Manton
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,163
- 1,523
'Amaboko atalesha na alamkanya' in Hangaza tongue. Shemeji, yaani pamoja na kuwa single mother, mshikaji kasema poa, atakuoa iwe siri yenu. Sasa wewe rumours tu, ukamwaga bakuli la karanga, na mgoligoli kwa teke? Shemeji, bahati ni mara moja jaribu kwa mwingine. Wape salamu wa Kabulanzwiri.