Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
Yaani 280,000 unalalamika mkuu tena kwamatumizi ya Dar mm natumia 600,000 tena kwa kujibana kweli kwa mwezi ndo natoboa nunua vitu sokoni vya week mfano Mabibo pale utaishi kwa amani na itapunguza kitu kidogo.
Ila sio kukimbia ndoa mtoto wa kiume nisawa sawa na kukimbia majukumu pambana ujana unamwisho.
Ila sio kukimbia ndoa mtoto wa kiume nisawa sawa na kukimbia majukumu pambana ujana unamwisho.