Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Wanawake wenzangu naomba niseme kwa maoni yangu kuna wanawake wachawi jamaniii msiombeee watu tuna maushuhudaa meengi hatusemi tumechoka tu.

Kuna wanawake wanaletwa mjini teknikali washavishwa maagano ya kichawi kwamba akifika akikutana na mwanaume mwenye hela amroge amtongoze,ahakikishe anamzalia anamtawala...Ukitazama story ya huyu baba jamani huu ni uchawi live yaani alirogwa akarogeka maana kwa status yake alishindwa kumpata mwanamke kazini kwake huko?kaenda tu kuvamia demu halafu huyo demu ukisoma vizuri alivompata mshikaji Akahma fastaa pale kwa mwenyeji wake. Huyo Dada ni mchawi maana kwa aliyofanyiwa na huyu mwanaume na vituko alivyofanyiwa si akili ya kawaida jamani.

Nawaomba ombeeni sana baba zetu,tuombee sana watoto wa kiume wetu,kaka zetu na zaidi waume zenu..UChawi upo na unafanya kazi na shetani yupo kazini...
Tunaweza shabikia kua amekomeshwa hatujui ndugu zetu wa kiume wanakula vichafu vingapi huko mitaani!Wanawake sisi miongoni mwetu ndo hao hao tunaharibu waume za watu.Jamani usiombe mmeo arogwe Yarrabi 'maji utaita mma'huyu hata kusomesha kasomesha humu hakuna wametelekezwa na wazazi kisa michepuko baba hana time kabisaa yaani na familia...
Kama baba yako hana mtoto nje,au mmeo hana mtoto nje shukuru sana Mungu lakini mke pekee anaejua mumewe alipo ni mjane.
Vita kubwa nje tena sana haijaanza Jana wala juzi wanawake wengi kuliko wanaume
Huyu baba sasa hivi akili inafunguka limbwata halina nguvu tenaa ndo maana anahangaika na ana Mungu wengine wanauliwa ,wanakufa na kudhulumiwa saanaa tu...arudi kwa Mungu apige goti atakaa sawa hajachelewa kwa Mungu bado mpk siku akiitwa maiti

Waswahili wanasema CHEKA SANAAA,ILA OMBA YASIKUKUTE!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sasa umeongea sio wanaomponda hawajajua ya dunia,mi niewaambia huyo dem na wazazi wake lao moja.wamemroga
 
Sasa jamani nyumba inauzwa siku moja?
Si inachukua muda, labda niiuze sh mbili ndio atapatikana mteja chap, lakini suala la nyumba kuuzwa hilo ndio nalitaka,

Nimeshasema mala nyingi tu,

Na kesho naiweka kwenye Zoom
Halafu baadaye magazetini,

Ndio nimeamua hivyo
Kama vp chukulia mkopo bank halafu kula kona bimdogo apambane nalo.
 
Yaani usiombe Urogwe unakua kama kondooo na mtu kila mwaka anarenew tu!hizo safari za ghafla alikua anaenda kufanya rejuvenation ya uchawi na alikua anauoga,anaula,anaulalia n.k hivi kwa akili ya kawaida unamkabidhi mwanamke 40mils kirahisi hivyoo na kiburi pia mchepuko alikua nacho!anakitoa wapii!kwa mtu mwenye fedha zake kama huyoo!Waswahili nawajua vzr nimeishi nao na tunaishi nao huyo demu alijipanga na alijua hapo kuna maisha akakutana na watu wakampa mbinu Mzee akaingia kingi akajaaa mwingi!akalishwaa vya kulishwa na vikakolea miaka nenda miaka rudi!
Mchepuko ushavuna sanaa mpk umejenga na hamhitaji tenaa kwa sasa hapo kama atastaafu huyo bibie anarudi tena vuup anamaliza kona anasepa zake la ajirekebishe haraka sana na hana msaada zaidi ya Mungu tu maana Mungu ndo hatuchoki na ndo kimbilio la mwisho kabisaa!

