Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

'Amaboko atalesha na alamkanya' in Hangaza tongue. Shemeji, yaani pamoja na kuwa single mother, mshikaji kasema poa, atakuoa iwe siri yenu. Sasa wewe rumours tu, ukamwaga bakuli la karanga, na mgoligoli kwa teke? Shemeji, bahati ni mara moja jaribu kwa mwingine. Wape salamu wa Kabulanzwiri.
 
Bora hata jamaa hajakuoa,
Mana unaakili fupi.
Ingawa nahisi harufu ya mama yako kukuchezea usifanikiwe kuolewa mana alikwisha sema hivyo
 
Vya kuambiwa havujawahi kumuacha mtu salama ahahahahaha .....waambie tu ukweli
 
Hz ndo shida za kutojadiliana issue 'specific' na mhusika

siku umepata taarifa kuwa ashaoa mbona hukumuuliza yeye au mama/baba yake wakueleze ukweli?.

kususia sendoff wewe na familia yenu wote kisa tu mawasiliano sijawaelewa kwa kweli
 
Haya ndio matokeo ya kutaka kuoa single mother. Yaani kila single mother ukimchunguza utagundua kuna kakitu fulani hivi kautata anacho kwenye maisha yake.

Sishauri kijana yoyote aliyetulia kukimbilia kuoa single mother.
 
Haya ndio matokeo ya kutaka kuoa single mother. Yaani kila single mother ukimchunguza utagundua kuna kakitu fulani hivi kautata anacho kwenye maisha yake.

Sishauri kijana yoyote aliyetulia kukimbilia kuoa single mother.
Hahahaha umetufungua macho
 
Single maza eti anakasirika kuwa mke wa pili, yaani wewe hata ukiolewa kama mke wa nne inabidi ushukuru, wewe ni bidhaa iliyotumika. Ona sasa umepiga teke bakuli la uji kwa ujinga wako, endelea kupiga miayo kistaarabu....hatutaki makelele.
Daah mkuu umetisha sana.... Maana yeye anajiona ni binadamu wa grade one.... First class... Very classic kabisa.... Umemwambia ukweli

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Siku nyingine uwe unasoma Comment zote kabla ya kuweka ya kwako

Nimemaliza
 
Nakubali makosa kuna muda najifungia nataman hata Kunywa sumu
Pole Sana, Ni vigumu Sana kuwekana sawa eti muoanae(kurudiana inawezekana maana mwamba akikumbuka mlivokuwa mnapelekeana Moto anaweza akafanya kukurudia Kitu ambacho mwanaume makini hatakiwi kukifanya)

Hata ukirudiananae atakupotezea mida tu maana hawezi Tena kuwaambia wazazi wake eti anataka kukuoa wewe.

Cha kufanya hapo tafuta tu mwanaume mwingine na usijilaumu Sana kwa kilichotokea muda utapita utaishi maisha ya furaha tena.
 
Ila niwe mkweli tu, Binafsi mimi ndo ningekua huyo jamaa........................
 
Imeisha hiyo ikirudi pancha.

Omba msamaha kiubinadamu tu na kuwaweka wazi kwa nini uliamua vile. Na ondoka bila kugusia maswala ya ndoa jamaa ndio ataamua lakini usiweke matumaini
 
Haya ndio matokeo ya kutaka kuoa single mother. Yaani kila single mother ukimchunguza utagundua kuna kakitu fulani hivi kautata anacho kwenye maisha yake.

Sishauri kijana yoyote aliyetulia kukimbilia kuoa single mother.

Sema single mama wanajua kujiweka, huyu naye ni bwege sijui niaje tu... niliwahi kunasa kwa jimama. Japo nilijinasua ila haikuwa rahisi.
 
Wewe na Familia yako wote Hamna Akili na ni Wapumbavu. Naishia hapa kwa sasa

Enewei, Safari ya Mbeya to Ngaramujini mchezo!? Unajificha na kuzima siku!? Kmmmk
 
Mkurupukaji utamtesa kijana wawatu. Pia uso wako utauweka wapi ukienda kwenye hiyo familia.?!!!!
 
Huyo mama yako ni kilaza
 
Kaka usilegeze msimamo huyu singo maza hajielewi, sio bure aliye mzalisha haku muoa. Hata ukiishi nae atakutesa maana nimkurupukaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…