Naomba Ushauri: Nifanye nini niweze kuingiza Pesa kwa kutumia huduma za Intaneti? Isiwe Betting au Forex

Naomba Ushauri: Nifanye nini niweze kuingiza Pesa kwa kutumia huduma za Intaneti? Isiwe Betting au Forex

Wakuu.

Natamani kuingiza hela kwa upande wa internet naombeni msaada kwa wabobevu hata elfu 5 kwa siku

Toa Forex, betting
Huu uzi utakua mrefu nitajaribu nielezee jsni ya kuingiza pasa katika kila platform ila kw juujuu.
Aya chagua mwenyw.

1. Tiktok content creator.
Unapofungua tiktok Acc. Algorithm ita detect umefungulia kutok nchi gani.

Mpaka kufikia hapo kuna Akaunti 2 za tiktok 1 Local Acc y Afrca na 2. International Acc( UK.acada USA)

Ambapo kwa Africa kuna features hutakosa kwny App na International Acc kam nchi mfano USA au UK kun feature wanazo ambaz watumiaj wa Afrika hawana. Maan kuna ubaguzi kwenye hzi platfom hasa kw nchi z Africa hawalipwi vzr au kuna feature hatupewi ( nita Upload pcha uone)
kuipata hio international Acc tumia VPN ukiw una create acc( tembelea video Ytube wanaeleza)

Tuseme usha fungua tiktok App ume Fikisha followers 1000 ( bila hao 1k followers kuna features unakosa. Unawapatje hao 1k ni kum follow mtu na yy a follow back au ingia live za watu)

Pesa unaipataje?
Kwa Acc iliyo funguliw Africa upande w Monetization yake ndo utakutan na hzi feature ndo ztakupa pesa.
Pcha hii hpo
Screenshot_20241013-092909_TikTok.jpg


LIVE GIFT ukisha fikisha followers Elfu 1 unaruhusiwa kuingia live na kufungua camera watu wataku Gift kutokana n content unazotoa au mazungumzo yko. Hzo gift ndi znaji convert kwend kweny pesa Tsh
Picha hii hpo inavyo ingiz pesa kupitia kuingia Live
Screenshot_20240709-113711_TikTok.jpg


video GIFT= hapa uki upload video mtu akaipend anawez ku kugift na hzo gift zna ji convrt kwenda kweny Pesa Tsh.

SUbscription ( ambapo Tanzania haisopoti hii feature kw sababPay pal hai support TZ). Ila n ku create content ambazo followers wko tu walio subscribe ndo wanauwezo wa kuziona na unapokea pesa kwa fee subscription
Screenshot_20240802-105957_TikTok.jpg


ANGALiZO; hio picha n mfano wa subscrption inavyoingiza pesa .
Nimeipata kweny Acc nilio log in kutokea United kingdom ambapo subscription ina fanya kazi. Kwa TZ uki bonyez button ya subscription ina goma inasmema ( your country does not support this feature,ila kwa kenya ina support)
Labda sababu ni
Pesa zote znatoka kwa njia ya Paypal ambapo nchi ya Tanzania Hai support sema kuna watu wanazitoa kw njia za panya. Hapa naiomba JamiiForum mtusaidie KuPaza sauti kwa mamlaka husika kwanini Paypal haifanyi kazi Tanzania.

Kwa upande wa international tiktok Acc.
( na jibu kwa ufupi)

Ukiwa na hio Acc monetization znazokupa pesa ni

WORK with artist ; Apo msanii akitoa ngoma ana kupa tenda y kuitangaza au uifanyie challenge

Creator market place ; Apo unawez kuuza bidhaa au kumtangazia mtu bidhaa
Creator Reward program: apo ukiwa na 10k followrs unatengeneza video content, ambapo ikifik 1M views unalipwa ( kuna sheria na vgezo vyke )

Njia nyngne ni kama za local Acc subscription, video gift na live gift
Pcha hio
Screenshot_20241013-093236_TikTok.jpg

Natoa tu mwongozo mtu apate mwanga jinsi hii Tiktok App inavyofanya ingiza pesa. Japo kua kuna sheria zke na vgezo vya kufuata ili upate hio monetization uanze kuingiza pesa. Mwenye kuongezea aongeze.

