Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unauwezo wa kufanya hivyo,msaidie tu atimize ndoto zake kwa ajili ya faida yenu ya baadaeWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Apo kwenye kukukopesha iyo hela uo ushaur akiufwata ipo siku ata kushukuru [emoji38][emoji16][emoji16]
mwambieni atakuja kujiua huyu... MCHUMBA HASOMESHWIHuyu tumwambie au tumwache kwanza ? 😂😂
Unajua anamsomesha ngazi gani? Na ukute ndio kwanza kamaliza f4f4 miaka 16Ushauri wa kiutu uzima, muoe kisha msomeshe akiwa mkeo kabisa na pia umdunge na mimba ya kwenda nayo chuo ili hata huko mbeleni akikutosa elimu yake itamsaidia na mwanao
Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Utakuja ulie kilio cha mbwa koko, acha huo ushamba wa kuongozwa na hisia.Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Mpe mimba muoe kabisa Ili akienda huko !!Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Afu ukute hajui hata kuitumia..🤭Jmn mbususu inalindwa sana hadi sio poa🤣
Labda hili halinihusu😂Afu ukute hajui hata kuitumia..🤭
Mwache amsomeshe kwanza.🤣🤣🤣🤣Huyu tumwambie au tumwache kwanza ? 😂😂
Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Probability tu hii....Labda hili halinihusu😂
Nimecheka mimi jamani...watu mabazaz balaaVitu vya kawaida sana msomeshe kama una uwezo kama huna naomba namba yake nimsomeshe mimi.
Emu ama Mchumba au mke hasomeshwi.Hiyo ni kazi ya wazazi wake.Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Usinifanyie hivyo shem 🤣Probability tu hii....