Naomba ushauri kuhusu biashara Spare za Pikipiki

Kila lenye kheri kwako
 
Wauza mwenyewe au umeweka mtu
 
Hii ndio spirit ambayo Watanzania tunatakiwa tuwe nayo. Hongera sana Mkuu na Mungu akubariki.
 
Mkuu maendeleo ya biashara yapoje?

Naendelea Vyema kaka nilianza mapema February na mtaji wa 5m na maendeleo ni makubwa sana namshukuru Mungu,,,ingawa hapo kati changamoto kubwa nimekumbana nayo ni mafundi tu ila nimejifunza sana na kuadvance
Pia muda huo nimejifunza kukisoma na kuelewa kila spea kwenye pikipiki zote kuanzia boxer,tvs,haoujue,gn za kawaida n.k spea zake, inavyofanya kazi na mahali inapofungwa.

Kiufupi biashara ni nzuri sana ila inahitaji umakini sana na eneo zuri lenye mzunguko wa kutosha faida lazima uione.
 
Pambana pambana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…