Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Kwa hapo mkuu unaweza tu kumsomesha , but usiwe na huge expectations kwake, la sivyo utaumiaa...
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa

Honey pot trap!

-Kaveli-
 
Kama umeamua kumsomesha just kumsaidia without expecting anything na uwe na uhakika hata akikuacha hautaumia its okay msomeshe



Ila ukumbuke MCHUMBA HASOMESHWI

Ukiona hiyo hela inakuwasha zaidi naomba niazime mimi nna matumizi nayo ntakurudishia[emoji3]
Mbona umenivunja moyo hivyo napokea ushauli ndo maana nimelileta hapa kwa ndugu zangu najua ntapata majibu sahihi bado nipo njia panda kwa hili aise
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Ushauri wa kiutu uzima, muoe kisha msomeshe akiwa mkeo kabisa na pia umdunge na mimba ya kwenda nayo chuo ili hata huko mbeleni akikutosa elimu yake itamsaidia na mwanao
 
I will advise umpe mimba kwanza then ndo umsomeshe kama mama wa mtoto wako.

That way, utakuwa ushakula faida kabla ya kuwekeza. So hata uwekezaji ukibuma then faida ulishapata upfront.
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwana unamiaka mingapi labda?
 
Demu hasomeshwi. Acha kujivesha jukumu la wazazi wake.

Labda kama unamsaidia tu, just like msaada to a stranger, WITH NO expectation of 'pay back'.

Ila kama unaamua kumsomesha kwa 'romantic expectations'... jiandae kulilia chooni in near future! 😎

-Kaveli-
Nipo nawaza hapa mkuu nimpige mimba ndo nimsomeshe hata akija kunigeuka baadae najua tayar nipo na mtoto wangu ashanizalia tayar nakuwa nimepunguza machungu nimawzo nawaza
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa

Mkuu kama unampenda na lengo lake kusoma , muoe Kwanza alaf atasoma mbele Kwa mbele , wengi Sana wapo chuo huku wameolewa tena wengine wananyonyesha kabisa , Yani hakikisha kipind chote anasoma either ana mimba au ananyonyesha, wengi tuu wanasoma hvo na wanamaliza kibishi hvyo hvyo , zaidi ya hapo usifanye ujinga wa kumsomesha akiwa plain utajuta Sana mkuu ... First year sio binti wa Kudate naye Kwa penzi la kudonoa lazima akuvuruge tuu , maisha ya chuo huwa yanawachanganya Sana mabinti , ni Bora Kudate na third year Ila sio first year
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Mpeleke chuo watu tukamle huko. Mi nafanya Phd sasa. Mlete nimeshakula sana mabinti wasikivu. Anavyokusikiliza wewe ndo hata mimi atanisikiliza hivyo hivyo. Mlete tumle huku chuo.
 
Back
Top Bottom