Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Hahaaa pole ndugu yangu, napaogopa polisi, usiombe kwenda kule,maana huyu mwanamke aliniitia polisi, ndio kwanza nimefika nyumbani saa nane, tu kila nisubili chakula sikioni kuja, nikienda jikoni naona ni maji tu tanachemka

Nadhani kudu iris mala nipo sebureni, naona vijana wa nguvu wanaingia sebureni na mke yupo yupo nyuma anawasmbia, huyo hapo, mala wananiambia ninyanyuke wao ni polisi, nawaambia tatizo nini, wanasema twende utajua huko huko,
Nilikuwa nimevaa bukta nikawaomba niingie chumbani nivae suruali, wanifuata mpaka chumbani,
Kusema kweli nikidhani jamaa ni majambazi , maana niwale wanasimamaga nyumba ya defender, tukaongozana mpaka kituoni, naomba niwanieleze kosa langu, wakagoma, mala vua mkanda, vua viatu, weka simu hapa
Haya ingia rumande huko,

Ilikuwa ni saa kumi na moja tayali, sikuona huu ni usiku au mchana, nilikesha usiku kucha mpaka asubuhi naona watu wanaketa chai, hapo hakuna ndugu yangu hata mmoja anafahamu kama nimewekwa rumande,
Sielwi ilikua ni saa ngapi nikampa Afande fulani sh 5000.
Akanipa simu yake nikampigia yule mwanamke aje anitoe maana kesho yake naingia ofisi is mapema sana,
Alinijibu neno moja tu, KAA HUKO HUKO,
Akakata simu,
Kesho yake kaja kunitoa saa tano!!!!
Kweli alikuroga na mganga wake alisha kufa
 
Siku 2 rumande na mkeo wa ndoa hakujua upo wapi? Hakuhangaika kukutafuta?
Itakuwa ni wale wanawake wasio ulizaga lolote, mie najua Mme nyumba saa 10-11 yupo nyumbani, muda ukizidi tu lazima tuambiane yupo wapi sasa ulale lupango nisijue hakuna kitu kama hicho!
 
Ahsante sana, Mwenyezi Mungu akubariki sana, ni ushauri mzuri, kwanza niliogopa sana, kumfukuza nikijua kuwa, atasema labda nimemtumia vya kutosha sasa nimemchoka narudi kwa mke,
Lakini baada ya kugundua anaendelea na mwanaume ambaye, nilishamtuhumu miaka 10 iliyopita pamoja na visa vyote hivi na kiburi, kumbe naye ana bwana yake pembeni, hapana uzalendo umenishinda, potelea mbali , kama ataniraumu basi ni mwendelezo wa akili zake ndogo kutokujua makosa, kwa kipindi chote hicho,

Lingine nililogundua kumbe hata hizo biashara ya mchele huko Morogoro walikuwa wapo pamoja,

Ila mbaya zaidi pamoja na malalamiko yangu kwa wazazi wake, lakini hawaonyeshi hata kushtuka,

Mfano halisi ni sasa hivi, mtoto wao yupo kwao lakini hata kunipigia simu, kuniulizia kulikoni hakuna! Mpaka bajiuliza hii ni familia ya aina gani,

Mpaka nawaeleza waziwazi kabisa mbona mtoto wenu anatembea na aliyewahi kuwa mkwenu ( huyo bwana alishawahi kuoa binamu ya mke mdogo) wakagombana baada ya kufumaniana,

Na jamaa akataka kumuua mgoni wake kisu,
Akatoroka kijiji kwa muda fulani.
Lakini mpaka nafikia hatua ya kuwaambia wazi wazi, kuwa mlikuwa mnanidanganya kumbe mnajua mtoto wenu ana wanaume wawili halafu mkiendelea kuniomba vimisaada, na kuwakatia simu ambapo leo ni wiki ya tatu hawanipigia tena!
Kama waishi pamoja kwanini usifanye upelelezi wako uwakamate huko huko kwao mwambie mbele ya wazazi wake mie kuanzia Leo ndiyo basi, watoto wachague kwangu au kwa mama yao, kwanza ni wanawake wakiolewa tu basi, kwanza umwambie mkapime DNA huenda huyo mdogo si wako kaka mkuu.
 
