The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
Mwenzako yupo kwenye majonzi yakutapeliwa hela we unamletea habari za malavilavi.unajua nakupenda sana mtoto mzuri?
Mimba sio ya mwanamke ni ya wote wawili.Usioe mwanamke kwa kumuonea huruma mfano kwa sababu ya mimba
Halafu huyo mchumbako mbona huko alipo watu wanajipigia tu unamwogopea nini sasa?
Wanawake ni wapumbavu sana anaona kabisa yuko siku za hatari na bado anakubali kutombwa kavu mtaishia kuwa single mom
New single mom in town anakuja
Akifanya hivi waganga watakunywa sana supu ya kuku.Ucheze fair kivipi wakati umeshamwambia huyo mchepuko utafunga nae ndoa?Rudi upesi kwa mchumba wako wa kwanza umueleze kosa lako na umuombe msamaha.Akusamehe au asikusamehe usithubutu kurudi Kwa yule mchepuko isipokuwa matumizi lazima umtumie kwa kubeba kiumbe chako.Ukirudi tu Kwa mchepuko utakuwa ukapanga makusudi kumuumiza mwenzio na wala hujutii kosa lak😵gopa chozi la mwanamke.
nitag kwenye uzihuo nione nikiasi gani nimlipeMwenzako yupo kwenye majonzi yakutapeliwa hela we unamletea habari za malavilavi.
Omba namba umrudishie hela alopoteza
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Laki sita + aliibiwanitag kwenye uzihuo nione nikiasi gani nimlipe
hela yamboga hio.nipe link yauzi wakeLaki sita + aliibiwa
🤣Akifanya hivi waganga watakunywa sana supu ya kuku.
Ngoja niuchek nikutumie......hela yamboga hio.nipe link yauzi wake
Aisee.....upo njia panda mkuu ila jiandae tu kuvuna ulichopanda hamna namna hapo.Habari yenu ndugu zangu.
Niende kwenye mada.
Mimi nina mchumba wangu toka mwaka juzi tupo kwenye uchumba na mwakani tumepanga kufunga ndoa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 6 nilipata transfer nikahamia mkoa mwingine (Kaskazini hukuhuku).
Sikuweza kuhama na mchumba wangu kwasababu hatukuwa tunaishi pamoja hata hapo awali na alikuwa na mishe zake anafanya kwahyo nikamuacha huko mkoani (nilipohamia ni mkoa jirani tu na alipo yeye).
Sasa mwezi wa 9 nikakutana na binti mmoja katika mazingira ambayo yalifanya tubadilishane namba na hatimaye tukaanza kuwasiliana na kujikita tupo kwenye mahusiano ya rasharasha.
Kadri siku zilivokuwa zinaenda mapenzi yakaanza kukolea.
Wiki iliyopita alianza kunambia anajisikia vibaya mara kichwa mara kichefu chefu mara tumbo.
Majuzi kaenda kupima kaambiwa ana mimba ya wiki mbili kasoro na highly probably ni mimba yangu kwahesabu nilizopiga na hata hivo binti hana mambo mengi.
Nipo nawaza mchumba wangu itakuwaje, ananipenda nampenda hajanikosea anajua kabisa ni lazima nitamuoa na tayari huku binti naye nishampa ujauzito na yeye ananipenda sana tu sielewi cha kufanya.
Binti kashaanza kusema mimba hatoi na ofcourse na mimi sitaki aitoe kibaya zaidi anasema anahitaji kupajua kwetu na kujua ndugu zangu in case ikitokea lolote basi ajue anaanzia wapi.
Huyu mchumba wangu simu kila mara sijui kanusa nini yani simu na meseji ni almost kila muda na huyu Binti nilichokosea sikumwambia kwamba nina mchumba na tuna mpango wa kuja kufunga ndoa.
Plz naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair.
View attachment 3194170
Ila kutapeliwa Kunauma wakuu, member ni Leejay49hela yamboga hio.nipe link yauzi wake
Nyege ziliponza Kichwa😂Habari yenu ndugu zangu.
Niende kwenye mada.
Mimi nina mchumba wangu toka mwaka juzi tupo kwenye uchumba na mwakani tumepanga kufunga ndoa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 6 nilipata transfer nikahamia mkoa mwingine (Kaskazini hukuhuku).
