Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

Be you. Ukifanya jambo ambalo si lako ila unalifanya kwa kusudio la kumfurahisha mpenzi,kaka siku ukiachika maumivu yake yatakuwa makali sana. Majuto yake yatakutesa sana. Kama si mtumiaji na hutaki kuwa mtumiaji basi una machaguo mawili;
1. Mkubaliane yeye aendelee kuwa mtumiaji na wewe ukubaliane nalo jambo ilo
2. Uachane nae ikiwa bado mapema.
Option ya kwanza bora zaidi nazani..
Maana kipendacho roho hula nyama mbichi mkuu
 
Wakuu salam

Sasa hii issue imekua very seriously..
Nachoka sana. Najaribu kumwelekeza huyu mwenzangu kuhusu pombe but still ignore me.

Ipo hivi tangu nianze mahusiano na huyu antiel D amekua mtu wa kutaka kuni fanya na mimi niwe addicted na pombe kitu ambacho mi dini yangu inakataza...

Achana na dini hata mimi kutumia hvo vitu nilishasema hapana..
Ila tangu niwe nae nimeanza kutumia japo sio sana.

Sasa kila napomshauri aachane na hivi amekua mkali kwangu na kuniambia sijui lolote kuhusu yeye..

Nimejaribu kumkwepa nisiwe natoka nae kunywa mabia sijui mapombe ila inakua ngumu sana maana anaweza kukutafutia kesi tuu ili mnuniane.

Sasa ndugu zangu hii issue na solve vipi kijana wenu..
Issue ni mimi niingie rasmi katika unywaji wa pombe ili niende nae Sawa..

Nb. Usitoe ushauri wa kumuacha still nampenda
Maamuzi unayo mwenyewe. Fuata moyo wako wa upendo unakokuongoza
 
Daaah kwanza mkuu naomba nijue wewe ni mtaalamu wa afya sio..?

Maana naona umegusia vitu kitaalamu sana..
Yaani nimesoma kwa makini sana.
Kuna kitu hapa ambacho huwenda mimi nakikosea mkuu
Mimi sio mtaalam wa afya mkuu...

Shida iko na shemeji yetu itabidi aendane na wewe sio wewe uendane nayeye. Kwahiyo ufanyike kazi ushauri huu.
 
Kwaiyo wewe hauoni kama ulevi wa mwanamke ni tatizo hapo, ila tatizo ni mwanaume kukataa kukubaliana na tabia ya ulevi ya mwanamke.
Katika hali ya kawaida ulevi siyo tatizo ila kama ukilewa unafanya vitendo vya hovyo hapo ndio tatizo, sasa siyo kila mtu akilewa hufanya vitendo vya hovyo, halafu unamaanisha ulevi ni tatizo kwa jinsia zote au kwa wanawake tu
 
sasa kataa ndoa unalia lia nini, kwanini unapoteza muda na akina ant D wakat huna mpango wowote, fanya mambo mengine mkuu
Kumbe we daudi jau wewe....

Hvi unajua kukataa ndoa sio maana kwamba mimi ndo nisijiusishe na mbususu mkuu
 
Kumbe we daudi jau wewe....

Hvi unajua kukataa ndoa sio maana kwamba mimi ndo nisijiusishe na mbususu mkuu
Sio Jau mkuu, huyo mtoto wa watu anategemea future nzuri toka kwako ndio maana alikubali kuwa na wewe pamoja na uchapombe wake, kumbe wewe huna mpango naye na uchapombe wake unakukaraisha si uache tu uishi kibaba paroko
 
Back
Top Bottom