Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #181
Option ya kwanza bora zaidi nazani..Be you. Ukifanya jambo ambalo si lako ila unalifanya kwa kusudio la kumfurahisha mpenzi,kaka siku ukiachika maumivu yake yatakuwa makali sana. Majuto yake yatakutesa sana. Kama si mtumiaji na hutaki kuwa mtumiaji basi una machaguo mawili;
1. Mkubaliane yeye aendelee kuwa mtumiaji na wewe ukubaliane nalo jambo ilo
2. Uachane nae ikiwa bado mapema.
Ni sahihi! Choice is yours brother.Option ya kwanza bora zaidi nazani..
Maana kipendacho roho hula nyama mbichi mkuu
Kata mti, panda mtiWeee jamaa nyoko sana ujue 😀😀😀😀
Thank blood lets try itNi sahihi! Choice is yours brother.
Huna adabu kabisa sheenziii😄😄😄😄😄😄😄Kata mti, panda mti
Maamuzi unayo mwenyewe. Fuata moyo wako wa upendo unakokuongozaWakuu salam
Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.
Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...
Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.
Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..
Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.
Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..
Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Mimi sio mtaalam wa afya mkuu...Daaah kwanza mkuu naomba nijue wewe ni mtaalamu wa afya sio..?
Maana naona umegusia vitu kitaalamu sana..
Yaani nimesoma kwa makini sana.
Kuna kitu hapa ambacho huwenda mimi nakikosea mkuu
Mkuu wewe heshima zeroNaomba wote muwe walevi Tena hamieni kilabuni.
Yaan mi nileweMaamuzi unayo mwenyewe. Fuata moyo wako wa upendo unakokuongoza
Mi kuoa hapana mkuu..Usioe mwanamke mlevi
Ongozwa na upendo mkuu.Yaan mi nilewe
sasa kataa ndoa unalia lia nini, kwanini unapoteza muda na akina ant D wakat huna mpango wowote, fanya mambo mengine mkuuMi kuoa hapana mkuu..
Mi ni kataa ndoa of
Katika hali ya kawaida ulevi siyo tatizo ila kama ukilewa unafanya vitendo vya hovyo hapo ndio tatizo, sasa siyo kila mtu akilewa hufanya vitendo vya hovyo, halafu unamaanisha ulevi ni tatizo kwa jinsia zote au kwa wanawake tuKwaiyo wewe hauoni kama ulevi wa mwanamke ni tatizo hapo, ila tatizo ni mwanaume kukataa kukubaliana na tabia ya ulevi ya mwanamke.
Hiyo ni ngumu sana mkuuOngozwa na upendo mkuu.
Daaah aiseeeeIla binadamu tunapenda kuchagua dhambi🙆♂️🙆♂️
Kumbe we daudi jau wewe....sasa kataa ndoa unalia lia nini, kwanini unapoteza muda na akina ant D wakat huna mpango wowote, fanya mambo mengine mkuu
Sio Jau mkuu, huyo mtoto wa watu anategemea future nzuri toka kwako ndio maana alikubali kuwa na wewe pamoja na uchapombe wake, kumbe wewe huna mpango naye na uchapombe wake unakukaraisha si uache tu uishi kibaba parokoKumbe we daudi jau wewe....
Hvi unajua kukataa ndoa sio maana kwamba mimi ndo nisijiusishe na mbususu mkuu