Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hapo mkuu unaweza tu kumsomesha , but usiwe na huge expectations kwake, la sivyo utaumiaa...Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Mbona umenivunja moyo hivyo napokea ushauli ndo maana nimelileta hapa kwa ndugu zangu najua ntapata majibu sahihi bado nipo njia panda kwa hili aiseKama umeamua kumsomesha just kumsaidia without expecting anything na uwe na uhakika hata akikuacha hautaumia its okay msomeshe
Ila ukumbuke MCHUMBA HASOMESHWI
Ukiona hiyo hela inakuwasha zaidi naomba niazime mimi nna matumizi nayo ntakurudishia[emoji3]
Ushauri wa kiutu uzima, muoe kisha msomeshe akiwa mkeo kabisa na pia umdunge na mimba ya kwenda nayo chuo ili hata huko mbeleni akikutosa elimu yake itamsaidia na mwanaoYan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Do it at your own risk...Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Basi huna akili. Mchumba hasomeshwi. Yaani sana sana msomeshe ufundi nguo tu.Hapana mkuu mindo nataka nimsomeshe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwana unamiaka mingapi labda?Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Msomeshe tu kaka kwasababu hata akimaliza shule atarudi kwako kwakuwa mchumba atakae mpata chuo atakuwa hajajipanga kimaisha na Hana ajilaWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Nipo nawaza hapa mkuu nimpige mimba ndo nimsomeshe hata akija kunigeuka baadae najua tayar nipo na mtoto wangu ashanizalia tayar nakuwa nimepunguza machungu nimawzo nawazaDemu hasomeshwi. Acha kujivesha jukumu la wazazi wake.
Labda kama unamsaidia tu, just like msaada to a stranger, WITH NO expectation of 'pay back'.
Ila kama unaamua kumsomesha kwa 'romantic expectations'... jiandae kulilia chooni in near future! 😎
-Kaveli-
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Tumwache kwanza😂😂😂Huyu tumwambie au tumwache kwanza ? 😂😂
Mpeleke chuo watu tukamle huko. Mi nafanya Phd sasa. Mlete nimeshakula sana mabinti wasikivu. Anavyokusikiliza wewe ndo hata mimi atanisikiliza hivyo hivyo. Mlete tumle huku chuo.Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Huachagi kunifurahisha ciccy 🤣🤣🤣🤣🙌Labda msome wote ,yeye na wewe!ni ushauri tu
NakaziaUshauri wa kiutu uzima, muoe kisha msomeshe akiwa mkeo kabisa na pia umdunge na mimba ya kwenda nayo chuo ili hata huko mbeleni akikutosa elimu yake itamsaidia na mwanao