Naomba Ushauri, nimefilisika baada ya kuoa!

Naomba Ushauri, nimefilisika baada ya kuoa!

Je, upi uamuzi wako kwenye ndoa?


  • Total voters
    53
Pole sana!

Kuna dogo wangu yupo Dar aliolea NYUMBANI huko,SASA baada ya kuoa uchumi ukayumba sana!

Nikasikia anasema mwanamke hana nyota ya mali,hivyo akaoa wa pili ambar alikuwa na kabiashara kake leo Wana toto nne maisha BADO ya kuunga!!

Wanawake pia viumbe wa ajabu kidogo,kuna MMOJA ulimpa hela unaishiwa kabisa kuna mwingine unampa hela au ukipiga show michongo ya hela inaongezeka!!

Hapa mtaani kwangu kuna jamaa kapanga kwenye frem yangu MOJA wapo huyu jamaa ana kaka yake nasikia akijua na hela balaa baada ya kuoa mke pili zikaisha kabisa alivoenda NYUMBANI Babu yake akamuuliza kwanini ulioa kabla hujaniuliza!!?


Babu akamwambia mke wa pili ndio kaleta mkosi wa wewe kupata mali na kupoteza!!!


NDOA no mchanganyiko wa mambo mengi SANA mkuu!!!

Kamuulize Mungu kama we ni wa Mungu na kinyume chake!!!

Fedha na mali plus NDOA ni roho!!
 
Pole sana!

Kuna dogo wangu yupo Dar aliolea NYUMBANI huko,SASA baada ya kuoa uchumi ukayumba sana!

Nikasikia anasema mwanamke hana nyota ya mali,hivyo akaoa wa pili ambar alikuwa na kabiashara kake leo Wana toto nne maisha BADO ya kuunga!!

Wanawake pia viumbe wa ajabu kidogo,kuna MMOJA ulimpa hela unaishiwa kabisa kuna mwingine unampa hela au ukipiga show michongo ya hela inaongezeka!!

Hapa mtaani kwangu kuna jamaa kapanga kwenye frem yangu MOJA wapo huyu jamaa ana kaka yake nasikia akijua na hela balaa baada ya kuoa mke pili zikaisha kabisa alivoenda NYUMBANI Babu yake akamuuliza kwanini ulioa kabla hujaniuliza!!?


Babu akamwambia mke wa pili ndio kaleta mkosi wa wewe kupata mali na kupoteza!!!


NDOA no mchanganyiko wa mambo mengi SANA mkuu!!!

Kamuulize Mungu kama we ni wa Mungu na kinyume chake!!!

Fedha na mali plus NDOA ni roho!!
Kweli kaka, ndo mana wengine wanasema baada ya kuoa wamefanikiwa wakati sisi baada ya kuoa ndo tumeanguka
 
Laki 3 ni kipato kidogo kwa dsm. Fanya hivi pendelea kununu vitu vyako from farm gate. Farm gate price huwa ni cheap kuliko vikifika madukani. Fufua mahusiano na ndugu waliopo kijijini. Marafiki na jamaa wanaposafiri jenga nao mahusiano mazuri utapata vitu vingi kwa bei nafuu sana.

Mwisho.....
Ongea na watu vizuri kule Songea gunia la mahindi haliwezi kuzidii elfu 50 mama Samia kafunga mipaka kuvusha mazao ya nafaka
 
Laki 3 ni kipato kidogo kwa dsm. Fanya hivi pendelea kununu vitu vyako from farm gate. Farm gate price huwa ni cheap kuliko vikifika madukani. Fufua mahusiano na ndugu waliopo kijijini. Marafiki na jamaa wanaposafiri jenga nao mahusiano mazuri utapata vitu vingi kwa bei nafuu sana.

Mwisho.....
Ongea na watu vizuri kule Songea gunia la mahindi haliwezi kuzidii elfu 50 mama Samia kafunga mipaka kuvusha mazao ya nafaka
Kaka umenena
 
Kweli kaka, ndo mana wengine wanasema baada ya kuoa wamefanikiwa wakati sisi baada ya kuoa ndo tumeanguka
Chemistry muunganiko Mkuu!!

Mke anamchango Mkubwa sana kwenye mafanikio ya mtu YAANI sana!!

Mnaweza anza vizuri tena kwa kasi lakini mbeleni kasi ikapungua baada ya mioyo kuchokana au ubinafsi ikaanza mkajikuta badala ya ki fight together as one,mka die divided!!
 
Chemistry muunganiko Mkuu!!

Mke anamchango Mkubwa sana kwenye mafanikio ya mtu YAANI sana!!

