Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Kwa nini ujue tabia ya mchepuko na sio hata mke wako, kwani mke naye si ni binadamu,
Ana tofauti gani na mchepuko?
Mzee wangu acha kujifanya nunda, hujaja kubishana humu umekuja kuomba ushauri. Watu wote hawatakupa ushauri unaoutaka wewe, hivyo ni jukumu lako kuchambua vipi vya kubeba na vipi vya kuacha.
 
Uza mpeleke mke mkubwa DREAM COUNTRY YAKE MKAALE BATA CORONA IKIISHA BABA ANGU PIGA CHINI HUYO PUGI KABISAAA...Usilaumu kidondaa angalia ulipojikwaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio muongo, jamaa ni mkweli kabisa sema amependa/ ameikubali maku ya huyo demu/ mchepukoo[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani hata hao watoto wanaweza wakawa sio wako
Yaani sijui kwanini naamini kuna kubambikiziwa hapa. Nawaona majamaa wa kkoo kbs walishafanya yao. Hapa utapeli tu. Na watoto walivyolaanika wameshaanza ukurubembe wa mama yao. Mke halali milango ya riziki ikazidi kufunguka juu yako. Lolotelo baya likakukose.

Yaani kiujunla hapa hakuna ndoa. Piga spana mchepuko huo. Tena na watoto wake. Kama wanakukosea adabu wewe wa kazi gani. Hamna ndoa yoyote hapo. Ndoa ya kikristu ni moja tu. Na kama ndo ya katoliki tembea kifua mbele.

Zaidi nakuomba uza mjengo na kila kitu ambacho huyu mwanamke alikua associated nacho. Bajet nzima peleka mezani kwa mke halali. Fanyeni mahesabu na mipango. Uzaaa kila kituu shwnzi. Kanunie eneo sehem ya mbali kabisa. Tena weka majina ya watoto wa mke mkubwa kukomesha kbs. Mpk awe na adabu ndo uangalie namna ya kuwasaidia. Yaan mahawara bwana... yaani usimpe hata mia. Au nna roho mbaya mimi jamani?
 
Kuna watu wakiwa na misiba wakisikia na wewe rafiki yao una msiba wanapata faraja
Hili ni neno,asilimia kubwa ya rafiki zake ni dhiki kwisha kazi, yeye maisha aliyonayoni kama yupo peponi, huwezi amini kila nikienda kwake lazima nipite Buchanan nichukue nyama ya kutosha, na mala nyingi ni steak au maini,

Siku wanawake wenzake wanamwambia ‘ee mume kwa kubeba vimifuko hajambo “ naye akaja kuniambie, siku moja tumegombana,
Si akanikashifu eti sitaki hivyo vimifukofuko vyako, SIKUAMINI!
 
Ni hivi, ukioa mwanamke mwenye level ndogo sana ya uelewa,shida hii lazima ikupate.
Nna kaka yangu alidanja kwa kesi ya,mwanamke mpuuzi kama huyu.
Yaan ujue nampatia picha kuanzia appearance yake mpk dress code..
Licha ya kuwa mchepuko, je angekua mke halali wa ndoa angekua na tabia hizi still angevumilika? Limbukeni sana huyu....
 
HuYu mzee yuko kwenye dennial stage. Bado hajaweza kumove on. Apelekwe kw wanasaikolojia. Lakini akubali hapakua na mapenZi toka mwanzo.
Huyu mpaka aje afike acceptance stage tutakuwa tumeshamzika.

Mzee mbishiiiiii, pamoja na mchepuko kumfanyia visa vibaya lkn eti bado anaamini wataendelea kuwa wote[emoji38][emoji38]
 
uko sawa kabisa mzee wamesha muonamo
 
Mmmmmh...[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji134]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Eeh, nataka kujua ni talaka gani hiyo anapewa. Ama kisa waliona mchungaji kaja? Halaf.mpaka sasa sijaelewa kwanini mchungaji alikuja. Alikujaje? Kufanya nini? Huyu mchepuko akiwa kama nani?