Unasema, akirudi nimpokee tena? Big hapana.
Naomba nisaidie kumwomba Mungu asirudi.

Kumuuliza ulikuwa wapi nilichokaga, ameshaondokaga mala nyingi tu,
Na kurudi mpaka nikaanza kumwangalia tu,

Nilishaanza kuhisi huyu ana matatizo ya akili, sio mzima huyu

Siku moja mwezi wa nne mwaka jana,
Nikikuta msg ya mwanaume, aakakana kumfahamu, nikamwambia kesho nakuja uniambie vizuri,
Nilivyoenda kesho nikakuta kachukua baadhi ya nguo zake kaondoka

Ilikuwa kipindi kile shule zimefungwa sababu ya corona, nikwaambia watoto nikijua shule zinafunguliwa lini, mmojawapo kabla hajarudi shule, amalizie hii mizigo kumpelekea huko kwao

Nadhani watoto walimwambia kuwa baba kasema tukuletee mizigo yako kabla ya kurudi shule,

Mala tangazo la kufunguliwa shule likatoka,
Akarudi haraka sana, nilipoenda nikamkuta,

Nikashinda hapo mpaka jioni bila kumuuliza kitu,
Wakati naondoka, nilimwambia nina mazungumzo na wewe, sio vizuri niondoke bila kujua ulikuwa wapi, na Ume rudi bila kujibu lile swali langu,

Akanijibu kwa mkato tu, kuwa nilikuwa kwa Baba mdogo , moro.

Sikutaka hata kuendelea kumuuliza tena,
Nikageuka nikaanza kuondoka,
Wakati naondoka akaniambia TENA ILE HATI IRUDISHE HAPA,

Niligeuka na kumwangalia na kutikisa kichwa na kuondoka bila kumjibu kitu,

Nilipata mawazo kuwa huwa sasa hivi si mtu,
Ni kichaa tayari hana akili za kibinadamu tena,

Hata mtoto mdogo akikosea hawezi kukufanyiatena kosa muda huo huo,

Kuhusu kuangalia simu yake, ni baada ya kuona mwenendo usio wa kawaida, Ndio nikaanza kufanya uchunguzi,

Mbona bi mkubwa siangalii simu yake, unataka kuniambia yeye yupo perfect sana, kwamba hana makando kando yanaendelea huko, hapana naye ni binadamu, lakini hakuna alichowahi kunitendea kila cha kunifanya nintilie shaka
Sasa huko ndiko unakolitafuta, angalia huyo kimada wako yupo tayari kwa lolote na inaonekana ulimng'ang'ania sana
 
Sasa wazazi unataka wajishughulishe na wewe na akati sio mume halali? Wenyewe wanatakiwa kuangalia mechi inavoenda mwenye kisu kikali ndo mla nyama, mwanamke mwenye wanaume wengi huyo ni kahaba sio mke wa mtu unataka wasluhishe kwako na kwa wenzio pia?
Mwanamke akimkinai mwanaume kurudi katika hali ya kawaida ni ngumu sana, baba achemshe kichwa
 
Hapo kwa chuki tu ndo nimekuona hamnazo that's was my opinion na wala haihusiki na chuki kabisa why should I envy someone older than me ambaye ana shindwa ku handle maisha yake na kuja kulia lia humu kwenye forum tena mwanaume it means your in dillema na huna peace of my mind, maana una force watu wakubaliane na justification zako wakati unaumia na kukukula ndani your not happy at all, tena unagutuka uzeeni dakika ya 59. Hyo sijui kuoa hata wa 18 sio shida je una nguvu za kiume za kutosha maana mabaharia wenzako wana handle hii issue kikawaida.
Wewe kubali uliingia Cha kike acha kutafta justification Ili upoze machungu ka viwanja hata mimi ninavyo sembuse mzee mzima unayekaribia ku expire kweli, pole hii kitu itakukula then mkeo ndo wa kuja kukulea so hyo kujenga sio viwanja watu wengi Wanavyo, so usione kuandika hivo eti mie nitaona wivu kwa kipi hasa shaaaaa in maasai voice.
Wewe tuliza mshono wako bwana ur not exceptional watu Wana wake wengi na hawajilizi Hadi sasa kuhangaika na mchepuko ni kwamba huna amani
Wee nawe ndio umechanganyikiwa Sasa miaka 50 ndii unaona ame expire?
Miaka 50 mbona anadai
Wapo wazee wa 70 na wako fit
Mtu ameeleza shid za mke wake SI umsikilize
Tatizo jf wajuaji mko wengi
 
