Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Utakuja kulia na kusaga meno hiyo Hela Yako kanywe k vant mkuu usisomeshe mbuzi ya mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hivi upo serious Kweli?? au unatuchora.Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Kupata uhakika. Kikubwa kuzingatia vigezo na masharti.Ndio mkuu kamaliza six ndo yupo anangoja afanye process za kuomba chuo na mkopo zikishaaza mwaka huu ndo naombea hapa bora apate huo mkopo wake niwe namboost vitu vidogo vidogo
Huyu tumwambie au tumwache kwanza ? [emoji23][emoji23]
Mchumba hasomeshwi, walau mke anaweza kusomeshwa na kama first year ndio wanabadilikaga sana wakifika chuoWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Roger!Code red! Man down! Man down! Captain do you roger! I repeat the mission has been compromised, we need a cover over[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama upo serious.Mkuu nipo serious kabisa mkuu ndo maana nimekuja kwenu wakuu ili hata nikifanya decision bas iwe sahihi isiyokuwa na majuto baadae
Kwanini usimuoe Kwanza kuna haja ya kumpa mimba before kumuoa??Nipo nawaza hapa mkuu nimpige mimba ndo nimsomeshe hata akija kunigeuka baadae najua tayar nipo na mtoto wangu ashanizalia tayar nakuwa nimepunguza machungu nimawzo nawaza
Mpe mimba azae mtoto mmoja ndio muanze kuongelea masuala ya kusomesha.Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Wengi wao huwa ni wasikivu mkuu tena wana nidhamu ya hali ya juu kablaYan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Kama unamsaidia sawa ila kudhani ndio Mke weka nusunusuWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Kama umeamua kumsomesha just kumsaidia without expecting anything na uwe na uhakika hata akikuacha hautaumia its okay msomeshe
Ila ukumbuke MCHUMBA HASOMESHWI
Ukiona hiyo hela inakuwasha zaidi naomba niazime mimi nna matumizi nayo ntakurudishia[emoji3]
Dont try this naugulia maumivu haya ni week tu dem wangu nimetoka kuachana naye kisa kamaliza chuo nlikuwa namsomeshaWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali