Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Hovyo sana fisi
"Hovyo" kwanini kijana?

Tuombeane mema, leo ni siku njema kabisa, siku ya dua Kiislam. Mimi nakutakia na najitakia kila jema.

Wakitoka Arafat leo Waislam waliokwenda Haj, wanalala sehemu inaitwa Muzdalifa, hapo wanaokota vijiwe vya kwenda kumpiga shetani kesho sehemu inayoitwa Mina. Kwa faida ya wote duniani.

Uislam ni mwema sana.
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Ushauri wangu kwako....Kama unampenda kweli na una future nae muoe kwanza awe mke wako then ndio umsomeshe...Hata ukisema unamsomesha kwa kumsaidia tu siku akiota mkia itakuuma tu tena utajisonya mwenyewe mpaka unaingia kaburini, Kasema nini yule! Kalaghabao.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Sio kila mahusiano yameandikiwa ndoa mengine ni Tution tu..... USIFANYE HUO UPUUZI, niliwahi fanya upuuzi kama unaotaka kuufanya kalipomaliza kusoma katoto kale kalinambia jibu rahisi kweli 🤣🤣🤣 "Usikariri maisha" kibaharia sikulia nilivibrate
 
Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Acha hizo mambo kama wazazi wameshindwa kumsomesha amue Moja kuolewa au kubaki kwa wazazi .
Ukimsomesha akikugeuka uenze kuleta Uzi was kuomba ushauri...
NAKAZIA TU MKUU mwanamke asomeshwi anatakiwa asomeshwi na wazazi wake au ukiweza mtie mimba kwanza ndo aende shule
 
Ni sawa na kuwekeza kwenye kiwanda cha barafu ukitegemea umeme wa Tanesco.
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Wee msomeshee, usisikilize maneno ya watu. Pambania fyucha ya mwenza wako, huo ndio upendo wa kweli
 
Ushauri wa kiutu uzima, muoe kisha msomeshe akiwa mkeo kabisa na pia umdunge na mimba ya kwenda nayo chuo ili hata huko mbeleni akikutosa elimu yake itamsaidia na mwanao
Bora hivyo yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Ulianza kudate nae bdo mwanafunz una expect angekuwa anakuomba 50k au 100k kwa ajili ya expenses zake??? Huyo alkua bdo mtoto na mpk sasa ni mtoto bdo hajajua kuendana na dunia, msomeshe afke chuo akutane na boyfriend jeans, weavings, mawigi, macho matatu na kuanza kuendana na usasa ndo utajua hujui na kuanza kulalamika kwamba kabadilika...

Girls mostly teenagers wanakua kwny mahusiano kwa sababu ya hisia zaid na muonekano ila ladies especially awa wa kutoka teenager kuelekea uamama wanakua na ww kwny mahusiano kwa kuangalia wat u provide( money, security etc)
 
Yan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Kwamba umemzidi kiumri, hapo baadae atakuambia amepata size yake.
 
INGIA YOUTUBE DOWNLOAD HUU WIMBO
KISHA USIKILIZE KWA MAKINI SANA TAFADHALI

Stella Wangu Lyrics

Nilikua na mchumba wangu
Tulipendana kama chama choma
Alibahatika kwenda ng’ambo
Chuo kikuu kwenda kusoma
Miaka mitatu kule Japani
Kusomea udakitari, Stella wangu eeeh

Nilikua na mchumba wangu
Tulipendana kama chama choma
Alibahatika kwenda ngambo
Chuo kikuu kwenda kusoma
Miaka mitatu kule Japani
Kusomea udakitari, Stella wangu eeeh
(Ooh oooh ooh..)

Nilivyo mpenda Stella jamani
Kajitolea kwa roho moja
Nikauza shamba langu, sababu yake yeye
Nikauza gari langu, sababu yake yeye
Nikauza ng’ombe na mbuzi sababu yake yeye
Ili apate nauli yake
Na pesa nyngine za matumizi kule Japani

Ilikua tarehe kumi na saba mwezi wa tano
Ilikua tarehe kumi na saba mwezi wa tano
Mwaka elfu moja tisamia tisaini na mbili
Mwaka elfu moja tisamia tisaini na mbili
Ndiyo ilokua tarehe kamili ya Stella kurudi Kenya

Nilikwenda uwanja wa ndege kwenda kumlaki Stella
Nilikua na uncle Kilinda uwanja wa ndege
Nilikuwa na Engineer Njau Njoke na mkewe na watoto wake
Nilikua baziri mwa Kolomba na mkewe na watoto wake
Nilikuwa na Pedesh Makamba–
Nilikuwa na Mwandagro Mganga–

Ghafla ndege lipotua uwanajani nliona vituko
Stella alishuka amebeba mtoto mikononi
Stella alishuka amebeba mtoto mikononi
Nyuma yake mchumba wake mfupi
Futi nne Mjaipani

Nilisikitika ndani ya moyo nikakosa la kufanya
Nilitamani nilie Kikamba lakini sikijui
Ilibidii nilie Kijaluo
“Angatima ngo wauchoa”, Freshley

Nilitamani nilie Kihindi lakini si kijui
Nilitamani nilie Kihindi lakini si kijui
Ikanibidi nilie Kitaita
Lugha ya mama na baba
Ikanibidi nilie Kitaiata
“beke mwana niponyebanda, Freshley”

Iyooo, yoo, yoo, yoo
I love you Stella mami
Iyooo, yoo, yoo, yoo
I love you Stella mami

Come back, come back Stella
I still need you baby
Come back, come back Stella
I still need you baby
Come back, come back Stella
I still need you baby

Kama ni wewe, ungefanya nini?
Kama ni wewe, ungefanya nini?
Kama ni wewe, ungefanya nini?
Kama ni wewe, ungefanya nini
 
Usimsomeshe kimbia kabisa. Naleta kisa changu mwenyewe kimenitokea wiki ilopita baada ya dem kumaliza chuo tena cheti tu cha uhasibu




Oole sana mkuu ulipitia njia ambayo mimi ndo naipitia sasa hivi.
Mm nlianza mahusiano na binti mmoja mrembo tu wa kiwango chake. Alikuwa anatokea familia maskini iliyokuwa disorganised yaaan baba mama hawaelewani mzee hahudumii familia mama anahudumia kwa shida sana kuna mda watoto wanadanga ili walete chakula.
Binti huyu nlitaka nimfanye awe mke mdogo japo tunatofauti kubwa ki umri maana namzidi miaka 20 na kidogo, kwake hili halikuwa tatizo kabisa kwani alisema hapendi kudate na wavulana 20s ambao ndio lika lake. By the time tunaanza mahusiano alikuwa na 17ysr secondary school leavel. Nlimpenda kiasi kwamba nlikuwa tayari kufanya chochote kwa ajili yake haijalishi ninacho ama sina.
Baada ya mwaka mmoja kwenye relation aliniomba nimsomeshe, nikakubali kwa ahadi akiwa semester ya 2 atabeba mimba anizalie kwa vile nina tatizo la uzazi kwa shemeji yenu niliona nimepata mkombozi.
Binti huyu ieleweke ana tabia sio nzuri kimahusiano at 17 nlikuja kujua alishatoa mimba 5 na alikuwa na kijiti cha kuzuia mimba, nlijua hili mwezi wa 2 tushaanza ugomvi usioisha ila bado nlikuwa namhudumia kila kitu but tayari alikuwa ameshaanzisha mahusiano na wanaume wengine 2 au zaidi. Wa chuoni alikokua na mmoja wa huku mkoa ninapoishi nahisi walikutana kwenye bus wakapeana naamba.
Mwezi wa 2 aliniambia simu yake imeharibika anataka mpya coz ililipuka kwenye chaj nikamwambia why usipeleke ikatengenezwe maana kilichoharibika ni kitu hakizidi elf 10 mi nikakataa kununua simu mpya. Kumbe simu haikuharibika bali ilikuwa ni ujanja wa kutaka kuniblock whatsap ili nisione anachokipost. Basi akasema amenunua simu ndogo ndo tukawa tunawasiliana.
Mwezi wa 2 alikuja likizo na alikuwa anafikia kwangu akati anaondoka simu ndogo akasema inazingua pia na alisema imeharibika alivyopanda bus akasema anatumia simu ya abiria mwenzake so alivyoshuka simu ikatoweka hewani. Huwa naenda kumpokea nangari binafsi almost 250km away hivo ni return route ya 500k, hii ni kwa ajili nlitaka ajiona namjali.
