Unaweza kukuta we unamfananisha ila wala hamfanani,Ndiyo mkuu maana ni copy yangu kabisa hata ukimwona kwa picha. Shida ipo kwa mwanamke tu
Kama mtoto ni wako,Duuuuh ngoja nikafuturu kaka , nitarudi kukupa ushauri ila pole sana
Binafsi nahisi huyo mtoto sio wako kwa vinasaba kabisa!Habari za weekend wana JF
Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.
Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.
Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.
Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.
Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.
Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.
Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.
Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.
Fanya uchunguzi wa kimya kimya utafahamu alipo mtotoHabari za weekend wana JF
Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.
Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.
Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.
Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.
Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.
Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.
Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.
Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.
Nmehusisha familia zte ila yake haijatoa ushirikiano, wanajua kabisa binti yao anachokifanya maana wao mtt anawatembelea ila siyo kunitembelea mimi. Kufanya hizo juhudi zote bila mafanikio ndo kumenifanya nitake kuchagua aidha kumwachia mtoto kabisa au kwenda ngazi za kisheria.Huyo mwanamke ni mjinga sana, sasa mtoto anahusika vipi katika kuachana kwenu!! Hawa ndio kesho na keshokutwa unamkuta nae anatukana wanaume kutelekeza watoto kumbe ulikuwa upumbavu wake.
Umehusisha ngazi ya familia ktk hilo? Ikishindikana nenda kisheria ila usifikirie kabisa kumsusia mtoto, hana hatia jamani na hahusiki kwenye hizo drama za mama yake.
WapotezeeNmehusisha familia zte ila yake haijatoa ushirikiano, wanajua kabisa binti yao anachokifanya maana wao mtt anawatembelea ila siyo kunitembelea mimi. Kufanya hizo juhudi zote bila mafanikio ndo kumenifanya nitake kuchagua aidha kumwachia mtoto kabisa au kwenda ngazi za kisheria.
Chukua hili mkuuDuuhh kuna wanaume mnanyanyaswa kijinsia balaaa.
Kwa kuscan maelezo yako chapchap
Kuna haya mawili
[emoji117]Mtoto sio wako ( hiii uhakika )
[emoji117]mtoto ni wako ila hakuwah kukupenda.
Kwann najiamin kusema ivi???.
Bila kujalisha vipato vyenu vipoje, wanawake wenye watoto, hupeenda kuishi na wazazi wenzio ,labda ,labda itokee kuna Jambo ulomfanyia unalofanya ambalo alijaribu sanaaaa kukubadilisha ila akashindwa akaamua kusepa..
Nahapa hata kma angesepa, bado uhakika wawewe kumuona mtoto ungekua mkubwaaa sana kuliko huu wakutafuta na tochi.
Nini ufanye???? Achana na mambo ya Polisi n.k, utaabishwaaa tu, maana demu anaweza sema mtoto sio wako ikakuumiza sana.
Ni ndoa au njoo nikuvute.
Kivyovyote vile ilivyo... HUYO MWANAMKE SIO MTU SAHIHI KWAKO .
mpotezee
Mpotezee
Mpotezee
Mpotezeee
Achana na mambo ya kumuulizia mtoto sijui nn
Achaaaaaaaaa
Futa namba yake wala usitafute kujua yupo wapi, anatombwa nanan?? Mtoto anaishije .
Achaaaaaaaaa, Kikubwa na cha msingi kama wazazi wako hujawaweka wazi, au wazazi wake hujawaweka wazi.... Wambieee jamaaan maione nipo kimya, nina mwaka sasa siishi na mke wangu, aliamua kuondoka bila sababu.
Alafu baada ya hapo fanya maishaaa
Mimi sijui sijui.kwakweli vile nisivyojua kubembeleza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babakeee, ningekua nmeshaoa tayari.