Mnaweza anza vizuri tena kwa kasi lakini mbeleni kasi ikapungua baada ya mioyo kuchokana au ubinafsi ikaanza mkajikuta badala ya ki fight together as one,mka die divided!!
Kweli kabisa
 
Hata Mtume Muhammad (pbuh) alikuwa ni mfanyakazi wa mkewe Bi Khadijah. Btw, bibie kuna ubaya wowote nikiosha vyombo na kufua nguo alizovaa mke wangu?
Mtume hakulipiwa mahari alikua mfanya biashara sio muosha viombo.
 
Kingine cha nyongeza jifunze kufanya saving ya chakula na nishati( gesi na umeme au mkaa)
Tenga muda wewe na wyf mjadili kuhusu kuokoa nishati na other food stuffs.
Vile vile mjifunze kutumia left over.
Kuna vyakula vingi na vitu vingi tunatupa majalalani kingali vingeweza kutumika tena.
Kuwa na kabustani kadogo hata kwenye mifuko ya cement iliotumika.
Hakikisha wyf ana feel the pain of your burden bro. Kuna mwanamke anatumia food stuffs vibaya sana mwisho wa siku huisha haraka na pesa inatumika
 
Kingine cha nyongeza jifunze kufanya saving ya chakula na nishati( gesi na umeme au mkaa)
Tenga muda wewe na wyf mjadili kuhusu kuokoa nishati na other food stuffs.
Vile vile mjifunze kutumia left over.
Kuna vyakula vingi na vitu vingi tunatupa majalalani kingali vingeweza kutumika tena.
Kuwa na kabustani kadogo hata kwenye mifuko ya cement iliotumika.
Hakikisha wyf ana feel the pain of your burden bro. Kuna mwanamke anatumia food stuffs vibaya sana mwisho wa siku huisha haraka na pesa inatumika
Kweli kaka
 
Go back to the drawing board and remedy the situation.Kaa chini na mkeo mpange bajeti na ikiwezekana mbane matumizi.

Halafu unatakiwa ujue kadri familia inapoongezeka( mke na watoto) ndivyo ambayo mahitaji yanaongeleka pia.Jitahidi Sana uongeze kipato chako na mkeo mtafutie ishu ya kufanya asikae tu kizembe maisha ya ckuiz yanataka ushirikiano wa pande zote.
 
Kabla sijaoa nilikua na maisha mazuri sana, hela ilikuwa inakaa mfukoni, laki tatu inakaa hata miezi mitatu kwenye chakula, sikuwa mtu wa mawazo ya usumbufu wa kudaiwa daiwa vitu vya ndani kifupi nilikuwa naenjoy sana maisha yale hasa kwenye mambo ya kiuchumi yani sikuwa nakosa hela mfukoni.

Baada ya kuoa mwaka jana mwezi wa saba hali ikabadilika ghafla hela zikawa zinaishia kwenye chakula, mimi kama mwanaume naweza kununua hata maandazi matano nikanywa na juice na siku ikaisha ila kwa mke hutaweza kufanya hivyo itabidi utoe hela ya chakula na kwa maisha ya Dar sio chini ya elfu 10 kwa siku yaani kwa watu wawili mme na mke ukiwa na mtoto inaeza fikia mpka 20 kwa siku.

Kwahiyo kwa siku lazima 10 initoke kwa wiki elfu 70 mwezi 280,000, Mwaka 3,360,000. Hapo bado sijaweka umeme, maji, vocha, nauli za kwenda sokoni na kwenye mishe zangu na matibabu pia, bado kodi ambayo kwa mwezi nalipa 100,000. Kwahiyo chakula na kodi kwa mwaka ni 4,560,000 bado sijaweka vingine kwahiyo kwa mwaka ikanigharimu zaidi ya million 7.

Hapa nilipo hali imekuwa mbaya hasa njaa, hela zangu zimeisha kwasababu ya kuoa tu kwasababu tu ya kutaka kumiliki mbunye wakati sabuni zipo na oil na mimi sio mlevi wala mtu wa kuhonga.

Nimegundua kuwa kuoa ni hasara kubwa sana duniani sasa naomba ushauri nirudishe huyu mke ili niepuke hizi hasara ama nibaki nae kwasababu yakutaka kuwa na mbunye karibu nife maskini mwishowe.

Kama Diamond Platnumz mke amemshinda akaacha, Alikiba akaacha, Bill Gates kaacha mimi nitaweza vipi kuishi na mke ikiwa matajiri yamewashinda?
Inaonekana bahili sana mkuu
 
Kwakukusaidia tu hebu niambie kipato chako kwa mwezi ni bei gani nikusaidie kupanga bajeti mdogo wangu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom