Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

1687597965133.jpg
 
Ushauri wa kiutu uzima, muoe kisha msomeshe akiwa mkeo kabisa na pia umdunge na mimba ya kwenda nayo chuo ili hata huko mbeleni akikutosa elimu yake itamsaidia na mwanao
Unajua anamsomesha ngazi gani? Na ukute ndio kwanza kamaliza f4f4 miaka 16
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Utakuja ulie kilio cha mbwa koko, acha huo ushamba wa kuongozwa na hisia.
Mpenzi hasomeshwi, huu mwaka wa pili sasa toka nipigwe tukio la kusomesha mpenzi niliyetoka mbali naye sana na sasa ni mke wa mtu.
Kama unataka kujihakikishia piga ujauzito akuzalie kwanza la sivyo acha ushamba wa kusumbuliwa na hisia km za movie la kihindi....
 
Back
Top Bottom