Moja tambua police sio mahakamani ata kama upo sahihi police hawawezi kukuachia wao ni kukuweka ndani, chukua maelezo upate dhamana kisha hatua za mahakamani zitafuata.
Hata ukiwa mjuaji sijui sijampiga au kavuta sigara hiyo sio jukumu la polisi kutaka mashahidi.
Mlalamikaji atakushtaki kwa kosa la kumshambulia na kumjeruhi mahakama imishaamua na kutoa hukumu.
Wewe kama una kesi au malalamiko yako utayapeleka mahakamani kesi itangurumishwa kwa miezi kdhaa kisha utapeleka mashahidi na mlalamikiwa ataleta wa kwake hukumu itatolewa
Police sio sehemu ya kujitetea ni kutoa maelezo tu. Mengine ni mbwembwe sijui kuandikishana deni sio kazi ya police kutoa suluhishi za kesi basi tu wanajikutaga mahakimu.
Kama wewe ni mtumishi wa uma unaweza kutumia kitambulisho chako cha kazi kujiwekea mdhamana huitaji mdhamini mengine utayajua mbele ya safari. Kesi ni kesi ni usumbufu kama vipi wachenge tu pilice na wasikupate.
Kesi ni ujinga unaweza kupambana mahakamani miezi 4 ukaona mambo yanakuangukia ukajikuta unatoa laki 3 kwa hakimu unapewa kifungo cha nje cha mwaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sheria ni kama mchezo tu unapanda, shuka, punda, katisha, juu chini mwisho huujui [emoji1][emoji1]