba?

Nondo ama sinki ukishavipachika mjengoni nani atakayeelewa ulipata kamseleleko?

Kama kuna mi wallput ama gipsum ya mtumba pia nishitue kiongozi.
 
Nondo za kunyoosha, unamaanisha 'used'?

Wapi huko wawezapata hadi nondo na masinkiya mtumba?

Nondo ama sinki ukishavipachika mjengoni nani atakayeelewa ulipiata kamseleleko?

Kama kuna mi wallput ama gipsum ya mtumba pia nishitue kiongozi.
Yes boss nilikua nafatilia video moja nkaona mtu kajenga vizuri kupitia hivi vitu used....

jamaa yangu pia fence kaweka nondo 16mm used imekaa poa huku sisi tunang'ang'ana na 12mm za dukani😂

Chimbo la nondo used kimara suka... niliona wananyoosha nyoosha pale af milango na mageti nenda tabata relini kule, pia kama unaenda mbagala kuna ile sehem daraja/kivuko cha train kama sijakosea limepita juu angalia ule upande wa kulia

Kama unajua zilipo kua office za ubongo kids/mitaa ya macho pale msasani we vuka ule upande wa nmb (kulia ukiwa unaenda masaki) ule ukuta wote wa CCBRT pembeni utaona makokoto mambao pale kuna chimbo zuri la ma_sink quality A+ maaana sidhan kama yametumika sana mengine ni racket😅
 
Bora ukajenga za kupanga kivyake na ya kuja kuishi wewe kivyake. Usiwaze kuja kuishi kwenye iyo nyumba uliyopangishia mtu.

Pia kama mdau alivyoshauri hapo juu kabisa, jenga chumba sebule choo pia uwe na parking ya magari. Usiwe na mawazo ya wapangaji hawana magari 😂.

Ila hizi za chumba kimoja cha 3*3 aisee zinasumbua na hazilipi.
3*3 nini Mkuu?
 
Daaa kaka,milion 60 ndio ikupe return ya laki 9 kwa mwezi? hizo apartment sita unazotaka kujenga kwa hiyo hela zina ubora gani? Una uzoefu na ujenzi wowote? Anyway ngoja tupeane uzoefu,nilikuwa na pesa nilitaka kuiwekeza kama wewe,hiyo option ya kujenga nyumba ya wapangaji niliiwaza,lakini kiukweli nikaja kuona hailipi...unaweka hela nyingi kwenye ujenzi lakini return ni ndogo sana. Ngoja mainjinia waje lakini hiyo hela ukijenga nyumba standard unaweza kupata apartment mbili au tatu tu. Kwahiyo tegemea kuingiza 300k mpaka 450k kwa mwezi. Ujenzi ni gharama sana sa hivi.
Kweli kabisa. Biashara ya kupangangish nyumba unafanya investment kubwa ila Return yake ndogo. Let's hapo hata kiwanja bado.

So ku invest 60M kwa return ya 900K, Ambayo ni 9M kwa mwaka, means hadi ifike miaka 7 ndipo uanze kupata faida.

Kuna biashara zenye majina makubwa na faida kidgo.

Hiyo hela si bora utupie Utt au ununue Bonds, fedha yako inabaki na unapata gawio?

Kama bado una akili ya kutaka kujenga sikushauri, Secure viwanja, vifuge, hela ingine invest passively.

Otherwise jenga A frame houses, ziweke Airbnb. Hapo utacheza na 20M kwa each, ukitumia materials kama Interlocking bricks, plastic woods au Mega panel.. ukiwa navyo viwili unaendelea kujitafuta.

Jilipue fanya tafiti ya biashara zingine, usiweke zaidi ya 5M after kuijua hiyo biashara. Anzia mwisho kuja mwanzo, anzia ku network na masoko.
 
Mkuu, ukitaka uenjoy, jenga nyumba ya kupangisha bachelors wenye pesa,
Jenga chumba jiko choo,
Chumba sebule jiko choo,

Hizo hapo juu zina pesa, pia soko lake ni zuri na wateja wake wana kipato hivyo hawasumbui sana kulipa,
Kama upo Dar,

Chumba jiko choo, utaweza kudai 80-100 inategemeana na eneo

Chumba choo sebule jiko utadai 100-150 kulingana na eneo
Bila kusahau na kastoo ka kiaina
 
Back
Top Bottom