Mimi huyu sijamuonea huruma ni ujinga wake wanaume huwa Wana roho nyepesi ila hawakomi kuhangaika na ningekuwa mke wa ndoa namtenga na watoto afie mwenyewe huko. Huyu mzee kastaafu kiinua mgongo kimeisha na mchepuko umemkimbia ndio anashtuka na mbaya zaidi Hana mahusiano na mkewe mkubwa kwanini ahurumiwe kwa ushenzi wa kudhulumu familia Halali, Mimi namjua mstaafu mmoja wa ofisi ya Raisi mchepuko michafu imemufilisi Hana hata kumi na mke wa ndoa kamwacha hana hata ya kula. Mwanaume muendekeza michepuko ni laana na uzeeni huishia pabaya Bora hata mwanaume mnunua michepuko, sijui Wana akili gani loh
Wanapunyuliwa na michepuko na maradhi juu mwisho wanawapelekea wake zao nyumbani, lakini MUNGU huwa anayaona machozi ya wanawake, halafu huwa hawaoni mifano ya walio watangulia, ndiyo ile sikio lakufa halisikii dawa
 
Ndugu Ahsante sana kwa mawazo na na ushauri,
Kuhusu hapo namba 1
Mama yangu hakunitaka niwe Na mchepuko,
Ila kipindi hicho nilikuwa bado kijana sana na ndio nimepata mtoto wa kwanza,

Alitaka tu kunifunza kama mzazi namna nzuri ya mtoto wa kiume kuishi,
Maana aliona kila nikitoka kazini break ya kwanza ni home
Sasa kwa uzoefu wake wa maisha aliona sio sawa
Ni bora nikitoka kazini niwe kwanza na vijana wenzangu huko kubadilishana mawazo

Kama umegundua hii tabia yangu moja kwa moja nyumbani labda Ndio imenifikisha hapa kutawaliwa na mke, maana mawazo mengi ya kihuni au namna ya kumnyanyasa mwanamke nilikuwa sina ( yaani ile roho mbaya ya kiume)

Namba mbili 2 hapo,
Mimi ni mpiganaji wa kutaka kumiliki mali
Ndio maana Alhamdulilah maisha yangu na uwekezajinimejitosheleza hilo sina wasiwasi nalo

Nikisema leo hapa Dar niuze Mali zangu zote leo nirudi kijijini, uhakika wa 700 m upo, na malipo

Nikiendeleza maaneo yangu angalau niongeze kama vyumba 30 vya wapangaji
Naiona 1 B, inaninyemelea,
Kwa hiyo uwezo wa kuachia mali yangu kumpa mtu ambaye kaniumiza NO tena nasema kwa sauti NO, nitaenda mpaka kushtakia kwa Mungu,
Maana mali yangu ninauhakika sijamdhulumu mtu yeyote,
Ni damu na nguvu yangu.
Hapo mwanzo nilisema kama huyu mtu asingeonyesha namna yoyote ya kutaka kuizungumzia nyumba hasa hasa wakati wa ugonvi,
Na kukawa na mwelekeo wa kuachana kwa roho yangu ilivyo ningemuachia nyumba,
Ila mpaka nimegundua ana mwanaume bado kweli nimwachie nyumba au tugawane nusu kwa nusu Hapana, big Hapana