Huyu Mzee amrudie Mungu na toba ya

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio demu kashajenga hadi kwao kilichobaki anataka pasu la nyumba ya mjini ajikatae,na kashamwambia yeye shida yake ni nyumba tu
 
Wengine wengine nini? Umekazana wengine saa zote, mara sijui uko njema kuliko wengine? Kama uko njema basi usingejitwisha mizigo ya ajabu ungekuwa njema zaidi. Kwahiyo bado kuna mahali ulichemka


Kwani umekuja huku kulinganisha yako na ya wengine? Unalinganisha maisha yako na kivuli maana hao wengine hawajaleta yao humu

Kwahiyo ulileta huku ukitegemea aina ya ushauri uliotaka?
Una element za kike
 
Mzee hiyo nyumba muachie bi mdogo tu maana ni urithi wa wanao rudisha majeshi kwa bimkubwa maisha yaendelee unavyozidi kumfikiria ndivyo unapata stress zaidi kubali tu mapenzi ya bimdogo kwako hayajawahi kuwepo toka mnaishi
 
Uza gawana na huyo mama mtoto wako pasu kwa pasu kisha fedha zote nenda nazo kwa mkeo mkafanyie mambo mengine

Hili liwe somo kwako, jitahidi tu kuyajenga na mkeo kama kweli unampenda kama ulivyotueleza hapa.
baadae akirudi je fedha zimeisha...?!
 
Wewe akili zako siyo nzuri,daima nitakwambia ukweli. Either huna malezi mazuri au kaelimu ulichonacho kanakufanya ujione unajua sana
Hii takataka haijielewi, iko very emotional and short tempered, kindly ipuuze
 
Jamani mambo na visa ni vingi sana kuliko mnavyo fikiri, naona comment nyingine zinachoma haswa,
Niombe nikate story short, nasubirie tu ushauri wenu,lakini toka huo mwaka 2018,
Alirudi nikamkubiria kukaa ,

Lakini visa nivikubwa zaidi, zaidi sana, mpaka nahisi kama ameheuka,

Nimeshaitisha Vinson’s zaidi ya nane,

Nimeshampiga mpaka jicho likataka kutoka

keshanipeleka polisi

Nimeshampleka ustawi wa jamii,
Ambapo alitaka tugawane nyumba baada ya kuuzwa

Nimeshafungua kesi mahakama ya wilaya

Tumehudhuliamala nane, nikaifuta baada ya kuona, mwenendo wake kama gakutegemea nitaanda mahakamani ili tuachane, ingawa keshanieleza mala kibao tuachane, nilivyofanya kweli akapooza sana

Ameendelea kwenda kwenye huko polini kwa nguvu bila ruhusa yangu zaidi hata mala 20

Ameshatangaza kwa majirani sana kwamba mimi sitaki wageni ingawa ni uongo, mpaka hapa nyumbani napachukia

Baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu, hata mama yangu alishakuja kwake na akalala

Kutokana na visa vyake ndugu zangu hawampendi

Nilishawapeleka watoto nyumbani kwa bibi yao yaani mama yangu wakakaa huko kama wiki moja, na mmoja anasoma huku huko

Kila dalili hawapendi kukaa kule

Majina ya watoto niliyafuta kwa hati nikaweka yangu
Hapa napata picha kwamba ulishatoka kwa bi mkubwa ukahamia kwa mchepuko ambaye unamuita mke. Na nachoona ni kwamba labda hukaribishwi tena kwa bi mkubwa kwa hiyo unaendelea kupambana na mchepuko.
Ila sielewi kwa nn unamganda mtu anayekutesa na asiyekupenda, hata km mapenzi upofu wewe sasa umezidisha. Miaka 50 unatakiwa kuwa na utulivu wa akili na aman tele ukijiandaa kwa kustaafu, sasa una matatizo km kijana wa 30s au early 40s.