Nlimuuliza ile smart mbovu nlikwambia uje nayo ipo wapi, akasema kaisahau, na simu ndogo ipo wapi, akasema ipo nitakuonyesha mpaka anaondoka sikuwahi kuiona.
Mojawapo ya makubaliano akirudi mwezi wa 3 chuon tuondoa kijiti ili hotmone zikae sawa tayari kwa mwezi wa 7 kubeba mimba, nlivyomgusia hii ishu alikataa akasema nisubiri amalize chuo.
Nikachukia japo hakujua nikagoma kutoa matumiz sababu katika kufuatilia nligundua kweli sim kubwa ililipuka system charger ili ilirekebishwa tu kesho yake.
Tumeenda miezi3 bila kumhudumia, wiki 2 zilizopita akawa ananiomba nauli za kurudia huku ambayo ni hela kidogo tu km elf80 kweli sikutuma.kumbe aliomba kwangu na kwa huyu bf2wahuku. Nlivyokataa dem alisafiri hadi kwa jamaa.
Ila one day before asafiri nlimwambia its over coz siku nipo na rafiki y3ake sehem tulikutana tu sehem mi nakula gambe na yeye yupo na jamaa yake akampigia videocall naona na rafiki yake ashaniambia kila kitu kuwa dem wako alitengeneza sim zaman tu na ana mwanaume arusha anakosoma chuo.
Sikuwa namwamini tafiki yakealivomaliza maongezi ndo akaniambia umeamini sasa shrm. Mm kupiga simu video cal haiiti andika sms hazimfikii.nikafanya trick nlikuwa na namba yangu ingine siitumii whatsap na anayo coz nina namba 3 nikadownload whatsap ingine nikainstall nikamtumia sms ilikuwa usiku akiwa tayari asharudi ila mm hajaniambia kama week hivi.asubuhi nikakuta ameipokea na ameniunblock kwenye line ya zaman naona status na kila kitu nikaona yupo na jamaa yake wamepiga picha wamelewa balaa.
Nliumia sana sana mpaka leo siko vizuri. Tena akaniambia nimekuona sehem. Sikumjibu aisee ila nlikuja kumpigia simu ya kuachana. And hili lilitokea wiki ilopita nlipo nina siku ya 4 siwezi kula naezakula kitumbua 1 asubuhi nisile tena hadi kesho yake,, nina vidonda vya tumbo nahisi utumbo unakatika, akili imevurugika nimepata kitu kinaitwa brain fog yaanbsiwezi kufanya chochote nafika job nakaa tu kamammgonjwa. Najikuta nalia sana hadsa usiku. Silali kabisa.
Kusemanukweli huyu mschana nlimpenda nikampenda nikambadilisha tabia za ulevi aliacha, umalaya aliacha alikuws bint wa kawaida kabisa. Nina mawaisliano na mdogo wake ya karibu na ananipa updates ya kila anachofanya juz weekend karudi saa 7 usiku amelewa na amebeba chupa za pombe nyingi tu, jana kaondoka saa 7 mchana hakurudi. Asonamerudia life alilokua nalo bovu.polepole nimeaanza kurudia hali ya kkawaida japo siwezi kumsahau mpaka nipate replacement.
Kimsingi hayo ndo niliyoyapitia kaka yenu namwomba ssna mungu aniongoze nisilipize kisasi
Sababu kinachoniuma sio yeye kuwa na mwanaume mwingine coz hata tukiwa kwenye relation alikuwa ananitoroka maramojamoja anaenda kulala kwa wanaume, kinachoniuma ji jinsi nilivyojitoa kwake kwa hali na mali nlitumia fedha nyingi nikijua najenga nyumba yangu kumbe nlikuwa najengea jirani, kinachoniuma ni kudanganywa. And namiss moment nilizokuws naye kwangu.
 