Yaani angekuja paroko hapo kingenukaaa[emoji23][emoji23] yaan mchungaji anaenda kubargain uzinzi na mchepuko? Tupewe jina la mchungaji afutiwe hito Theolojia yake... ama ndo aliaminishwa ni wanandoa halali?
Ningekua mimi ni dada wa huyu mzee huyu mchepuko angekula mabuti ya kifa mtu.... sipendi ujinga ktk haki. Halaf kama naona kembamba sana hv[emoji23][emoji23][emoji23][emoji112]
 
Nimesoma hadi sehemu ya 21
Itoshe kusema utavuna ulichopanda.
Mnatega wenyewe mabomu yakianza kuwalipukia mnalia.
Hii iwe fundisho na kwa wanaume wengine wenye macho juujuu na tamaa za kijinga..badala kukaa na familia zao wanaenda hangaika nje..na mtakufa siku si zenu.
 
Huyu mpaka aje afike acceptance stage tutakuwa tumeshamzika.

Mzee mbishiiiiii, pamoja na mchepuko kumfanyia visa vibaya lkn eti bado anaamini wataendelea kuwa wote[emoji38][emoji38]
Nachosikitika ni kwamba hataki maneno magumu. Ataponaje hapa sasa. Na yeye ndo ameruhusu haya yafike huku
 
Nimekuelewa Sana heka heka zipo kila kona binamu hata huko kwa mke mmoja kuna wamama wengi wametelekezwa baba kahamia kwa mchepuko anarudi uzeeni vituko asubuhi na jioni ndo maana watoto wengi wanahudumia mama zao Nina mifano mingi ya wanawake waliotelekezwa au wanaishi miserable life unajipa moyo wa kwako peke yako lakini wanaenjoi wengine kabisaa wewe unabaki na cheti cha ndoa km ushahidi tu....!!!!Bora kutambulika nijue tuko wanne vurugu zipo tu hiii jinsia ni tata kiukweli sema wengine wameamua tu kuishi Kinaafiki na ndo naona wanandoa wengi wanaishi hvyo akiwaza age goo hana namna tena lakini vaa viatu vya huyu mke halali siku amejua ukweli miaka yoote anadanganywa kama mtoto au zoba vile...Aseehh bora nijue tuko wawili mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtu alikuwa anakufanya unaishi kwa presha sana mkuu dah!! Yaan mifuko ya zawadi tena anaona unamdhalilisha!! Huyu alikuchoka
 
Tupo irrational sana, 50yrs ni kibabu?, labda kama kwao lishe ni duni ila umri huo kama mtu yupo healthy hawezi kuwa kibabu. Najua wengi wanaongea hivyo ili kumpa psychological torture na hivyo wanajisikia furaha...
Ndugu yangu hili neno kibabu, inabidi nikubali tu
Maana kila nikiwaona vibabu na mimi ninavyoonekana mpaka naanza kujishuku “ hivi na mimi ndio niko kama huyu babu kweli “

Hapana sio kweli, mbona nipo physical fit kuliko hata hapa wanaojiita vijana,

Nadhani inabidi sasa tuanze kuitana majina yetu hata hata kama mtu kakuzidi umri kia gani,

Wazungu wamefika hulo tayari
 
Mi naomba niulize hivi bi mkubwa huwa unamuachaje unapokuwa unashinda huko nyumba ndogo mbona kama unaishi kwa bi mdogo sana
Mbona kama mkeo anajua tayari kwa jinsi wanawake tulivyo kweli asiwe amehisi chochote [emoji848]

Mimi pia nimeuliza, yaani kwa wanawake walivyo wiki mbili nyingi.
 
Mheshimiwa kutaka kubishana na walimwengu ni kujitaftia kazi ya kukupa stress bure, waache waite wanavyo jiskia!! Usichukulie serious sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…