Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kwa kuwa ushaya vulia maji sharti uyaoge.chakufanya mfundishe shem wetu ujasiriamali ili shida ndogo ndogo muwe mnasaidiana kuzisove, ila br wangu ramani isha badilika amebaki pombe sana na mke kumfukuza hawez na ashamzalisha watoto kadhaaHii kitu nikweli kabisa watu wanasema ila hatuamini tunakuja kuona kwa macho
Manaake ndoa yako ikidumu miaka mitano utakua umepoteza IST 5 duh. piga chini ukusanye ukusanye Ist zako ufanye uberNi kweli kaka sio kazi rahisi kuteketeza IST moja kwa mwaka inauma
Na watakuua kweli [emoji28][emoji28]unaishije mwanangu nimeanza kampeni jana tu ila backlash sio poa[emoji23] watu wanataka kuniua
Hapa ndo panaponichanganya ina maana kwa miaka mitano ningekuwa nazo 5, ndo mana matajiri hawataki kuoa kama akina Mondi na wengine mana hela zinakatikaManaake ndoa yako ikidumu miaka mitano utakua umepoteza IST 5 duh. piga chini ukusanye ukusanye Ist zako ufanye uber
Atakimbia familia huyu[emoji28][emoji28]Bado kidogo maana kula hakukwepeki yani maisha lazima yaendelee. We pbana kuongeza kipato. Milion saba kwa mwaka ni kama 550000 kwa mwezi so kama hiyo inajumuisha chakula na kodi na mengine si nyingi mkuu. Je, ukiweka mtoto na mtoto awe anasoma shule za saint mzungu si utakodisha gari la PA ulalamike mtaa mzma?
NAKAZIA#Kataandoa
#Ndoaniutapeli
Hata hao wanaopeleka kwenye ujenzi unafikiri hawali na kufanya majukumu mengine...maisha ni pesa acha kulalamika ongeza kipato mkuu uyafurahie maisha.Kwa mwaka zimekatika 7Million inamaana kwamba mimi napeleka hela chooni wenzangu ambao hawajaoa wanapeleka hela kwenye ujenzi na kupanua biashara zao
Mkuu kwako ni pesa na matumizi ila wanawake wana chagamoto nyingi zaidi ya pesa, na kuambia ukweli, ukiwa na pesa ni mtihani zaidi kuliko yule asio kua na pesa.Hapa ndo panaponichanganya ina maana kwa miaka mitano ningekuwa nazo 5, ndo mana matajiri hawataki kuoa kama akina Mondi na wengine mana hela zinakatika
Kweli una historia kubwa nduguNikiri kuwa mke wangu ndiye alianza kunipenda na sikuwa na ndoto ya kuoa karibuni cuz kama ilivyo kwa vijana wengi ambao wanaanza maisha.
Ila huyu mwanamke aliniletea wazo la kuwa tufunge ndoa.Nikijicheki maisha yangu yalikuww ya kuunga unga sina kitu mfukoni. Ila cha ajabu mwanamke akasema usijali, pesa ya mahari nitakupa mimi ,ww nenda nyumbani kwetu kanipose. Nilistuka sana .Wasiwasi wa shetani ukaniingia mno kunikatisha tamaa juu ya suala la ndoa.Nikaanza kufikiria nitamhudumia vipi huyu mwanamke ,vipi tukipata watoto n.k
Nikawa nasita ila yeye akanipa ujasiri zaidi na kunitaka niende.Kweli kidume nikaenda na washenga zangu nyumbani kwa binti.Nikapokelewa,nikaeleza lengo langu,wakanielewa. Mahari ikatajwa, binti akanipa pesa....nikalipa.
Mwishowe harusi ikafungwa, nikaoa...nikiwa sina pesa wala kazi ya kueleweka ila cha ajabu baada ya ndoa kila kitu kilibaki kuwa ni historia.Pesa zikaja zenyewe na maisha yakasonga kama kawaida.
Sasa ni miaka zaidi ya 10 tupo kwenye ndoa na tumebarikiwa watoto.
Usikatae ndoa,ndoa ni baraka. Mungu hakutwishi mzigo usioweza kuubeba.
Mmh!!! wewe ulioa au uliolewa? Kwahiyo hali ina onekana wewe ndo unaosha hata viombo na kufua nguo za mkeo loh!!!!!Nikiri kuwa mke wangu ndiye alianza kunipenda na sikuwa na ndoto ya kuoa karibuni cuz kama ilivyo kwa vijana wengi ambao wanaanza maisha.
Ila huyu mwanamke aliniletea wazo la kuwa tufunge ndoa.Nikijicheki maisha yangu yalikuww ya kuunga unga sina kitu mfukoni. Ila cha ajabu mwanamke akasema usijali, pesa ya mahari nitakupa mimi ,ww nenda nyumbani kwetu kanipose. Nilistuka sana .Wasiwasi wa shetani ukaniingia mno kunikatisha tamaa juu ya suala la ndoa.Nikaanza kufikiria nitamhudumia vipi huyu mwanamke ,vipi tukipata watoto n.k
Nikawa nasita ila yeye akanipa ujasiri zaidi na kunitaka niende.Kweli kidume nikaenda na washenga zangu nyumbani kwa binti.Nikapokelewa,nikaeleza lengo langu,wakanielewa. Mahari ikatajwa, binti akanipa pesa....nikalipa.
Mwishowe harusi ikafungwa, nikaoa...nikiwa sina pesa wala kazi ya kueleweka ila cha ajabu baada ya ndoa kila kitu kilibaki kuwa ni historia.Pesa zikaja zenyewe na maisha yakasonga kama kawaida.
Sasa ni miaka zaidi ya 10 tupo kwenye ndoa na tumebarikiwa watoto.
Usikatae ndoa,ndoa ni baraka. Mungu hakutwishi mzigo usioweza kuubeba.
Tunda sijaonana naye siku ya nne sasa.Juzi na jana ilibidi tuwe naye location kushoot video mpya ya Meja ila alibanwa na majukumu hivyo hakutokea.Hance, Tunda hajambo 😁
Mkuu we ulikuwa na utajiri gan kabla ya kuoa mana unadai umefrisika , na inavyoonekana kipato chako ni cha kutosha mtu mmoja Ila ukalazimisha kitoshe watu watatuKwa mwaka zimekatika 7Million inamaana kwamba mimi napeleka hela chooni wenzangu ambao hawajaoa wanapeleka hela kwenye ujenzi na kupanua biashara zao
Amesababisha pesa zangu ziishe kwa kasi wakati kabla ya kuoa hela ilikuwa imetulia mfukoni mwaka mzima na haya yamesababishwa na matumizi ya ndani vyakula na mauchafu mengineMimi sijakuelewa umefilisika nini? Ulikuw na mali za kias gan au kwa siku mapato yako yalikuwaje? Ulikuw na vyanzo vya mapato vingap ambavyo ndoa imefilisi jaribu kufafanua hapo