AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Kwanini watu hawafuati katiba ya wanaume ya MWAKA 1987 kifungu namba 6b. "Mchumba/demu hasomeshwi"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku wanaambiwa wanaona hadi mifano 😂😂 huyu tumwachemwambieni atakuja kujiua huyu... MCHUMBA HASOMESHWI
Haelewi ngoja apigwe tukio kwanza mkuuTumuache kwanza mkuu....Kwani haoni udongo umekuwa matope?
Ahaaha jamn duuh Ila namshauri hapo atawasaidie majukum wanaume wenzieKwani wewe ni Red Cross au shirika la msaada jingine.
Hakuna rangi ataacha kuona mpaka siku anakata roho...[emoji28][emoji28][emoji28]JICHANGANYE.
Nimeandika Kwa herufi kubwa Kwa mara ya kwanza toka nimejiunga jf.
Naunga mkono komenti zote kuanzia ya 2 hadi ya 18 na kuanzia ya 20 hadi mwishoYan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
mchumba anasomeshwa mwisho cherehani tu acha ujinga.Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
ushauli ### ushauriWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Kama anasomea masoma ya Uchungaji sawa tofauti na hapo acha kuvaa bomu.Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa