Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Unajieleza sana dogo mm sjataka hizo polimilai zako
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Huo usikivu na unyenyekevu unaenda kuishia huko chuo,atakapoenda kushikishwa Koni,na ukuta na wahuni na ma lecture MBWA wewe na mafanikio yako,si usaidie watoto wa mashangazi zako huko porini,unaleta huruma kwa makarumbembe
 
Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Kuna pahali umesema amemaliza form six.

Kama ni hivyo. Aombe mkopo wa Heslb.

Kama ni Vinginevyo kwamba atafeli Fanya Kama wadau walivyosema hapo juu. Mpe ujauzito ndani ya mwezi huu na ujao. Muoe then kamlipie Ada. Ikiwezekana chuo kiwe karibu na unakoishi. Awe anatokea kwako.
[emoji58][emoji58][emoji58]
 
Kuna pahali umesema amemaliza form six.

Kama ni hivyo. Aombe mkopo wa Heslb.

Kama ni Vinginevyo kwamba atafeli Fanya Kama wadau walivyosema hapo juu. Mpe ujauzito ndani ya mwezi huu na ujao. Muoe then kamlipie Ada. Ikiwezekana chuo kiwe karibu na unakoishi. Awe anatokea kwako.
[emoji58][emoji58][emoji58]
Ndio mkuu kamaliza six ndo yupo anangoja afanye process za kuomba chuo na mkopo zikishaaza mwaka huu ndo naombea hapa bora apate huo mkopo wake niwe namboost vitu vidogo vidogo
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Adam baada yakumwamini Eva nini kilimkuta kwenye bustani ya edeni ⁉️ subiri aanze chuo utaona atakavyobadilika... chukua maneno yangu.
 
Back
Top Bottom