Sikuweza kuhama na mchumba wangu kwasababu hatukuwa tunaishi pamoja hata hapo awali na alikuwa na mishe zake anafanya kwahyo nikamuacha huko mkoani (nilipohamia ni mkoa jirani tu na alipo yeye).
Sasa mwezi wa 9 nikakutana na binti mmoja katika mazingira ambayo yalifanya tubadilishane namba na hatimaye tukaanza kuwasiliana na kujikita tupo kwenye mahusiano ya rasharasha.
Kadri siku zilivokuwa zinaenda mapenzi yakaanza kukolea.
Wiki iliyopita alianza kunambia anajisikia vibaya mara kichwa mara kichefu chefu mara tumbo.
Majuzi kaenda kupima kaambiwa ana mimba ya wiki mbili kasoro na highly probably ni mimba yangu kwahesabu nilizopiga na hata hivo binti hana mambo mengi.
Nipo nawaza mchumba wangu itakuwaje, ananipenda nampenda hajanikosea anajua kabisa ni lazima nitamuoa na tayari huku binti naye nishampa ujauzito na yeye ananipenda sana tu sielewi cha kufanya.
Binti kashaanza kusema mimba hatoi na ofcourse na mimi sitaki aitoe kibaya zaidi anasema anahitaji kupajua kwetu na kujua ndugu zangu in case ikitokea lolote basi ajue anaanzia wapi.
Huyu mchumba wangu simu kila mara sijui kanusa nini yani simu na meseji ni almost kila muda na huyu Binti nilichokosea sikumwambia kwamba nina mchumba na tuna mpango wa kuja kufunga ndoa.
Plz naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair.
View attachment 3194170
Umeyakanyaga Babu, ungeomba ushauri kabla hujakutana na huyu uliyemtia mimba.Habari yenu ndugu zangu.
Niende kwenye mada.
Mimi nina mchumba wangu toka mwaka juzi tupo kwenye uchumba na mwakani tumepanga kufunga ndoa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 6 nilipata transfer nikahamia mkoa mwingine (Kaskazini hukuhuku).
Sikuweza kuhama na mchumba wangu kwasababu hatukuwa tunaishi pamoja hata hapo awali na alikuwa na mishe zake anafanya kwahyo nikamuacha huko mkoani (nilipohamia ni mkoa jirani tu na alipo yeye).
Sasa mwezi wa 9 nikakutana na binti mmoja katika mazingira ambayo yalifanya tubadilishane namba na hatimaye tukaanza kuwasiliana na kujikita tupo kwenye mahusiano ya rasharasha.
Kadri siku zilivokuwa zinaenda mapenzi yakaanza kukolea.
Wiki iliyopita alianza kunambia anajisikia vibaya mara kichwa mara kichefu chefu mara tumbo.
Majuzi kaenda kupima kaambiwa ana mimba ya wiki mbili kasoro na highly probably ni mimba yangu kwahesabu nilizopiga na hata hivo binti hana mambo mengi.
Nipo nawaza mchumba wangu itakuwaje, ananipenda nampenda hajanikosea anajua kabisa ni lazima nitamuoa na tayari huku binti naye nishampa ujauzito na yeye ananipenda sana tu sielewi cha kufanya.
Binti kashaanza kusema mimba hatoi na ofcourse na mimi sitaki aitoe kibaya zaidi anasema anahitaji kupajua kwetu na kujua ndugu zangu in case ikitokea lolote basi ajue anaanzia wapi.
Huyu mchumba wangu simu kila mara sijui kanusa nini yani simu na meseji ni almost kila muda na huyu Binti nilichokosea sikumwambia kwamba nina mchumba na tuna mpango wa kuja kufunga ndoa.
Plz naomba ushauri nifanye nini katika hali kama hii, nataka kucheza fair.
View attachment 3194170
kwangu hela ya mboga hio mkuuNgoja niuchek nikutumie......
Laki sita nyingi mzee
Huo tunaita uchoyo.Bwana kumpa mwingine mimba😄
Nshamuambia ndo wana kuwa source ya single maza......Ubinafsi tu unakusumbua, unaona ukimuacha yule mwingine km wanaume wenzio watafaidi.!!
Hapo m-bichwa wako wako unawaza kumtelekeza binti wa watu baada ya kumjaza mimba…..!!!