Naomba ushauri juu ya namna nzuri ya kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha tu

Naomba ushauri juu ya namna nzuri ya kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha tu

Huku mbezi kuna nyumb imejengwa kw bajeti ya milion 40 ila inatoa return ya 600k kwa milango mnne
Ni kwamba kajenga nyumba moja kubwa ila ndan yake kuna chumba sebur choo na jiko na kila mtu anatumia mlango wake na anaingilia upande wake wanachowez kushare ni uwanja wa kuanikia nguo
Unawez kujenga self servant kota ya chumba sebure choo na jiko weka bajeti ya milion kum kila kimoja ambapo utapata nyumba 6 kam upo location nzuri unavuta 150k alaf shega
Tutafutana kwa koneksheni ya mafundi
 
Hii yote shida nini?
Ina tegemea na kiwanja,
Ila vya kuzingatia,
Inabid ziungane, ila make sure wapangaji hawaonani, yan zisikae kama frame 😂😂😂
Ukiweza kuweka maget mawili au matatu inakuwa fresh, ili wapangaji wasionane 😂😂 wapangaji wana maneno 😂😂 so unaweza weka vyumba viwili viangalie mbele, viwili kulia viwili kushoto,

Epuka kuweka shared mita kwa watumiaji wengi, ukiweza weka wawili wawili, itakupa advantage kwenye kupata wateja wenye hela,
 
Huku mbezi kuna nyumb imejengwa kw bajeti ya milion 40 ila inatoa return ya 600k kwa milango mnne
Ni kwamba kajenga nyumba moja kubwa ila ndan yake kuna chumba sebur choo na jiko na kila mtu anatumia mlango wake na anaingilia upande wake wanachowez kushare ni uwanja wa kuanikia nguo
Unawez kujenga self servant kota ya chumba sebure choo na jiko weka bajeti ya milion kum kila kimoja ambapo utapata nyumba 6 kam upo location nzuri unavuta 150k alaf shega
Huyu anahitaji Miaka 6 hadi 7 kurejesha 40M
 
Hii Biashara hua naona ni Kwa matajiri ambao tayari wanapesa na kwamba hapa ni mahala pa kuhifadhi pesa na sio "kutafutia" pesa.... Yaani uwekeze 108m upate return ya 900k ambapo ni around 10.8m kwa mwezi... Kwamba inahitajika zaidi ya miaka kumi kurejesha tu fedha yako.... Noway!!

108m Ina alternative nyingi Sana ya quick return!
Hiyo quick return si ndo share hapa mkuu au....
 
Hii Biashara hua naona ni Kwa matajiri ambao tayari wanapesa na kwamba hapa ni mahala pa kuhifadhi pesa na sio "kutafutia" pesa.... Yaani uwekeze 108m upate return ya 900k ambapo ni around 10.8m kwa mwezi... Kwamba inahitajika zaidi ya miaka kumi kurejesha tu fedha yako.... Noway!!

108m Ina alternative nyingi Sana ya quick return!
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom