Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

Kwanini mlivyopata habari jamaa kaoa hamkuwaambia wahusika ili wasitishe safari? Wewe na ukoo wako mnatabia mbaya
Kweli hasira hasara.waliomshauri akaekimnya basi wamshauri pia aombe msamaha
 
Yaelekea we si Mke Bora kabisa
1.Kwanini hukuwaeleza waaitishe safari?
2.Kuna jambo unasema mama yako hakuliafiki ni lipi?
3.Tatu unahisi hata ukisamehewa wazee wa ukoo ule watakuchukuliaje pindi wakipishana na we we?
4.Una uhakika huyo bwana harusi hajapata mwingine wa kuendelea na mpango mwingine?

Tujibu
Achana nae huyu? Yaan unasikia rumours alaf unaamua kwa hasira....HAFAI KUOLEWA KABISA ,MWANAMMKE WA NAMNA HIII BUREEEE KABISA HAFAI HATA KUOELEWA NA SHETANI......ajioe mwenyewe
 
I hate to say this"KAMA NI WANYAKYUSA SAHAU KUHUSU NDOA NA HUYU MTOTO WAO NA HATA KAMA MTAFOSI UKOO MZIMA UTAKUA HAUKUPENDI."
 
Kwa Ufupi endelea na maishaa yako tu yaliyotojekea yametokeaa toka mwanzo Mama alipoziraa na kususia ndoa yako Iliingia Dosari Kubwa sana na kimsingi ilivunjika kabla haya ya kufungwaa so kilichotokea sio kwa akili yako au ni kosa lako noo hii ndo haikutakiwa kufungwa. Umemuumiza sana kaka wa watu kwa kusikiliza maneno lakini umeumiza ndugu zake pia na kumchafua sana msameane maisha yaendeler mbele.


Next time usimhukumu mtu kwa maneno ya kuambiwaa hata siku mojaaa...!! HUFAI KUWA MKE.
 
Hii story itakuwa ya kutunga. Upo kwenye relationship na karibu unafunga ndoa hujafanya due diligence? Unampenda kweli au unatafuta unafuu wa maisha? Jamaa is smart . Wewe kupata mme itakuwa kazi considering your status . Hivi unafanya shughuli gani?
 
Jamani mambo zenu, Niko katika wakati mgumu
Mimi ni binti wa miaka 29 kwa sasa, nimempata mwanaume ambaye tulipanga mengi sana hadi kupanga jinsi ya kufunga ndoa,

Mwaka fulani niliingia kwenye mahusiano na kijana mmoja toka Mbeya, ila kwa sasa anaishi Afrika ya Kusini kwa shughuli zake ,
Tulikubaliana kuanza kutambulishana kwao, na kwetu

Nakumbuka alinilipia nauli ya ndege nikaenda kwao kutambulishwa nikamshukuru Mungu kwamba nimepata mme sasa,

Tumeendelea na utaratibu na mshenga akatumwa kwetu kusema, baada ya kuondoka nikamweleza mama kuwa kijana sawa ananipenda ila hapendi jambo fulan ambalo kwa ukweli sitalisema hapa, mama akasema kama ndo hivo sitak habari zako za kuolewa,

Ikabidi mchakato uendelee kawaida, wakaleta kishika uchumba mama akawa hataki kushiriki hata kidogo, anasusa, sasa shangazi yangu akaniambia kwamba kwakuwa huna baba naomba ili suala tuwashirikishe baba wadogo na wajomba tuendelee na nchakato,

Baada ya muda tukapanga wataletaje mahari na siku ya send off tukaipanga,

Sasa kabla ya send off siku moja kabla tukapata habari kupitia kwa mjomba kwamba Mwanaume anayeenda kunioa kumbe ana mke mi naenda kuwa mke wa pili, taarifa hii ikawachanganya wote hata wajomba wakasema ngoja wajiweke pembeni, maandalizi ya send off yakavurugika wakati huo wakwe wakiwa njiani kuhudhuria sherehe hiyo , walikodi Costa na magari kadhaa kutoka mbeya hadi Ngara,

Wakanikimbia ndugu zangu wote nami nikachanganyikiwa kwa hasira sikutokea kwenye send off na maandalizi ikawa hasara, wakapiga simu nikazima nilikuwa na hasira sana,

Baadaye nikawasha simu nikakuta mama mkwe mtarajiwa amenitumia meseji kwamba "Sikutegemea kama ungetufanyia haya, sisi tunajiandaa kesho tunarudi lakini baki na amani"

Niliumia sana Akaendelea kunitumia meseji za machungu nikijua naye anajua kuwa Mwanae ana mke na mama huyu tumeongea kila siku niliumia,

Sasa yule mchumba wangu akawa ananitafta sipokei nikamwambia sina Muda mchafu wa kuolewa na wewe, hapo sikumwambia kwanini nimebadili mawazo,

Sasa nakumbuka siku kadhaa baadae naitwa nyumbani kwamba kuna kikao,

Kumbe kuna taarifa kwamba yule kijana hakuwa ameoa ila alichumbia sehemu akalipa mahari ila kumbe hakuoa,

Habari zilisononesha sana

Nikaenda kwa askofu mmoja akanishauri

1.Ama tuombe radhi kwao kuendelea na mchakato

2.Ama tuwape kishika uchumba chao maana mahari alikuwa bado angetoa siku ya send off asubuhi yake,

Naomba ushauri wenu plz

Nimeikosea Sana familia ile, pia hasira baada ya kupungua natamani niolewe naye japo nashindwa naanzaje
Hufai hata kushauriwa,
 
Wakuu mfikilie nje ya box, Hapo mi naona mchawi wake ni mamaake. Mama yake ndo hataki mwanae aolewe ukute mamaake aliwaambia kakazake wazushe habari za huyo mwamba ana mke maana alionekana kutopendezwa kuwepo kwa iyo ndoa.
Kwani shida iko wapi Kama muoaji anamsomesha mtoto Sema tu hataki kwao wajue, shida ingekuwepo mama mtu kukataa ndoa kisa Kama muoaji anafichwa anaoa singo maza.
 
Pole sana na ninajua huyo mjomba wako unamlaumu sana na baba zako walikuwa sawa maana walitaka kumuenzi baba yako ambaye kwa maelezo yako hayupo hivyo walitaka kumaliza majukumu ya kaka yao..
Sijamlaum
 
Pole sana kwa yaliyokukuta ila;
  • Familia yenu ipo so disorganized kiasi kwamba mmepokea rumours tu, rumours tu zikawafanya wote as a family kuahirisha jambo kubwa la namna hiyo.
  • Wewe hufai kuwa mke wa mshkaji kwa sababu baada ya mjomba kusema hivyo, kwa nini usimtafute mchumba na kuuliza mwenyewe hayo uliyosikia na ukweli wake.

Mwisho, ingekuwa mimi ningekusamehe kiroho safi lakini nisingekuoa, you're unfit to be a wife.
Sidhani kama Kosa moja Laweza sababisha nayo?
 
Kwa Ufupi endelea na maishaa yako tu yaliyotojekea yametokeaa toka mwanzo Mama alipoziraa na kususia ndoa yako Iliingia Dosari Kubwa sana na kimsingi ilivunjika kabla haya ya kufungwaa so kilichotokea sio kwa akili yako au ni kosa lako noo hii ndo haikutakiwa kufungwa. Umemuumiza sana kaka wa watu kwa kusikiliza maneno lakini umeumiza ndugu zake pia na kumchafua sana msameane maisha yaendeler mbele.


Next time usimhukumu mtu kwa maneno ya kuambiwaa hata siku mojaaa...!! HUFAI KUWA MKE.
Nimeshaomba msamaha Sana kwa kikichotokea
 
Hii story itakuwa ya kutunga. Upo kwenye relationship na karibu unafunga ndoa hujafanya due diligence? Unampenda kweli au unatafuta unafuu wa maisha? Jamaa is smart . Wewe kupata mme itakuwa kazi considering your status . Hivi unafanya shughuli gani?
This Is the real story japo sijataja mikoa husika nimetumia tafsida, na ukweli imeniuma
 
Yaelekea we si Mke Bora kabisa
1.Kwanini hukuwaeleza waaitishe safari?
2.Kuna jambo unasema mama yako hakuliafiki ni lipi?
3.Tatu unahisi hata ukisamehewa wazee wa ukoo ule watakuchukuliaje pindi wakipishana na we we?
4.Una uhakika huyo bwana harusi hajapata mwingine wa kuendelea na mpango mwingine?

Tujibu
Hakuna msamaha hapo watu watoke Mbeya hadi Ngara wamepoteza muda na pesa nyingi halafu ati mtu kazima simu niseme ukweli
1. Mna roho mbaya isiyothamini utu
2. Mna tabia mbaya hata kama mtu hamuongei
naye lakini kama kaja kwako inabidi umpokee
vizuri na kumueleze kilichowakwaza vinginevyo
mngepiga simu mapema kuwazuia wasije
3. Hamjitambui wote wewe na hao wazee wako

Hakuna sababu ya kuunga ukoo na ukoo wenye sifa hiizo hapo juu. Siwajui hao mliowatenda lakini nimeumia sana. Ushauri wangu tafuta wa huko huko kwenu Ngara ili akuoe maana mnajuana tabia
 
Jamani mambo zenu, Niko katika wakati mgumu
Mimi ni binti wa miaka 29 kwa sasa, nimempata mwanaume ambaye tulipanga mengi sana hadi kupanga jinsi ya kufunga ndoa,

