- Thread starter
- #681
9- march mwishoni, naona nvua za masika zinakaribia na paa robo nzima lipo wazi,
Naamua ku apply mkopo bank, napata 3 m
Namalizia bati na pesa ya fundi
10-April. Muda tuliopewa tuhame umefika,
Nyumba haina milango, oops nilisahau bahati nzuri tulishaweka order ya magril ya nyumba nzima, tunayapachika lakini milango ya mbao wala aluminum hakuna,
11- april hiyohiyo anarudi lakini nimepata taarifa kumbe alienda kwao kwa ajili ya kuanza ujenzi wa nyumba yake huko kwao,
Napiga kelele naambiwa, ameondoka kule nyumba ipo kozi ya 4
Naamua ku apply mkopo bank, napata 3 m
Namalizia bati na pesa ya fundi
10-April. Muda tuliopewa tuhame umefika,
Nyumba haina milango, oops nilisahau bahati nzuri tulishaweka order ya magril ya nyumba nzima, tunayapachika lakini milango ya mbao wala aluminum hakuna,
11- april hiyohiyo anarudi lakini nimepata taarifa kumbe alienda kwao kwa ajili ya kuanza ujenzi wa nyumba yake huko kwao,
Napiga kelele naambiwa, ameondoka kule nyumba ipo kozi ya 4