Njia ya 2
Ni YoutuBe.....
 

Attachments

  • Screenshot_20240802-105957_TikTok.jpg
    Screenshot_20240802-105957_TikTok.jpg
    175.4 KB · Views: 15
Njia ya 2 .
YOUTUBE
(NI ku mwaga humuhumu kila mtu apate mwanga hmna ishu za PM😀)
(Nina base kwenye kwenye pesa na ninaelezea juujuu upate mwongozo)

Ili upate monetization uanze kulipwa ina bidi uwe umetimiza vigezo vifuatavyo
una subscribers 1000 na utimize 1 kati ya hvi vifuatavyo
( a) kwenye long video ulizo upload kwenye Acc yko ufikishe view s 4000
(b) kwenye short videos ( Reels) ufikishe view million 10
(Pcha
hio kwa akina tomaso)

Screenshot_20240626-130614_TikTok.jpg

Ili kujua watazamaji wako wanatoka bara gani na muda gani wanakua active utatumia Youtube studio ni App

Zingatia content unazo ziweka Watazamaji wako wanatokea sana Bara gani maana hii App ina Ubaguzi flan

Tuseme umetimiza vgezo tajwa hpo juu na ume Weka video yako ikafikisha 1M views usishangae ukapate laki 9 kwani views za watazamaji w AFrika hazina pesa nyingi kama za international . Mfano kwa hio video ilio fikisha 1 M views ila watazamaji n wa nje ya Afrika kama UsA china canada ,UK. Unawez kupokea 1. 2 M na kuendelea

Hpo ndo linakuja swala la Content unazo ziweka. HAIKISHA ZINA Attract wazungu ( watu wa bara jingine) kama unatak pesa ndefu.

Ukipatia kwenye content maokoto utayaona ( ni wewe ukiamua ufanye content za udaku, online Tv au media, prank, Dance challnge, Comedy. Simulizi. hadithi. .nk) ila mpunga mrefu jitahid ku ku fany content znazo attract wat w nje y Africa

AngaliZo
Usiwahi ku upload video ambayo sio yko au video ambayo ina muziki au Audio y mtu kwani hauna Copyright ya kazi yke. Ukifny hvyo Utakua banned kw muda n utatakiw kufuta hio video jitahid content hiwe yko


mwongoz huo wakuongezea aongeze

Njia ya 3
Cryptocurrenccy.......
 
Njia ya 3
Cryptocurrency
Hii ni digital currency au sarafu ya kidijitali.
( Ambayo hamna mamlaka inayohusika ata serkl , Sio kama benki unatakiw kutoa kiasi flani kwa siku au kuulizw pesa hii umeitoa wapi au una takatisha hamna hizo mishe. Huu n mfumo wa wananchi. (Video ze maelezo zaidi ya cryptocurency ni nini katafte Youube )

HZo sarafu za kidigitari zpo nyngi sana na zinaongezeka na kupanda thamani kila mara. Mfano wa sarafu Kuna Bitcoin, BNB.Solana Pepe ..nk

Hzo sarafu unazi nunua kupia platform kam Binance au coimbase..nk.

Nikupe mwongozo wa hii cryptocurrency inavyo fanya kazi

tuseme nina 10k tsh na ninataka kununua saraf ya kidijitali najiunga Binance app kuna ma wakala wanao uza hizo sarafu za kidijitali nawatumia hio 10k tsh yangu wananipa sarafu y kidijtar inayoitwa USDT ambay ina thaman y hio 10k tsh.

Apo tuseme wamenipa hio 10USDT nitakua nayo kwnye Acc yng ya binance ninauwezo wa kuingia sokoni nikai i trade iongezeke au nika i convert kwenda kweny saraf nyngne y kidijitari inayoitw Bitcoin ili siku bitcoin ikipanda thmani niiuze.

