Kuna kisa kilinitokea,mpaka sasa sina hamu ila nimekubali matokeo.Huyo Ni wewe Sasa siye Mimi ..nanina shukuru msimamo wangu huo umenisaidia mpaka leo
Pengine mzee Chizi huyu yani muda wa kula matunda kwa wingi na mboga mboga eti ana miaka zaidi ya 50+ ana chimba msingi wa nyumba ndogo!!Ningekua mimi ndio wewe hata hiyo ndogo sijengi ng'o!
Ambacho ningefanya ni kurudi kwa mke wangu, kumweleza ukweli na kulea watoto
Hapo ndio angejua kukutana na mjumbe mwenye roho yake ya Wajumbe mfyuuuu
fundi25 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa inaelekea ameenda shule lakini amezidiwa maarifa na bi mdogo ambae inaelekea elimu yake ni kama ya kwangu tu.Ningekua mimi ndio wewe hata hiyo ndogo sijengi ng'o!
Ambacho ningefanya ni kurudi kwa mke wangu, kumweleza ukweli na kulea watoto. Najua mke angeelewa maana hakuna neno zuri kama kuombwa msamaha wa kosa ambalo hulijui...... Yaani unaelezwa kosa na kuombwa msamaha
Hapo ndio angejua kukutana na mjumbe mwenye roho yake ya Wajumbe mfyuuuu
fundi25 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu jipange ukisha fikisha miaka 50 sio huna muda wa kushauriwa tena ni muda kama una nguvu ni muda wa kuangalia fursa na kutafuta usingizi usiku sio muda wa kuangaika na mipango ya kando pengine kama ulijipanga vizuri ni muda wa kucheza na wa jukuuKuna watu wanajidai majasiri humu ila yakiwakuta wanalialia wakati hatuwaoni,mpaka hapo kaka uko vizuri.you are mentally very strong.
[emoji1][emoji1][emoji1]huyu babu anakaribia 70 anatuzuga na Sasa kafulia kumfuraisha mchepukoNimecheka kwa kweli..babu anataka mchepuko upambwe pambwe usiitwe mchepuko
Duh.. ila mzee unavotuweka roho juu [emoji3][emoji3] andika kabisa kipande utupie13.- sasa tunafukuzwa kabisa kule nyumbani kwetu,
Namwona nwenzangu anasusua kuondoka, naagiza gari linafika saa kumi usiku, tunapakia mizigo by saa11 asubuhi, tunaondoka
Makao mapya tunafika saa saa mbili asubuhi asubuhi,
Milango miwili wa mbele mkubwa na wa jikoni
Nilinunua pale pale alaf, ile mieupe, sikumbuki vizuri bei yake ila nadhani ni kama 200000
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Dar Gani hiyo kiwanja cha sqm 1200 kwa 1.8m??
Wanaume huwa mnajitesa pasipo sababu kwa kweli😃😃 Hapo kaka mkubwa Mwitore anaona wivu kumwacha wenzie watafaidi bila kujua uwepo wake ndio wanafaidi zaidi😅😅😅😅Pengine mzee Chizi huyu yani muda wa kula matunda kwa wingi na mboga mboga eti ana miaka zaidi ya 50+ ana chimba msingi wa nyumba ndogo!!
Amekula ujana vibaya kwa kweli hafu anatafta huruma humu, mgeni wa bunyeSamahani lakini mzee pimbi kweli ujuwe asipo ambiwa ukweli atazidi kuwa pimbi miaka 50 ni miaka ya kukusanya kodi yeye ndio ana chimba msingi wa nyumba ndogo
Hebu fafanua zaidi "uwepo wake ndio wanafaidi zaidi"Wanaume huwa mnajitesa pasipo sababu kwa kweli😃😃 Hapo kaka mkubwa Mwitore anaona wivu kumwacha wenzie watafaidi bila kujua uwepo wake ndio wanafaidi zaidi😅😅😅😅
Cha mlevi huliwa na mgema
Ajuwe hizo ni mbio za sakafuni!Wanaume huwa mnajitesa pasipo sababu kwa kweli😃😃 Hapo kaka mkubwa Mwitore anaona wivu kumwacha wenzie watafaidi bila kujua uwepo wake ndio wanafaidi zaidi😅😅😅😅
Cha mlevi huliwa na mgema