Kwani kinachikuweka kwa huyo mwanamke ni nn kwa sababu bila kujua ni kwa nini ujitese hivyo basi hutapata ushauri wa maana. Kwa simulizi si ajabu hamna faragha kwa miaka, hajakuhudumia km mpenzi kwa miaka, sasa nini kinachokubakiza kwake?.
 
Hatujawasiliana toka aondoke kesho anafunga mwezi,
Namshukuru Mungu sasa hivi wala roho yangu haiumii tena, nimeshamwona taka taka, na kusema kweli na mchukia vibaya sana, usiku na mchana naomba asirudi maana sijui ninaweza kumfanya kitu gani



Ameshanitamkia kuwa yupo hapa kwa ajili ya nyumba tu sisi mimi,

Ameshanitamkia mpaka tugawane vyumba,
Hapa angalau umeanza kuongea km mwanaume, bado kimoja mali isikufanye uwe mtumwa. Kwa kuwa ana watoto na wewe hicho kiwanja waandikie watoto hati na wewe uwe msimamizi wao ili asiweze kuuza na uwaache waendelee na maisha yao.
 
Nakushaur
OMBI WAKUU NA USHAURI

hii nyumba niifanye nini, ni nyumba kubwa,
Ipo kwenye kiwanja cha eka moja,

Eneo ni ni zuri sana, sasa hivi nyumba ni nyingi, lakini ya kwangu kila mtu anaitamani,

Ila bado haijaisha,

Madilirisha nilishaweka ya aluminium bado matatu tu ya dining roo

Kusema kweli kama sio kukomaa mpaka sasa hivi ningekuwa nmeshamwachianyumba kwa vituko alivyonifanyia,

Kinachonitia wasiwasi huyo bwana ambaye wanae, kwanza alimwoaga binamu wa mke wangu, wakaachana baada ya bwana kumfumania mke wake na bwana mwingine,

Jamaa alipiga mwanamke karibu aue, haikutoshaakamfuata mwanaume na kumchima visu na kukimbia kijiji, amerudi juzi tu, huko

Kwa hiyo jamaa ni mshari wasiwasi wasije kuunda njama wanipotezee uhai,

Ila Mungu ameendelea kuwa na mimi,

Nimeshaenda kutoa taarifa polisi,

OMBI WAKUU NA USHAURI

hii nyumba niifanye nini, ni nyumba kubwa,
Ipo kwenye kiwanja cha eka moja,

Eneo ni ni zuri sana, sasa hivi nyumba ni nyingi, lakini ya kwangu kila mtu anaitamani,

Ila bado haijaisha,

Madilirisha nilishaweka ya aluminium bado matatu tu ya dining room
Badili hati waandikie watoto wewe uwe msimamizi kwa kuwa wapo chini ya 18. Kisha waache waishi hapo wewe tafuta amani yako kabla hujakutana na kitu chenye ncha kali ukapata ulemavu wa kidumu kama hutabahatika kufa.
 
Hivi huyu shetani tumemkosea nini sie wanadamu?! Huyu bwana bifu lake si na Mungu?! Sasa kisa cha kutuandama wanadamu ni nini wakati yeye bifu lake ni na Mungu Baba?! Hebu angalieni. Kutokana na stori kuwa lirefu sana ikafika wakati nikaamua nisome kwa haraka haraka (kuperuzi) na kwahiyo baadhi ya mistari nikawa nairuka. Sasa shetani alivyo mwanaharamu, nilipofika kwenye quote hiyo hapo, paragraph ya kwanza sikuiona na badala yake macho yakaenda kutua palipoandikwa " Wakati watu wengine wamelala, mimi nikapata viwili." Eti shetani akaniaminisha "ukapata bao mbili za chapchap huku raia wakiwa wamepiga mbonji! NIkajua ni bao zetu zile kupitia ulaji tunda kimasihara! Swali lililopita kichwani fasta fasta ulikula tunda kimasihara na kupata 2 chap chap kwa mazingira gani! Ehee! Naanza kusoma tena kumbe ulipata viwanja viwili!!