Jinsi gani unaweza kutengeneza pesa kupitia crypto curency

1. Kwa ku trade sarafu kwnye soko. Mfano baada y kutoa hio 10k nikapat 10USDT nawez kuingia sokoni ni trade kuendan na graph inavyopanda

Siitajikita san kuelezea kwenye mambo ya ku trade kwani wa TZ hawapendi. Mfano wa trade na soko linavyokua . Picha hio
Screenshot_20241013-131939_Binance.jpg


Njia zinazofuata haziitaji wewe u Trade
.
2. Unaweza kua wakala wa Sarafu
Mfano Usdt 1 nisawa na 2700 tsh. Basi wewe utakua unaingia kweny platform kama binance kuwauzia watu wanao hitaji sarafu za kidijitali kwa vle ww unazo nyingi. kuna ka commision utapata kam profit

Hio picha ni mfano wa kununua hzo sarafu na wakala wanavyo ziuza. Na wewe unaweza kuwa wakala
Screenshot_20241013-131552_Binance.jpg


3 . LAunchpol
Mfano kuna tajiri kama Elon musk anatak kutengeneza sarafu yke ya kidijitali anatakia awe na capital kam ya 100M dollrs. Hio hela kama yeye anatatoa 50M nyingine mnaruhusiwa kumchangia kupitia platform ili siku sarafu ikiingia sokoni mtagawiwa gawio lenu kutokana n mliocho kitoa

4 megadrop.
Hii inafanana na hio ya 3. Sema npo utachangia pesa kwa sarafu flani ili kuikuza liquidty yke kusudi ipate thamani kisha mptapewa gawio lenu

Njia za kupata pesa kwenye cryptocurency n nyingi. Sija elezea njia za ku trade kwani wa TZ wanaona ni utapeli na wanapoteza sana pesa zao. H

Ukisha ingia kwenye platform wewe mwenyew tafta njia utakayoiweza ku trade au kujikita kwenye njia znazoitaji uweke pesa uje upate gawio

Njia ambazo hazihusishi ku trade ni huo U WaKala, lanchpol na megadrop, Earn .Referaal na nyngene utazikuta kweny platform. ni ww tu kuweka pesa yko usubili thamani ipande upate gawio
.
Pcha hio inazionysh mfano w njia zsizohitaji ku trade
Screenshot_20241013-093608_Binance.jpg


Nacho jaribu ni kusanua na kutoa mwanga kw watu jinsi unavyoweza kutengenez pesa kupitia online. Kwan Tz tupo nyuma kwnye kutafta pesa za online na wtu hawaamini sana haya mambo ya pesa za online.
Huo ni mwongozo Tafta mtu akufunze au nenda Youtube upate elimu zaidi. Mwenye kuongezea aongeze..

Njia ya 4
FoREX
( umeikataa na Wa Tz wengi hawaipendi ila umejikita kwenye ku trade kuna mengi zaidi ndani yke Feature spo nyingi.)

(MWongozo kwa juujuu)

jinsi unaweza kupata pesa kupitia forex

1. ku trade sarafu za kigeni sokoni
Mfano GDP/ USD

2. Ku trade News mfano (CPI consumer price index, NFP) = hapa kuna tarifa kama vile za ajira hutolewa na serikali kila baad y muda flani na zikitoka thamani ya shilingi upanda au ushuka basi kwa utabiri wako ukiw mzuri unapat pesa
3. Copy trafing= apa unaweka pesa kwenye Acc unampa mtu unaye muamini anajua ku trade forex aingie sokon ku trade. Atakua anuwezo w kutumia acc yke ila n yko inahusika akipat profit mnapata wote

4. Kufundisha forex ( 😂 apa ndo wanaojiita watu wa forex hupatia pesa zao kw kuwafundisha wasio jua. Ila yy kuingia sokoni a trade apate pesa aaahh)

Njia n nyingia z kupata pesa ila kwa vle wengi hamuamini Forex tuishie hapo.
Forex ina hela nyingi ila sema watu hawajajikita kwenye kufuatilia jinsi mfumo wke unavyo fanya kaza wa uelewe mchezo. Jikite kweny Elimu ya forex mtu akufunze ila kwa walimu wa bongo watakukatisha tamaa kwan wanajua vichache na kuna features nyingi hawazijui hutopata elimu yte.

Njia ya 5
Affiliate marketing........
 

