Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda msome wote ,yeye na wewe!ni ushauri tuushauli
Kwani wewe ni Red Cross au shirika la msaada jingine.Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Ww hujui kuandika unamsomeshaje demWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Tumuache kwanzaHuyu tumwambie au tumwache kwanza ? 😂😂
Tumwache kwanza ana kiherehere sana[emoji81][emoji81]Huyu tumwambie au tumwache kwanza ? [emoji23][emoji23]
We unaonaje [emoji23][emoji23]Huyu tumwambie au tumwache kwanza ? [emoji23][emoji23]
Ukweli mchungu kumeza [emoji102][emoji23]Demu hasomeshwi. Acha kujivesha jukumu la wazazi wake.
Labda kama unamsaidia tu, just like msaada to a stranger, WITH NO expectation of 'pay back...
Vayolensiii [emoji23][emoji23][emoji23]Ww hujui kuandika unamsomeshaje dem
Ngoja tumwache awekeze , kijana hataaminiTumwache kwanza ana kiherehere sana[emoji81][emoji81]
Au we ndo demu unataka ukasomeshwe?Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Kwamba kama inamuwasha[emoji23][emoji23]Kama umeamua kumsomesha just kumsaidia without expecting anything na uwe na uhakika hata akikuacha hautaumia its okay msomeshe...
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapaWw hujui kuandika unamsomeshaje dem
JICHANGANYE.
Nimeandika Kwa herufi kubwa Kwa mara ya kwanza toka nimejiunga jf.