Nahama kanisa, nahitaji upako kwa kweli!!
Umenichekesha sana
 
Ahsanteni sana wapendwa, ushauri wenu,
Mmekuwa ni msaada mkubwa sana kwangu,

Kiujumla nitambua wapi nilikosea,baada ya ushauri wenu mzuri sana nimejifunza mengi sana ambayo nilikuwa siyafahamu hasa kwenye mambo ya mahusiaona,

Kwa wale waliokuwa na wasiwasi kuwa hiki kisa sio cha kweli, niwatoe wasiwasi huo kuwa ni cha KWELI hasa.

Uamuzi wangu wa mwisho baada ya ushaui wenu ni kupiga nyumba bei na kujenga nyingine kwa ajili ya Watoto,

Na sehemu ya kuijenga ni kati una nyumbani kwetu kijijini lakini mjini sio kijijini

Nimeamua niijenge huko kwa sababu mbili

Kwanza nimeamua nikistaafu kunako majaliwa nitahamia huko kijijini

Pili, sitaki mama siku aje arudi na kukaa nao huku tena na kufaidi tena nyumba ya guys kwa mgongo wa watoto

Vile vile ikiwa kule, itakuwa rahisi kuwa nao, na wenyewe wajione ni sehemu ya ukoo wetu kule karibu zaidi

Kwa hayo machache Ahsanteni sana.

Ombi kwa MODE,

Naomba nisamehe sana, najua kuna sehemu nilikosea, na ukanifungia,
Lakini ni mhemko ulinipatia sina tabia hizo za kihuni

Ahsante sana kwa kunielewa
 
3- january hiyo hiyo tunakutana site kila mmoja akitokea kwake,hana mazungumzo na mimi hata nikimwambia tupige picha ya ukumbusho, hataki, alikuja na mtoto mmoja,
Najikunyata pembeni ujenzi unaendelea muda wa kuondoka jioni tumepanga wote kwenda kwake na mimi na kaka hukohuko
Naita bodaboda 2 , zinakuja kwa kufuatana wenyewe wakatanguliana ya kwanza, kwenda kituoni nakuta wameshapanda daradara wameondoka
Kumbuka mwendo wa safari ni masaa 3
Aise wewe mwanaume wa pekee, sijui mnakuwaga wapi jamani [emoji7][emoji7] hivi nikuulize bimkubwa akifanya haya si ndiyo mwanzo wakutafuta michepuko eti mke anazingua huko unaenda kujipoza?
 
Ndoa hizi[emoji3][emoji3]

Nina aunt yangu mke wa mjomba wangu yule mwanamke ana Moyo Aisee..tena moyo wa kipekee sijapata kuona..yule mumewe anazaa nje na mtoto anapelekewa yeye alee..na si ile bahati mbaya labda mtoto mmoja la hasha..!!..watoto watatu..juzi juzi hapa kataka kuletewa wengine wawili wadogo kaona imetosha kagoma kuwapokea..wanaume Hawa[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo uncle wako wasubili uzeeni labda aombe kuondoka mapema haaa haaa .
 
7- March hiyohiyo mwishoni, nyumba imeisha lakini bati zimepungua, kumbuka bati tulikuwa nazo kwa ajili ya ile nyumba ya kwanza,
Ila vipimo vlibadilika kidogo,

8- March hiyo hiyo anaomba kwenda kwao, nasimamia bati sasa mimi mwenyewe, huo upungifu unanikuta nipo mwenyewe,
Nampigia simu anasema pesa imekwisha
Hata wewe ulikuwa na matatizo flani samahani lakini!
 
Back
Top Bottom