Attachments

  • Screenshot_20241013-131939_Binance.jpg
    Screenshot_20241013-131939_Binance.jpg
    170.3 KB · Views: 13
Njia ya 3
Cryptocurrency
Hii ni digital currency au sarafu ya kidijitali.
( Ambayo hamna mamlaka inayohusika ata serkl , Sio kama benki unatakiw kutoa kiasi flani kwa siku au kuulizw pesa hii umeitoa wapi au una takatisha hamna hizo mishe. Huu n mfumo wa wananchi. (Video ze maelezo zaidi ya cryptocurency ni nini katafte Youube )

HZo sarafu za kidigitari zpo nyngi sana na zinaongezeka na kupanda thamani kila mara. Mfano wa sarafu Kuna Bitcoin, BNB.Solana Pepe ..nk

Hzo sarafu unazi nunua kupia platform kam Binance au coimbase..nk.

Nikupe mwongozo wa hii cryptocurrency inavyo fanya kazi

tuseme nina 10k tsh na ninataka kununua saraf ya kidijitali najiunga Binance app kuna ma wakala wanao uza hizo sarafu za kidijitali nawatumia hio 10k tsh yangu wananipa sarafu y kidijtar inayoitwa USDT ambay ina thaman y hio 10k tsh.

Apo tuseme wamenipa hio 10USDT nitakua nayo kwnye Acc yng ya binance ninauwezo wa kuingia sokoni nikai i trade iongezeke au nika i convert kwenda kweny saraf nyngne y kidijitari inayoitw Bitcoin ili siku bitcoin ikipanda thmani niiuze.

Jinsi gani unaweza kutengeneza pesa kupitia crypto curency

1. Kwa ku trade sarafu kwnye soko. Mfano baada y kutoa hio 10k nikapat 10USDT nawez kuingia sokoni ni trade kuendan na graph inavyopanda

Siitajikita san kuelezea kwenye mambo ya ku trade kwani wa TZ hawapendi. Mfano wa trade na soko linavyokua . Picha hio
View attachment 3123443

Njia zinazofuata haziitaji wewe u Trade
.
2. Unaweza kua wakala wa Sarafu
Mfano Usdt 1 nisawa na 2700 tsh. Basi wewe utakua unaingia kweny platform kama binance kuwauzia watu wanao hitaji sarafu za kidijitali kwa vle ww unazo nyingi. kuna ka commision utapata kam profit

Hio picha ni mfano wa kununua hzo sarafu na wakala wanavyo ziuza. Na wewe unaweza kuwa wakala
View attachment 3123426

3 . LAunchpol
Mfano kuna tajiri kama Elon musk anatak kutengeneza sarafu yke ya kidijitali anatakia awe na capital kam ya 100M dollrs. Hio hela kama yeye anatatoa 50M nyingine mnaruhusiwa kumchangia kupitia platform ili siku sarafu ikiingia sokoni mtagawiwa gawio lenu kutokana n mliocho kitoa

4 megadrop.
Hii inafanana na hio ya 3. Sema npo utachangia pesa kwa sarafu flani ili kuikuza liquidty yke kusudi ipate thamani kisha mptapewa gawio lenu

Njia za kupata pesa kwenye cryptocurency n nyingi. Sija elezea njia za ku trade kwani wa TZ wanaona ni utapeli na wanapoteza sana pesa zao. H

Ukisha ingia kwenye platform wewe mwenyew tafta njia utakayoiweza ku trade au kujikita kwenye njia znazoitaji uweke pesa uje upate gawio

Njia ambazo hazihusishi ku trade ni huo U WaKala, lanchpol na megadrop, Earn .Referaal na nyngene utazikuta kweny platform. ni ww tu kuweka pesa yko usubili thamani ipande upate gawio
.
Pcha hio inazionysh mfano w njia zsizohitaji ku trade View attachment 3123416

Nacho jaribu ni kusanua na kutoa mwanga kw watu jinsi unavyoweza kutengenez pesa kupitia online. Kwan Tz tupo nyuma kwnye kutafta pesa za online na wtu hawaamini sana haya mambo ya pesa za online.
Huo ni mwongozo Tafta mtu akufunze au nenda Youtube upate elimu zaidi. Mwenye kuongezea aongeze..

Njia ya 4
FoREX
( umeikataa na Wa Tz wengi hawaipendi ila umejikita kwenye ku trade kuna mengi zaidi ndani yke Feature spo nyingi.)