Mwaka fulani niliingia kwenye mahusiano na kijana mmoja toka Mbeya, ila kwa sasa anaishi Afrika ya Kusini kwa shughuli zake ,
Tulikubaliana kuanza kutambulishana kwao, na kwetu

Nakumbuka alinilipia nauli ya ndege nikaenda kwao kutambulishwa nikamshukuru Mungu kwamba nimepata mme sasa,

Tumeendelea na utaratibu na mshenga akatumwa kwetu kusema, baada ya kuondoka nikamweleza mama kuwa kijana sawa ananipenda ila hapendi jambo fulan ambalo kwa ukweli sitalisema hapa, mama akasema kama ndo hivo sitak habari zako za kuolewa,

Ikabidi mchakato uendelee kawaida, wakaleta kishika uchumba mama akawa hataki kushiriki hata kidogo, anasusa, sasa shangazi yangu akaniambia kwamba kwakuwa huna baba naomba ili suala tuwashirikishe baba wadogo na wajomba tuendelee na nchakato,

Baada ya muda tukapanga wataletaje mahari na siku ya send off tukaipanga,

Sasa kabla ya send off siku moja kabla tukapata habari kupitia kwa mjomba kwamba Mwanaume anayeenda kunioa kumbe ana mke mi naenda kuwa mke wa pili, taarifa hii ikawachanganya wote hata wajomba wakasema ngoja wajiweke pembeni, maandalizi ya send off yakavurugika wakati huo wakwe wakiwa njiani kuhudhuria sherehe hiyo , walikodi Costa na magari kadhaa kutoka mbeya hadi Ngara,

Wakanikimbia ndugu zangu wote nami nikachanganyikiwa kwa hasira sikutokea kwenye send off na maandalizi ikawa hasara, wakapiga simu nikazima nilikuwa na hasira sana,

Baadaye nikawasha simu nikakuta mama mkwe mtarajiwa amenitumia meseji kwamba "Sikutegemea kama ungetufanyia haya, sisi tunajiandaa kesho tunarudi lakini baki na amani"

Niliumia sana Akaendelea kunitumia meseji za machungu nikijua naye anajua kuwa Mwanae ana mke na mama huyu tumeongea kila siku niliumia,

Sasa yule mchumba wangu akawa ananitafta sipokei nikamwambia sina Muda mchafu wa kuolewa na wewe, hapo sikumwambia kwanini nimebadili mawazo,

Sasa nakumbuka siku kadhaa baadae naitwa nyumbani kwamba kuna kikao,

Kumbe kuna taarifa kwamba yule kijana hakuwa ameoa ila alichumbia sehemu akalipa mahari ila kumbe hakuoa,

Habari zilisononesha sana

Nikaenda kwa askofu mmoja akanishauri

1.Ama tuombe radhi kwao kuendelea na mchakato

2.Ama tuwape kishika uchumba chao maana mahari alikuwa bado angetoa siku ya send off asubuhi yake,

Naomba ushauri wenu plz

Nimeikosea Sana familia ile, pia hasira baada ya kupungua natamani niolewe naye japo nashindwa naanzaje
Utatolewa kafala
 
Pole sana kwa yaliyokukuta ila;
  • Familia yenu ipo so disorganized kiasi kwamba mmepokea rumours tu, rumours tu zikawafanya wote as a family kuahirisha jambo kubwa la namna hiyo.
  • Wewe hufai kuwa mke wa mshkaji kwa sababu baada ya mjomba kusema hivyo, kwa nini usimtafute mchumba na kuuliza mwenyewe hayo uliyosikia na ukweli wake.

Mwisho, ingekuwa mimi ningekusamehe kiroho safi lakini nisingekuoa, you're unfit to be a wife.
Mimi Bado nashangaa nasoma na kurudia mpaka sasa hivi nashindwa kuelewa. Lengo haswa la haya maswala ya Posa,mahari na ndoa hadi kuhusisha watu wazima ni kwasababu ya hekima na busara zao

Sasa wajomba wanajitoa kwenye shughuli katikati bila kuwasiliana na wakubwa wenzao kule, halaf bi harusi anamtumia msg mwenzake yuko kahama kuwa hairisheni safari yaaani haaingii akilini hata kidogo

Kwanini wasingewesubiri mpaka wafike watoe msimamo wao kama familia kila mtu anachukua tym zake(Uzuri kwa hapa ingewapa nafasi ya upande wa pili kujieleza/kujitetea) na kila kitu kingeenda poa.

Mambo matatu nnayoyaona
1: Ndoa yenu imeanza misukosuko kabla hata haijaanza. Mimi nisingekuoa tena hata kama ningekusamehe

2: Wewe na familia yako wote hamna akili,busara wala hekima(am sorry to say namanisha hadi hao wajomba wote)

3: Jamaa hata akikukubali na kukuoa na kukusamehe kwakua ana kupenda. Ndugu zake hawatakusamehe wala kusahau na utakua na ndoa ngumu sana
 
Back
Top Bottom