dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Hell Yeahdadeeekiii[emoji28][emoji28]
nimemuweka ndani mwaka wa tatu sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hell Yeahdadeeekiii[emoji28][emoji28]
Acha tu ndugu yangu ni mateso makubwa sana kwa mwaka inakatika 7M tayari hapo ningekuwa na kiwanga changu jamani😭
Bado kidogo maana kula hakukwepeki yani maisha lazima yaendelee. We pbana kuongeza kipato. Milion saba kwa mwaka ni kama 550000 kwa mwezi so kama hiyo inajumuisha chakula na kodi na mengine si nyingi mkuu. Je, ukiweka mtoto na mtoto awe anasoma shule za saint mzungu si utakodisha gari la PA ulalamike mtaa mzma?Kwa mwaka zimekatika 7Million inamaana kwamba mimi napeleka hela chooni wenzangu ambao hawajaoa wanapeleka hela kwenye ujenzi na kupanua biashara zao
unaishije mwanangu nimeanza kampeni jana tu ila backlash sio poa😂 watu wanataka kuniuaokoa kibunda, chukua fomu kwa mshamba_hachekwi
😅 😅 😅 😅unaishije mwanangu nimeanza kampeni jana tu ila backlash sio poa😂 watu wanataka kuniua
Bora umeandika hii comment. Kama hata akiwa girlfriend tu ukawa hupati riziki au mambo hayaeleweki piga tu chini. Wanawake wengine wana nuksi tu. Lakini jamaa akae chini na mke wake washauriane kuhusu bajeti. Utakuta manzi hapo anajipigia hela kupitia tu hayo matumizi ya kila siku.Kuna wanawake wengine hawana baraka, hawana muunganiko kabisa na kinyume chake ni kweli
Umeanza vizuri ila umevuruga hapo kati na mwishoni.Kabla sijaoa nilikua na maisha mazuri sana, hela ilikuwa inakaa mfukoni, laki tatu inakaa hata miezi mitatu kwenye chakula, sikuwa mtu wa mawazo ya usumbufu wa kudaiwa daiwa vitu vya ndani kifupi nilikuwa naenjoy sana maisha yale hasa kwenye mambo ya kiuchumi yani sikuwa nakosa hela mfukoni.
Baada ya kuoa mwaka jana mwezi wa saba hali ikabadilika ghafla hela zikawa zinaishia kwenye chakula, mimi kama mwanaume naweza kununua hata maandazi matano nikanywa na juice na siku ikaisha ila kwa mke hutaweza kufanya hivyo itabidi utoe hela ya chakula na kwa maisha ya Dar sio chini ya elfu 10 kwa siku yaani kwa watu wawili mme na mke ukiwa na mtoto inaeza fikia mpka 20 kwa siku.
Kwahiyo kwa siku lazima 10 initoke kwa wiki elfu 70 mwezi 280,000, Mwaka 3,360,000. Hapo bado sijaweka umeme, maji, vocha, nauli za kwenda sokoni na kwenye mishe zangu na matibabu pia, bado kodi ambayo kwa mwezi nalipa 100,000. Kwahiyo chakula na kodi kwa mwaka ni 4,560,000 bado sijaweka vingine kwahiyo kwa mwaka ikanigharimu zaidi ya million 7.
Hapa nilipo hali imekuwa mbaya hasa njaa, hela zangu zimeisha kwasababu ya kuoa tu kwasababu tu ya kutaka kumiliki mbunye wakati sabuni zipo na oil na mimi sio mlevi wala mtu wa kuhonga.
Nimegundua kuwa kuoa ni hasara kubwa sana duniani sasa naomba ushauri nirudishe huyu mke ili niepuke hizi hasara ama nibaki nae kwasababu yakutaka kuwa na mbunye karibu nife maskini mwishowe.
Kama Diamond Platnumz mke amemshinda akaacha, Alikiba akaacha, Bill Gates kaacha mimi nitaweza vipi kuishi na mke ikiwa matajiri yamewashinda?
Kwahiyo unamtafutia sababu ya kumuacha ili uishi na sabuni + oil?🤔Kabla sijaoa nilikua na maisha mazuri sana, hela ilikuwa inakaa mfukoni, laki tatu inakaa hata miezi mitatu kwenye chakula, sikuwa mtu wa mawazo ya usumbufu wa kudaiwa daiwa vitu vya ndani kifupi nilikuwa naenjoy sana maisha yale hasa kwenye mambo ya kiuchumi yani sikuwa nakosa hela mfukoni.
Baada ya kuoa mwaka jana mwezi wa saba hali ikabadilika ghafla hela zikawa zinaishia kwenye chakula, mimi kama mwanaume naweza kununua hata maandazi matano nikanywa na juice na siku ikaisha ila kwa mke hutaweza kufanya hivyo itabidi utoe hela ya chakula na kwa maisha ya Dar sio chini ya elfu 10 kwa siku yaani kwa watu wawili mme na mke ukiwa na mtoto inaeza fikia mpka 20 kwa siku.
Kwahiyo kwa siku lazima 10 initoke kwa wiki elfu 70 mwezi 280,000, Mwaka 3,360,000. Hapo bado sijaweka umeme, maji, vocha, nauli za kwenda sokoni na kwenye mishe zangu na matibabu pia, bado kodi ambayo kwa mwezi nalipa 100,000. Kwahiyo chakula na kodi kwa mwaka ni 4,560,000 bado sijaweka vingine kwahiyo kwa mwaka ikanigharimu zaidi ya million 7.
Hapa nilipo hali imekuwa mbaya hasa njaa, hela zangu zimeisha kwasababu ya kuoa tu kwasababu tu ya kutaka kumiliki mbunye wakati sabuni zipo na oil na mimi sio mlevi wala mtu wa kuhonga.
Nimegundua kuwa kuoa ni hasara kubwa sana duniani sasa naomba ushauri nirudishe huyu mke ili niepuke hizi hasara ama nibaki nae kwasababu yakutaka kuwa na mbunye karibu nife maskini mwishowe.
Kama Diamond Platnumz mke amemshinda akaacha, Alikiba akaacha, Bill Gates kaacha mimi nitaweza vipi kuishi na mke ikiwa matajiri yamewashinda?
😂😂😂😂😂😂😂Piga chini mke na mtoto, mfuko wako utune
Huo mwaka mzima ungekuwa hutumii pesa za chakula wala kulipa kodi? Au ungekuwa unapata constipation kila siku kwa kushindia maandazi 5 na juice?Acha tu ndugu yangu ni mateso makubwa sana kwa mwaka inakatika 7M tayari hapo ningekuwa na kiwanga changu jamani😭