(MWongozo kwa juujuu)

jinsi unaweza kupata pesa kupitia forex

1. ku trade sarafu za kigeni sokoni

Mfano GDP/ USD

2. Ku trade News mfano (CPI consumer price index, NFP) = hapa kuna tarifa kama vile za ajira hutolewa na serikali kila baad y muda flani na zikitoka thamani ya shilingi upanda au ushuka basi kwa utabiri wako ukiw mzuri unapat pesa
3. Copy trafing= apa unaweka pesa kwenye Acc unampa mtu unaye muamini anajua ku trade forex aingie sokon ku trade. Atakua anuwezo w kutumia acc yke ila n yko inahusika akipat profit mnapata wote

4. Kufundisha forex ( 😂 apa ndo wanaojiita watu wa forex hupatia pesa zao kw kuwafundisha wasio jua. Ila yy kuingia sokoni a trade apate pesa aaahh)

Njia n nyingia z kupata pesa ila kwa vle wengi hamuamini Forex tuishie hapo.
Forex ina hela nyingi ila sema watu hawajajikita kwenye kufuatilia jinsi mfumo wke unavyo fanya kaza wa uelewe mchezo. Jikite kweny Elimu ya forex mtu akufunze ila kwa walimu wa bongo watakukatisha tamaa kwan wanajua vichache na kuna features nyingi hawazijui hutopata elimu yte.

Njia ya 5
Affiliate marketing........

Njia ya 5
Mwongozo huo
5. Affiliate marketing=
Unajisajili ukishamaliza unaenda mfano Amazon unapewa link ya bidhaa uipost kwnye social media mfano Instagram au mtu akii nunua pesa inaingia kweny Acc yko

6. Disribution platform
mfano Spotify
Ukisha create Acc una upload music au podcast yko . Kwa view 1 unapata 0.003 to 0.004 dollars . 1k ni 4usd

7 ONLINE DIGITAL WRITTING
. Apa ndo kuna blogging au kuandika chapisho za google au nakala za elimu na kuzipost online utalipwa kwa domain

8 FREELANCER
.Apo ukishajisajili unasubiri upata tenda kwa watu ya kuwafanyia assignment, kuandika nyimbo , kuwa mkalimani ..nk
 
Mbna kwa sasa mambo ni mengi tu.
1. Nunua router tafta unlimited bundle unga wana kitaa
2. Unaweza kuanzisha online tv
3. Kuwa comedian post tik tok
4. Tumia internet kuchambua timu beti
5. Jiunge forex
6. Tumia internet kuongeza elimu yako kitaaluma
7.share ads upate kulipwa
8. Tafuta hela upate hela
Nakazia
 
Una la
Wakuu.

Natamani kuingiza hela kwa upande wa internet naombeni msaada kwa wabobevu hata elfu 5 kwa siku

Toa Forex, betting
Unalaptop, smartphone na bundle la uhakika? Na pesa japo ya kianzio? Kule mjini twitter kuna vijana @meltchleord, @gabyconsius, psite shayo, AMOSI nyanda, Tot tech na wengine wengiwa cheki wakukochi au pitia post zao mmoja mmoja atakayekufaa mfate inbox muombe akufunze skills moja wapo.
 
Njia ya 3
Cryptocurrency
Hii ni digital currency au sarafu ya kidijitali.
( Ambayo hamna mamlaka inayohusika ata serkl , Sio kama benki unatakiw kutoa kiasi flani kwa siku au kuulizw pesa hii umeitoa wapi au una takatisha hamna hizo mishe. Huu n mfumo wa wananchi. (Video ze maelezo zaidi ya cryptocurency ni nini katafte Youube )

HZo sarafu za kidigitari zpo nyngi sana na zinaongezeka na kupanda thamani kila mara. Mfano wa sarafu Kuna Bitcoin, BNB.Solana Pepe ..nk

Hzo sarafu unazi nunua kupia platform kam Binance au coimbase..nk.

