Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Wazo zuri kila lakheri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutafutana kwa koneksheni ya mafundiHuku mbezi kuna nyumb imejengwa kw bajeti ya milion 40 ila inatoa return ya 600k kwa milango mnne
Ni kwamba kajenga nyumba moja kubwa ila ndan yake kuna chumba sebur choo na jiko na kila mtu anatumia mlango wake na anaingilia upande wake wanachowez kushare ni uwanja wa kuanikia nguo
Unawez kujenga self servant kota ya chumba sebure choo na jiko weka bajeti ya milion kum kila kimoja ambapo utapata nyumba 6 kam upo location nzuri unavuta 150k alaf shega
Hili ni MUHIMU sana alizingatieBadilisha mawazo jenga lodge ya vyumba hata 5, vya elfu 15k each ela yako itarudi mapema bila usumbufu, kudai kodi na kwenyewe ni mtaala uwekwe vyuoni.
Ina tegemea na kiwanja,
Ila vya kuzingatia,
Inabid ziungane, ila make sure wapangaji hawaonani, yan zisikae kama frame 😂😂😂
Ukiweza kuweka maget mawili au matatu inakuwa fresh, ili wapangaji wasionane 😂😂 wapangaji wana maneno 😂😂 so unaweza weka vyumba viwili viangalie mbele, viwili kulia viwili kushoto,
Epuka kuweka shared mita kwa watumiaji wengi, ukiweza weka wawili wawili, itakupa advantage kwenye kupata wateja wenye hela,
Huyu anahitaji Miaka 6 hadi 7 kurejesha 40MHuku mbezi kuna nyumb imejengwa kw bajeti ya milion 40 ila inatoa return ya 600k kwa milango mnne
Ni kwamba kajenga nyumba moja kubwa ila ndan yake kuna chumba sebur choo na jiko na kila mtu anatumia mlango wake na anaingilia upande wake wanachowez kushare ni uwanja wa kuanikia nguo
Unawez kujenga self servant kota ya chumba sebure choo na jiko weka bajeti ya milion kum kila kimoja ambapo utapata nyumba 6 kam upo location nzuri unavuta 150k alaf shega
Hiyo quick return si ndo share hapa mkuu au....Hii Biashara hua naona ni Kwa matajiri ambao tayari wanapesa na kwamba hapa ni mahala pa kuhifadhi pesa na sio "kutafutia" pesa.... Yaani uwekeze 108m upate return ya 900k ambapo ni around 10.8m kwa mwezi... Kwamba inahitajika zaidi ya miaka kumi kurejesha tu fedha yako.... Noway!!
108m Ina alternative nyingi Sana ya quick return!
Uko sahihiHii Biashara hua naona ni Kwa matajiri ambao tayari wanapesa na kwamba hapa ni mahala pa kuhifadhi pesa na sio "kutafutia" pesa.... Yaani uwekeze 108m upate return ya 900k ambapo ni around 10.8m kwa mwezi... Kwamba inahitajika zaidi ya miaka kumi kurejesha tu fedha yako.... Noway!!
108m Ina alternative nyingi Sana ya quick return!