Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Naunga mkono komenti zote kuanzia ya 2 hadi ya 18 na kuanzia ya 20 hadi mwisho
 
Kuna jamaa mfanyakazi alioa Mnyaturu wa Singida ,Yule dada aliomba akasome,kwa kuwa jamaa alikuwa ameoa tayar akajiamini kuwa hata akimsomesha Yule dada hawezi kumsaliti,kilichotokea dada alimsaliti jamaa ndoa ikitaka kuvunjika kisa kusomesha !Kama unaroho ya Upendo somesha Mkuu😂😂😂
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Kama anasomea masoma ya Uchungaji sawa tofauti na hapo acha kuvaa bomu.
 
Back
Top Bottom