Nikupe mwongozo wa hii cryptocurrency inavyo fanya kazi

tuseme nina 10k tsh na ninataka kununua saraf ya kidijitali najiunga Binance app kuna ma wakala wanao uza hizo sarafu za kidijitali nawatumia hio 10k tsh yangu wananipa sarafu y kidijtar inayoitwa USDT ambay ina thaman y hio 10k tsh.

Apo tuseme wamenipa hio 10USDT nitakua nayo kwnye Acc yng ya binance ninauwezo wa kuingia sokoni nikai i trade iongezeke au nika i convert kwenda kweny saraf nyngne y kidijitari inayoitw Bitcoin ili siku bitcoin ikipanda thmani niiuze.

Jinsi gani unaweza kutengeneza pesa kupitia crypto curency

1. Kwa ku trade sarafu kwnye soko. Mfano baada y kutoa hio 10k nikapat 10USDT nawez kuingia sokoni ni trade kuendan na graph inavyopanda

Siitajikita san kuelezea kwenye mambo ya ku trade kwani wa TZ hawapendi. Mfano wa trade na soko linavyokua . Picha hio
View attachment 3123443

Njia zinazofuata haziitaji wewe u Trade
.
2. Unaweza kua wakala wa Sarafu
Mfano Usdt 1 nisawa na 2700 tsh. Basi wewe utakua unaingia kweny platform kama binance kuwauzia watu wanao hitaji sarafu za kidijitali kwa vle ww unazo nyingi. kuna ka commision utapata kam profit

Hio picha ni mfano wa kununua hzo sarafu na wakala wanavyo ziuza. Na wewe unaweza kuwa wakala
View attachment 3123426

3 . LAunchpol
Mfano kuna tajiri kama Elon musk anatak kutengeneza sarafu yke ya kidijitali anatakia awe na capital kam ya 100M dollrs. Hio hela kama yeye anatatoa 50M nyingine mnaruhusiwa kumchangia kupitia platform ili siku sarafu ikiingia sokoni mtagawiwa gawio lenu kutokana n mliocho kitoa

4 megadrop.
Hii inafanana na hio ya 3. Sema npo utachangia pesa kwa sarafu flani ili kuikuza liquidty yke kusudi ipate thamani kisha mptapewa gawio lenu

Njia za kupata pesa kwenye cryptocurency n nyingi. Sija elezea njia za ku trade kwani wa TZ wanaona ni utapeli na wanapoteza sana pesa zao. H

Ukisha ingia kwenye platform wewe mwenyew tafta njia utakayoiweza ku trade au kujikita kwenye njia znazoitaji uweke pesa uje upate gawio

Njia ambazo hazihusishi ku trade ni huo U WaKala, lanchpol na megadrop, Earn .Referaal na nyngene utazikuta kweny platform. ni ww tu kuweka pesa yko usubili thamani ipande upate gawio
.
Pcha hio inazionysh mfano w njia zsizohitaji ku trade View attachment 3123416

Nacho jaribu ni kusanua na kutoa mwanga kw watu jinsi unavyoweza kutengenez pesa kupitia online. Kwan Tz tupo nyuma kwnye kutafta pesa za online na wtu hawaamini sana haya mambo ya pesa za online.
Huo ni mwongozo Tafta mtu akufunze au nenda Youtube upate elimu zaidi. Mwenye kuongezea aongeze..

Njia ya 4
FoREX
( umeikataa na Wa Tz wengi hawaipendi ila umejikita kwenye ku trade kuna mengi zaidi ndani yke Feature spo nyingi.)

(MWongozo kwa juujuu)

jinsi unaweza kupata pesa kupitia forex

1. ku trade sarafu za kigeni sokoni

Mfano GDP/ USD

2. Ku trade News mfano (CPI consumer price index, NFP) = hapa kuna tarifa kama vile za ajira hutolewa na serikali kila baad y muda flani na zikitoka thamani ya shilingi upanda au ushuka basi kwa utabiri wako ukiw mzuri unapat pesa
3. Copy trafing= apa unaweka pesa kwenye Acc unampa mtu unaye muamini anajua ku trade forex aingie sokon ku trade. Atakua anuwezo w kutumia acc yke ila n yko inahusika akipat profit mnapata wote

4. Kufundisha forex ( 😂 apa ndo wanaojiita watu wa forex hupatia pesa zao kw kuwafundisha wasio jua. Ila yy kuingia sokoni a trade apate pesa aaahh)

Njia n nyingia z kupata pesa ila kwa vle wengi hamuamini Forex tuishie hapo.
Forex ina hela nyingi ila sema watu hawajajikita kwenye kufuatilia jinsi mfumo wke unavyo fanya kaza wa uelewe mchezo. Jikite kweny Elimu ya forex mtu akufunze ila kwa walimu wa bongo watakukatisha tamaa kwan wanajua vichache na kuna features nyingi hawazijui hutopata elimu yte.