Mwaka 2018, yalipozidi kuwa magumu na kunilaza polisi, kesho yake alikuwa kunitoa yeye na ndugu zake 3 dada zake wawili na Baba yake wa hiari wahapa Dar, ambaye kusema kwa kw a miaka yote niliyoishi na huyu mwanamke sijawahi hata kusikia akimzungumzia

Baada ya kinitoa, alishauliwa asilale nyumbani kwangu mpaka nitulie maana ninaweza kumfanyia kitu mbaya,
Sasa wakati tunaagana yule baba akashauri tufanye kitu kama kikao nyumbani kwangu kesho yake,

Tukaagana na mimi nikaridhia nikaona sasa ni muda mzuri wa kutoa yamoyoni yote mbele ya ndugu zake na huyo baba

Wakati mimi nimefika nyumbani, nikampigia yule mdogo wake kwa ajili ya matayalisho ya chakula kwa wageni kesho,

Sasa ile anapokea simu, nilitumia namba yasimu nyingine ambayo hakuwa nayo, ile ya kwanza ilivunjika kioo pale Polisi na ni Iphone na ya kazini kwangu!
Kusema kweli nilipishwa hiyo sh 700000

Ok sasa wakati anapokea ile simu kumbe kulikuwa na mjadara unaendelea pale yeye na mke wangu,

Nilimsikia mke wangu kwa sauti kubwa ile ya kupandisha hasa, akisema

MIMI NIMESHASEMA ILE NYUMBA NI YA KWANGU, YEYE AENDE ZAKE HUKO,.

Baadaye akanyamaza nadhani mdogo wake alimwambia ni mimi nipo kwenye simu,

Nikamuuliza mpaka namsikia huyo mtu anaropoka hivyo.
Yule dada akanyamaza, na mimi si kuendelea kumuuliza, nikampa maagizo ya kesho tu

Sasa ona kweli huyo mtu ni wa kumpa senti tano yangu.?
Kesho yake kwenye kikao yule mzee na wadogo zangu watatu wa kiume na dada zake 2 na majirani 5 na mjumbe, baada ya maelezo yangu marefu kusema kweli kila mtu alishika mdomo,

Lakini wale wadogo zangu watatu hawakuvumilia, walinyanyuka kwa hasira na kumkimbilia yule mwanamke na kutaka kumpiga watu wakaingilia pale na mimi kwa hasira niwaambia waache yule ni mke wangu,

Wakanielewa wakaacha lakini walilia sana,
Wakatoka nje huku wanalia na kusema, hatukujua kama kaka yetu unasumbuka hivi na huyu mwanamke,
Kaka ambaye umetusomesha umetutunza wote

Mbona mama...... ( bi mkubwa) hakuwa hivi, I I ingekuwa ni huyu kweli sisi tungefika hapa?

Mmoja tena akakurupuka kwenda kutaka kumpiga nikamkatalia, ni kikao kikaishia hapo,

Wakati namsindikiza yule baba aliniambia neno moja tu, KUWA MWANAUME!!!
Masikini alikuona bwege, kaka embu nenda kanisani kwako tubu tena mbele ya mkeo wakuombee ufahamu wako urudi, ningekuwa mkeo ningehamia kwenye hiyo nyumba nimuone huyo kirukanjia wako, watu mnawake wavumilivu kupitiliza
 
Wee nawe ndio umechanganyikiwa Sasa miaka 50 ndii unaona ame expire?
Miaka 50 mbona anadai
Wapo wazee wa 70 na wako fit
Mtu ameeleza shid za mke wake SI umsikilize
Tatizo jf wajuaji mko wengi
Wewe ndo mjuaji hafu humu JF wababu na wabibi tuko wengi na wewe umeamini huo umri shauri yako
 
Ndugu Ahsante sana kwa mawazo na na ushauri,
Kuhusu hapo namba 1
Mama yangu hakunitaka niwe Na mchepuko,
Ila kipindi hicho nilikuwa bado kijana sana na ndio nimepata mtoto wa kwanza,

Alitaka tu kunifunza kama mzazi namna nzuri ya mtoto wa kiume kuishi,
Maana aliona kila nikitoka kazini break ya kwanza ni home
Sasa kwa uzoefu wake wa maisha aliona sio sawa
Ni bora nikitoka kazini niwe kwanza na vijana wenzangu huko kubadilishana mawazo

