Wanawake wenzangu naomba niseme kwa maoni yangu kuna wanawake wachawi jamaniii msiombeee watu tuna maushuhudaa meengi hatusemi tumechoka tu.
Kuna wanawake wanaletwa mjini teknikali washavishwa maagano ya kichawi kwamba akifika akikutana na mwanaume mwenye hela amroge amtongoze,ahakikishe anamzalia anamtawala...Ukitazama story ya huyu baba jamani huu ni uchawi live yaani alirogwa akarogeka maana kwa status yake alishindwa kumpata mwanamke kazini kwake huko?kaenda tu kuvamia demu halafu huyo demu ukisoma vizuri alivompata mshikaji Akahma fastaa pale kwa mwenyeji wake. Huyo Dada ni mchawi maana kwa aliyofanyiwa na huyu mwanaume na vituko alivyofanyiwa si akili ya kawaida jamani.
Nawaomba ombeeni sana baba zetu,tuombee sana watoto wa kiume wetu,kaka zetu na zaidi waume zenu..UChawi upo na unafanya kazi na shetani yupo kazini...
Tunaweza shabikia kua amekomeshwa hatujui ndugu zetu wa kiume wanakula vichafu vingapi huko mitaani!Wanawake sisi miongoni mwetu ndo hao hao tunaharibu waume za watu.Jamani usiombe mmeo arogwe Yarrabi 'maji utaita mma'huyu hata kusomesha kasomesha humu hakuna wametelekezwa na wazazi kisa michepuko baba hana time kabisaa yaani na familia...
Kama baba yako hana mtoto nje,au mmeo hana mtoto nje shukuru sana Mungu lakini mke pekee anaejua mumewe alipo ni mjane.
Vita kubwa nje tena sana haijaanza Jana wala juzi wanawake wengi kuliko wanaume
Huyu baba sasa hivi akili inafunguka limbwata halina nguvu tenaa ndo maana anahangaika na ana Mungu wengine wanauliwa ,wanakufa na kudhulumiwa saanaa tu...arudi kwa Mungu apige goti atakaa sawa hajachelewa kwa Mungu bado mpk siku akiitwa maiti
Waswahili wanasema CHEKA SANAAA,ILA OMBA YASIKUKUTE!
Sent using
Jamii Forums mobile app