Msishangae
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 363
- 267
Angekuwa mkeo sawa la sivyo achana nayeWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa mkeo sawa la sivyo achana nayeWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Amdunge na mimba kbsa aende nayo chuoUshauri wa kiutu uzima, muoe kisha msomeshe akiwa mkeo kabisa na pia umdunge na mimba ya kwenda nayo chuo ili hata huko mbeleni akikutosa elimu yake itamsaidia na mwanao
🚶♀️🚶♀️🚶♀️Huachagi kunifurahisha ciccy 🤣🤣🤣🤣🙌
Tumuache kwanza
Aje amwambie hatuendaniTumwache kwanza😂😂😂
Ana collateral?Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Ampeleke chuo cha bibliaWe unaonaje [emoji23][emoji23]
Au we unaonaje mdogo wangu? Si wanatakiwa wote shule?Huachagi kunifurahisha ciccy 🤣🤣🤣🤣🙌
Ngoja na mimi nikufate 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Kwamba hakuwa kwenye kile kikao tulichoweka makubalianoHuyu tumwambie au tumwache kwanza ? 😂😂
Sio hadhi yake 😂😂😂Aje amwambie hatuendani
Wote inabidi tu wakasome chuo kimoja ili iwe rahisi kumfatilia 😂😂😂Au we unaonaje mdogo wangu? Si wanatakiwa wote shule?
Anataka aje kujiliza huku , wakati tulisema chuo pekee cha kumsomesha mtu ni chuo cha Biblia.Kwamba hakuwa kwenye kile kikao tulichoweka makubaliano
Dah unaweza ukakata mtu panga 😂😂Sio hadhi yake 😂😂😂
[emoji1787][emoji1787] kmmmkMpeleke chuo watu tukamle huko. Mi nafanya Phd sasa. Mlete nimeshakula sana mabinti wasikivu. Anavyokusikiliza wewe ndo hata mimi atanisikiliza hivyo hivyo. Mlete tumle huku chuo.
utasikia wewe sio man of my dreams 😂😂😂🙌Dah unaweza ukakata mtu panga 😂😂