Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia rahisi sana ya kuiona segerea 😄Nunua bando mtukane mbowe na lisu kisha weka namba ya simu. Umetoboa.
Waliomtukana mbowe na lisu wote ni ma dc hii ya kuwa segerea ndio naisikia kwako.Njia rahisi sana ya kuiona segerea 😄
Waliomtukana mbowe na lisu wote ni ma dc hii ya kuwa segerea ndio naisikia kwako
Kuna kampuni ya Kifaransa inaitwa SSD Grid, n kama forex ila h n tofauti. Unaanza na mtaji wa 35$ Then una-trade na kila siku pesa yako inaongezeka, Mm now nna kama siku 24 nna jumla ya 85$.Wakuu.
Natamani kuingiza hela kwa upande wa internet naombeni msaada kwa wabobovu hata elfu 5 kwa wiki.
Toa Forex, betting
Nimepoteza simu nilikua na mine nayo nimeshindwa ku recover account yangu ya Pi rohoo inaniuma sanaWenzio tunasubiria pi izinduliwe tuhame nch ww upo dunia ip
Pga freelancing boss utakuja kunishukuru. Hakikisha una computer lakiniWakuu.
Natamani kuingiza hela kwa upande wa internet naombeni msaada kwa wabobovu hata elfu 5 kwa wiki.
Toa Forex, betting
Hivi mkuu, mm nachimba kila siku, kuna matumaini kweli Pi zitaanza kutumika miaka ya karibuni?Wenzio tunasubiria pi izinduliwe tuhame nch ww upo dunia ip
Mbona unataka tumkose kijana mapema🤒😃ukizionesha na kurembua rembua
Mkuu nataka kufanya hiyo no:1 vipi unaweza kunipa Abc zake,yani mtu nikimuunga hawezi kumuunga mtu mwingineMbna kwa sasa mambo ni mengi tu.
1. Nunua router tafta unlimited bundle unga wana kitaa
2. Unaweza kuanzisha online tv
3. Kuwa comedian post tik tok
4. Tumia internet kuchambua timu beti
5. Jiunge forex
6. Tumia internet kuongeza elimu yako kitaaluma
7.share ads upate kulipwa
8. Tafuta hela upate hela
Refer Malisa GJ malisa ni mtu ambaye naweza msema mitandao imemtengenezea jina mpaka ikazaliwa taasisi ya kusaidia ambaye yeye ni mkurugenzi wake.Tumia social network kupata marafiki kwanza
Hongera Sana nimependa Sana hatua hii kubwa na nzuri uliofikiaRefer Malisa GJ malisa ni mtu ambaye naweza msema mitandao imemtengenezea jina mpaka ikazaliwa taasisi ya kusaidia ambaye yeye ni mkurugenzi wake.
Mimi binafsi nimeweza kutengeneza kikundi kupitia mtandao ambacho sasa kina zaidi ya 10m
Hiki kikundi kime base kwa watu wanaotoka kanda moja tu Ingawa wanaishi sehemu tofauti tofauti za ndani ya Tanzania na nje. MkuuHongera Sana nimependa Sana hatua hii kubwa na nzuri uliofikia
Naomba na Mimi niwe mmoja wa wanakikundi.
Lake zone bila Shaka ?Hiki kikundi kime base kwa watu wanaotoka kanda moja tu Ingawa wanaishi sehemu tofauti tofauti za ndani ya Tanzania na nje. Mkuu