Njia ya 5
Affiliate marketing........
Shukrani sana mkuu kwa maelezo yako 💪
 
Njia ya 3
Cryptocurrency
Hii ni digital currency au sarafu ya kidijitali.
( Ambayo hamna mamlaka inayohusika ata serkl , Sio kama benki unatakiw kutoa kiasi flani kwa siku au kuulizw pesa hii umeitoa wapi au una takatisha hamna hizo mishe. Huu n mfumo wa wananchi. (Video ze maelezo zaidi ya cryptocurency ni nini katafte Youube )

HZo sarafu za kidigitari zpo nyngi sana na zinaongezeka na kupanda thamani kila mara. Mfano wa sarafu Kuna Bitcoin, BNB.Solana Pepe ..nk

Hzo sarafu unazi nunua kupia platform kam Binance au coimbase..nk.

Nikupe mwongozo wa hii cryptocurrency inavyo fanya kazi

tuseme nina 10k tsh na ninataka kununua saraf ya kidijitali najiunga Binance app kuna ma wakala wanao uza hizo sarafu za kidijitali nawatumia hio 10k tsh yangu wananipa sarafu y kidijtar inayoitwa USDT ambay ina thaman y hio 10k tsh.

Apo tuseme wamenipa hio 10USDT nitakua nayo kwnye Acc yng ya binance ninauwezo wa kuingia sokoni nikai i trade iongezeke au nika i convert kwenda kweny saraf nyngne y kidijitari inayoitw Bitcoin ili siku bitcoin ikipanda thmani niiuze.

Jinsi gani unaweza kutengeneza pesa kupitia crypto curency

1. Kwa ku trade sarafu kwnye soko. Mfano baada y kutoa hio 10k nikapat 10USDT nawez kuingia sokoni ni trade kuendan na graph inavyopanda

Siitajikita san kuelezea kwenye mambo ya ku trade kwani wa TZ hawapendi. Mfano wa trade na soko linavyokua . Picha hio
View attachment 3123443

Njia zinazofuata haziitaji wewe u Trade
.
2. Unaweza kua wakala wa Sarafu
Mfano Usdt 1 nisawa na 2700 tsh. Basi wewe utakua unaingia kweny platform kama binance kuwauzia watu wanao hitaji sarafu za kidijitali kwa vle ww unazo nyingi. kuna ka commision utapata kam profit

Hio picha ni mfano wa kununua hzo sarafu na wakala wanavyo ziuza. Na wewe unaweza kuwa wakala
View attachment 3123426

3 . LAunchpol
Mfano kuna tajiri kama Elon musk anatak kutengeneza sarafu yke ya kidijitali anatakia awe na capital kam ya 100M dollrs. Hio hela kama yeye anatatoa 50M nyingine mnaruhusiwa kumchangia kupitia platform ili siku sarafu ikiingia sokoni mtagawiwa gawio lenu kutokana n mliocho kitoa

4 megadrop.
Hii inafanana na hio ya 3. Sema npo utachangia pesa kwa sarafu flani ili kuikuza liquidty yke kusudi ipate thamani kisha mptapewa gawio lenu

Njia za kupata pesa kwenye cryptocurency n nyingi. Sija elezea njia za ku trade kwani wa TZ wanaona ni utapeli na wanapoteza sana pesa zao. H

Ukisha ingia kwenye platform wewe mwenyew tafta njia utakayoiweza ku trade au kujikita kwenye njia znazoitaji uweke pesa uje upate gawio

Njia ambazo hazihusishi ku trade ni huo U WaKala, lanchpol na megadrop, Earn .Referaal na nyngene utazikuta kweny platform. ni ww tu kuweka pesa yko usubili thamani ipande upate gawio
.
Pcha hio inazionysh mfano w njia zsizohitaji ku trade View attachment 3123416

Nacho jaribu ni kusanua na kutoa mwanga kw watu jinsi unavyoweza kutengenez pesa kupitia online. Kwan Tz tupo nyuma kwnye kutafta pesa za online na wtu hawaamini sana haya mambo ya pesa za online.
Huo ni mwongozo Tafta mtu akufunze au nenda Youtube upate elimu zaidi. Mwenye kuongezea aongeze..