Usimsomeshe kimbia kabisa. Naleta kisa changu mwenyewe kimenitokea wiki ilopita baada ya dem kumaliza chuo tena cheti tu cha uhasibu




Oole sana mkuu ulipitia njia ambayo mimi ndo naipitia sasa hivi.
Mm nlianza mahusiano na binti mmoja mrembo tu wa kiwango chake. Alikuwa anatokea familia maskini iliyokuwa disorganised yaaan baba mama hawaelewani mzee hahudumii familia mama anahudumia kwa shida sana kuna mda watoto wanadanga ili walete chakula.
Binti huyu nlitaka nimfanye awe mke mdogo japo tunatofauti kubwa ki umri maana namzidi miaka 20 na kidogo, kwake hili halikuwa tatizo kabisa kwani alisema hapendi kudate na wavulana 20s ambao ndio lika lake. By the time tunaanza mahusiano alikuwa na 17ysr secondary school leavel. Nlimpenda kiasi kwamba nlikuwa tayari kufanya chochote kwa ajili yake haijalishi ninacho ama sina.
Baada ya mwaka mmoja kwenye relation aliniomba nimsomeshe, nikakubali kwa ahadi akiwa semester ya 2 atabeba mimba anizalie kwa vile nina tatizo la uzazi kwa shemeji yenu niliona nimepata mkombozi.
Binti huyu ieleweke ana tabia sio nzuri kimahusiano at 17 nlikuja kujua alishatoa mimba 5 na alikuwa na kijiti cha kuzuia mimba, nlijua hili mwezi wa 2 tushaanza ugomvi usioisha ila bado nlikuwa namhudumia kila kitu but tayari alikuwa ameshaanzisha mahusiano na wanaume wengine 2 au zaidi. Wa chuoni alikokua na mmoja wa huku mkoa ninapoishi nahisi walikutana kwenye bus wakapeana naamba.
Mwezi wa 2 aliniambia simu yake imeharibika anataka mpya coz ililipuka kwenye chaj nikamwambia why usipeleke ikatengenezwe maana kilichoharibika ni kitu hakizidi elf 10 mi nikakataa kununua simu mpya. Kumbe simu haikuharibika bali ilikuwa ni ujanja wa kutaka kuniblock whatsap ili nisione anachokipost. Basi akasema amenunua simu ndogo ndo tukawa tunawasiliana.
Mwezi wa 2 alikuja likizo na alikuwa anafikia kwangu akati anaondoka simu ndogo akasema inazingua pia na alisema imeharibika alivyopanda bus akasema anatumia simu ya abiria mwenzake so alivyoshuka simu ikatoweka hewani. Huwa naenda kumpokea nangari binafsi almost 250km away hivo ni return route ya 500k, hii ni kwa ajili nlitaka ajiona namjali.
Nlimuuliza ile smart mbovu nlikwambia uje nayo ipo wapi, akasema kaisahau, na simu ndogo ipo wapi, akasema ipo nitakuonyesha mpaka anaondoka sikuwahi kuiona.
Mojawapo ya makubaliano akirudi mwezi wa 3 chuon tuondoa kijiti ili hotmone zikae sawa tayari kwa mwezi wa 7 kubeba mimba, nlivyomgusia hii ishu alikataa akasema nisubiri amalize chuo.
Nikachukia japo hakujua nikagoma kutoa matumiz sababu katika kufuatilia nligundua kweli sim kubwa ililipuka system charger ili ilirekebishwa tu kesho yake.
Tumeenda miezi3 bila kumhudumia, wiki 2 zilizopita akawa ananiomba nauli za kurudia huku ambayo ni hela kidogo tu km elf80 kweli sikutuma.kumbe aliomba kwangu na kwa huyu bf2wahuku. Nlivyokataa dem alisafiri hadi kwa jamaa.
Ila one day before asafiri nlimwambia its over coz siku nipo na rafiki y3ake sehem tulikutana tu sehem mi nakula gambe na yeye yupo na jamaa yake akampigia videocall naona na rafiki yake ashaniambia kila kitu kuwa dem wako alitengeneza sim zaman tu na ana mwanaume arusha anakosoma chuo.
Sikuwa namwamini tafiki yakealivomaliza maongezi ndo akaniambia umeamini sasa shrm. Mm kupiga simu video cal haiiti andika sms hazimfikii.nikafanya trick nlikuwa na namba yangu ingine siitumii whatsap na anayo coz nina namba 3 nikadownload whatsap ingine nikainstall nikamtumia sms ilikuwa usiku akiwa tayari asharudi ila mm hajaniambia kama week hivi.asubuhi nikakuta ameipokea na ameniunblock kwenye line ya zaman naona status na kila kitu nikaona yupo na jamaa yake wamepiga picha wamelewa balaa.
Nliumia sana sana mpaka leo siko vizuri. Tena akaniambia nimekuona sehem. Sikumjibu aisee ila nlikuja kumpigia simu ya kuachana. And hili lilitokea wiki ilopita nlipo nina siku ya 4 siwezi kula naezakula kitumbua 1 asubuhi nisile tena hadi kesho yake,, nina vidonda vya tumbo nahisi utumbo unakatika, akili imevurugika nimepata kitu kinaitwa brain fog yaanbsiwezi kufanya chochote nafika job nakaa tu kamammgonjwa. Najikuta nalia sana hadsa usiku. Silali kabisa.
Kusemanukweli huyu mschana nlimpenda nikampenda nikambadilisha tabia za ulevi aliacha, umalaya aliacha alikuws bint wa kawaida kabisa. Nina mawaisliano na mdogo wake ya karibu na ananipa updates ya kila anachofanya juz weekend karudi saa 7 usiku amelewa na amebeba chupa za pombe nyingi tu, jana kaondoka saa 7 mchana hakurudi. Asonamerudia life alilokua nalo bovu.polepole nimeaanza kurudia hali ya kkawaida japo siwezi kumsahau mpaka nipate replacement.
Kimsingi hayo ndo niliyoyapitia kaka yenu namwomba ssna mungu aniongoze nisilipize kisasi
Sababu kinachoniuma sio yeye kuwa na mwanaume mwingine coz hata tukiwa kwenye relation alikuwa ananitoroka maramojamoja anaenda kulala kwa wanaume, kinachoniuma ji jinsi nilivyojitoa kwake kwa hali na mali nlitumia fedha nyingi nikijua najenga nyumba yangu kumbe nlikuwa najengea jirani, kinachoniuma ni kudanganywa. And namiss moment nilizokuws naye kwangu.
Huyu wangu pia mnyaturu
 
Back
Top Bottom