Kama umegundua hii tabia yangu moja kwa moja nyumbani labda Ndio imenifikisha hapa kutawaliwa na mke, maana mawazo mengi ya kihuni au namna ya kumnyanyasa mwanamke nilikuwa sina ( yaani ile roho mbaya ya kiume)

Namba mbili 2 hapo,
Mimi ni mpiganaji wa kutaka kumiliki mali
Ndio maana Alhamdulilah maisha yangu na uwekezajinimejitosheleza hilo sina wasiwasi nalo

Nikisema leo hapa Dar niuze Mali zangu zote leo nirudi kijijini, uhakika wa 700 m upo, na malipo

Nikiendeleza maaneo yangu angalau niongeze kama vyumba 30 vya wapangaji
Naiona 1 B, inaninyemelea,
Kwa hiyo uwezo wa kuachia mali yangu kumpa mtu ambaye kaniumiza NO tena nasema kwa sauti NO, nitaenda mpaka kushtakia kwa Mungu,
Maana mali yangu ninauhakika sijamdhulumu mtu yeyote,
Ni damu na nguvu yangu.
Hapo mwanzo nilisema kama huyu mtu asingeonyesha namna yoyote ya kutaka kuizungumzia nyumba hasa hasa wakati wa ugonvi,
Na kukawa na mwelekeo wa kuachana kwa roho yangu ilivyo ningemuachia nyumba,
Ila mpaka nimegundua ana mwanaume bado kweli nimwachie nyumba au tugawane nusu kwa nusu Hapana, big Hapana

Mwaka 2018, yalipozidi kuwa magumu na kunilaza polisi, kesho yake alikuwa kunitoa yeye na ndugu zake 3 dada zake wawili na Baba yake wa hiari wahapa Dar, ambaye kusema kwa kw a miaka yote niliyoishi na huyu mwanamke sijawahi hata kusikia akimzungumzia

Baada ya kinitoa, alishauliwa asilale nyumbani kwangu mpaka nitulie maana ninaweza kumfanyia kitu mbaya,
Sasa wakati tunaagana yule baba akashauri tufanye kitu kama kikao nyumbani kwangu kesho yake,

Tukaagana na mimi nikaridhia nikaona sasa ni muda mzuri wa kutoa yamoyoni yote mbele ya ndugu zake na huyo baba

Wakati mimi nimefika nyumbani, nikampigia yule mdogo wake kwa ajili ya matayalisho ya chakula kwa wageni kesho,

Sasa ile anapokea simu, nilitumia namba yasimu nyingine ambayo hakuwa nayo, ile ya kwanza ilivunjika kioo pale Polisi na ni Iphone na ya kazini kwangu!
Kusema kweli nilipishwa hiyo sh 700000

Ok sasa wakati anapokea ile simu kumbe kulikuwa na mjadara unaendelea pale yeye na mke wangu,

Nilimsikia mke wangu kwa sauti kubwa ile ya kupandisha hasa, akisema

MIMI NIMESHASEMA ILE NYUMBA NI YA KWANGU, YEYE AENDE ZAKE HUKO,.

Baadaye akanyamaza nadhani mdogo wake alimwambia ni mimi nipo kwenye simu,

Nikamuuliza mpaka namsikia huyo mtu anaropoka hivyo.
Yule dada akanyamaza, na mimi si kuendelea kumuuliza, nikampa maagizo ya kesho tu

Sasa ona kweli huyo mtu ni wa kumpa senti tano yangu.?
Kesho yake kwenye kikao yule mzee na wadogo zangu watatu wa kiume na dada zake 2 na majirani 5 na mjumbe, baada ya maelezo yangu marefu kusema kweli kila mtu alishika mdomo,

Lakini wale wadogo zangu watatu hawakuvumilia, walinyanyuka kwa hasira na kumkimbilia yule mwanamke na kutaka kumpiga watu wakaingilia pale na mimi kwa hasira niwaambia waache yule ni mke wangu,

Wakanielewa wakaacha lakini walilia sana,
Wakatoka nje huku wanalia na kusema, hatukujua kama kaka yetu unasumbuka hivi na huyu mwanamke,
Kaka ambaye umetusomesha umetutunza wote

Mbona mama...... ( bi mkubwa) hakuwa hivi, I I ingekuwa ni huyu kweli sisi tungefika hapa?