Njia ya 4
FoREX
( umeikataa na Wa Tz wengi hawaipendi ila umejikita kwenye ku trade kuna mengi zaidi ndani yke Feature spo nyingi.)

(MWongozo kwa juujuu)

jinsi unaweza kupata pesa kupitia forex

1. ku trade sarafu za kigeni sokoni

Mfano GDP/ USD

2. Ku trade News mfano (CPI consumer price index, NFP) = hapa kuna tarifa kama vile za ajira hutolewa na serikali kila baad y muda flani na zikitoka thamani ya shilingi upanda au ushuka basi kwa utabiri wako ukiw mzuri unapat pesa
3. Copy trafing= apa unaweka pesa kwenye Acc unampa mtu unaye muamini anajua ku trade forex aingie sokon ku trade. Atakua anuwezo w kutumia acc yke ila n yko inahusika akipat profit mnapata wote

4. Kufundisha forex ( 😂 apa ndo wanaojiita watu wa forex hupatia pesa zao kw kuwafundisha wasio jua. Ila yy kuingia sokoni a trade apate pesa aaahh)

Njia n nyingia z kupata pesa ila kwa vle wengi hamuamini Forex tuishie hapo.
Forex ina hela nyingi ila sema watu hawajajikita kwenye kufuatilia jinsi mfumo wke unavyo fanya kaza wa uelewe mchezo. Jikite kweny Elimu ya forex mtu akufunze ila kwa walimu wa bongo watakukatisha tamaa kwan wanajua vichache na kuna features nyingi hawazijui hutopata elimu yte.

Njia ya 5
Affiliate marketing........
Shukrani sana mkuu kwa maelezo yako 💪
 
Njia ya 5
Mwongozo huo
5. Affiliate marketing=
Unajisajili ukishamaliza unaenda mfano Amazon unapewa link ya bidhaa uipost kwnye social media mfano Instagram au mtu akii nunua pesa inaingia kweny Acc yko

6. Disribution platform
mfano Spotify
Ukisha create Acc una upload music au podcast yko . Kwa view 1 unapata 0.003 to 0.004 dollars . 1k ni 4usd

7 ONLINE DIGITAL WRITTING
. Apa ndo kuna blogging au kuandika chapisho za google au nakala za elimu na kuzipost online utalipwa kwa domain

8 FREELANCER
.Apo ukishajisajili unasubiri upata tenda kwa watu ya kuwafanyia assignment, kuandika nyimbo , kuwa mkalimani ..nk
Shukrani sanaa
 
Wakuu.

Natamani kuingiza hela kwa upande wa internet naombeni msaada kwa wabobevu hata elfu 5 kwa siku

Toa Forex, betting
Kuwa na high level skill halafu tafuta watu wa kuwahudumia.

Ukitaka repeat money sell a product kama ebook, digital download etc
 
Mzee baba sikia ushauri wangu pia nijazie ya wengine:

Kibongobongo online hela ipo sana kwenye affiliate unakolipwa commission kwa kutangaza products, mimi napenda kutangaza zaidi betting na casino ila zipo za vitabu na kadhalika

1000076158.png


Mimi sina muda wa kukuelekeza sana, kampuni zipo nyingi za betting wewe wasiliana nao wakuunge kwenye affiliate program uanze kazi.

Ya mwisho kwangu ni Upwork, kuna rafiki yangu huyu noma sana

1000076159.png


Nawe unaweza jaribu kujiunga huko ukatafuta kazi kutegemea na fani yako.

Kila la heri.
 
Mkuu ulifikia wapi kwa hizi nondo ambazo ulizipata kwa Hawa waungwana
 
Back
Top Bottom