Kama una hakika mtoto ni wako VUMILIA tu kipindi hiki atakuja tuu... Ni haki yako kumuona mwanao kama anakukataza sheria zipo nenda ustawi wa jamii ukaripotiHabari za weekend wana JF
Nilioa mwaka 2016, na tukabahatika kupata mtoto 1 wa kiume mwaka 2017 ambae ana miaka 4 kwa sasa na sehemu ya makazi yetu ni hapa Mbeya. Mapema 2020 mke wangu alianza kubadilika sana baada ya yeye kupata biashara nzuri ukilinganisha na ile aliyokuwa anafanya mwanzo.
Katika mabadiliko yake, alihitaji na yeye kwenda kuishi maisha ya peke ake. Nilitafuta suluhu sana za kuweka ndoa sawa ila hakukuwa na mafanikio na hatimae mwezi wa 6 mwaka huo 2020 aliondoka na kwenda kuanzisha maisha yake pamoja na mtoto.
Wakat anaondoka hakusema anapoenda kukaa na mtoto na mpaka sasa sipajui anapokaa na mtoto japo yupo Mbeya hapa hapa. Hayuko tayari kunambia anapokaa mbali na kuhitaji kupajua kwa ajili ya kupata access ya kumuona mtoto wangu. Kila nikiomba aniletee au nifate mtoto nikae nae hata weekend analeta sababu na anaweza kukuahidi kumleta ila ikifika muda analeta sababu na hutomuona tena.
Mtoto akiumwa siambiwi mapema, ila nakuja kuambiwa anapokuwa amelazwa hospital na ndo hapo namuona mwanangu. Tangu aondoke kwangu, mtoto amelazwa hospital mara 3 na mara zote hizo nakuja kuambiwa kashalazwa, naenda kumuona na kumhudumia mpaka anaruhusiwa, akisharuhusiwa tu ndo humuoni tena. Nimeshajaribu kuongea nae juu ya umuhimu wa sisi kumpa malezi ya wazazi wote hata kama hatuishi na mtoto pamoja, kumpa mtoto nafasi ya kuwa ananiona au ananitembelea lakini hakuna matokeo chanya. Cha kusikitisha, mtoto anamruhusu kuwatembelea marafiki zake tena umbali mrefu na hata kwa ndugu zake mtoto anaenda hata kukaa baadhi ya siku ila siyo kumruhusu kuja kwangu au mm kumtembelea mtoto.
Sasa kama mwanaume mwenye hisia na moyo usio wa chuma na mwenye maumivu, nimechoka na haya maisha ya kuishi na mtoto wangu kwa kumuona kila anapolazwa hospital. Nahitaji kufanya maamuzi magumu.
Akilini mwangu kwa sasa nna mawazo mawili ambayo nahitaji mojawapo kufanyia kazi, moja ni kumsusia mtoto kabisa abaki nae milele au niende ngazi za sheria ambazo wataweza kunisaidia hili swala kwa kuzingatia sheria ya malezi ya mtoto hasa pale wazazi wanapotengana.
Naomba mawazo yenu ndugu zangu wenye uzoefu na changamoto hizi angalau nijue naamua kwenda mbele na wazo gani hapo.
Nitapitia ushauri wenu kwa ajili ya msaada.
Shukrani mzee na nmekuelewa kwa huu ushauri wakoYote hayo ya nini piga kimya uendelee na mishe zako mzee akikupa taarifa za mtoto kuumwa mwambie malete kwako ndio utahudumia kwanini ujichoshe na mtu asiejari.
Achana nae siku akiiona umhimu wako atakutafuta asipoona basi mtoto akikua atakutafuta.
Mimi yupo alinifanyia hivyo na kuni broke juu nilikaa kimya sikumtafuta yalivyo mshinda huko akaja mbio kuomba msamaha tulee mtoto sasa hivi nikimwambie amlete mwanangu hata usiku saa nane atamleta.
Sanaaa na cha kushangaza sasa, si baba wala mama anaepambania afya ya mtoto, wao wanashindana tu☹Tumshauri yote ila mtoto anauma sana Wakuu!
Kuna kitu hakiposawa ktk hii familia.Sanaaa na cha kushangaza sasa, si baba wala mama anaepambania afya ya mtoto, wao wanashindana tu☹