Mmoja tena akakurupuka kwenda kutaka kumpiga nikamkatalia, ni kikao kikaishia hapo,

Wakati namsindikiza yule baba aliniambia neno moja tu, KUWA MWANAUME!!!
Yaani mama yako kukwambia uwe unakaa na wenzio huko nawe ukaingia mzima mzima, mama yako aliona mkeo atakutawala mpaka uwasahau wao, wazazi wengi huona wivu kwa watoto wao kwanini mtoto asiwasikilize wao badala yake penzi lote kwa mkewe na ndiyo maana alishakuja mpaka kwa huyo sijui nyumba ndogo ambayo unalala Miguu nje kichwa ndani
 
Mkuu hao ni single mothers ndio wans shadadia muhusika kupata shida hizo.wanajifunza kwenda kubomoa nyumba za watu,hicho ndio walichojifinza humu kwenye huu Uzi.Achana nao wanakuchosha bure.Wapo 7 hadi sasa nimempm joka jeusi aje adeal nao maana hawajaolewa na bikra Metii doi.
Dododo tena yamekuwa hayo mmmmm!!!?
 
Na kama story ni ya kweli asifikiri bi mkubwa kwa vile alireact akanyamaza yameisha moyoni mwake, asubiri azeeke vizuri hakuna rangi ataacha kuona, sumu yoote aloiweka moyoni kwa bi mkubwa ishatemwa kwa watoto, anasema ana 250m akistaafu

Yaan jamaa anaona wote wako wodini milembe lakini anamcheka mwenzie
Haaa haaa haaa wanakula dozi zakutosha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mbona nimeashaamua kumwacha,
Na sasa hivi ana mwezi mzima hayupo hapa nyumbani, aliindoka kwa bila kunitaarifu,
Ila nasilkia yupo kijijini kwao

Na mimi naomba sana kwa mungu asirudi,

Sasa swali lako la mimi naamua nini,?

1- Watoto wote wapo shule, nina wasiwasi anategea warudi, likizo ya pasaka naye arudi
, ingawa kweli akirudi nitamshangaa sana,
Hapo itaanza mambo ya ugomvi tena, na tulipofikia sasa ugonvi ukianza watu wanatoka nje ( majirani)

2–nyumba sasa hivi nimeifunga hakuna mtu, ingawa bado naenda na ninalala huko wakati mwingine, sasa akirudi anikute nitamfukuza, au nitafunga nyumba Na kuondoka,
Sasa sielewiataenda kwa mjumbe au polisi, ingawa mjumbe tayari naye keshamchukia kwa tabia zake

3– sitaki mambo ya polisi tena kwenda kushtakiana,
Sasa sielewi kama polisi wanaweza kunilazimisha nimfumgulie nyumba au huo uwezo hawana, kama hawana natashukuru sana

4– labda atashawishiwa aende mahakamani,
Hilo hata mimi naona ni sawa tu,
Kama ana haki zake atapata huko

5– kama kuna wanasheria hapa ingekuwa vizuri
Kutupa darasa wanafikiri ni nini itakuwa outcome ya kesi hiyo
Yaani kwasababu kaondoka ana mwezi ndiyo unaona afadhali? Daa si bure wewe badala yakuweka msimamo nakuona wewe unasubili uachwe si wewe kuacha MUNGU wangu pole sana, nakushauri ongea na mkeo vizuri nendeni kwa mchungaji wakakutoe hilo pepo si hali yakawaida hiyo, huyo hakuachi Bali anakuchezesha segere, huko anakula bata na anayempenda wewe unafanywa zuzu samahani lakini, embu omba kwa kufunga angalau siku 3 MUNGU akupe chakufanya.
 
Back
Top Bottom