Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

Mtu Alie Nyikani

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
949
Reaction score
2,038
Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo, natumaini uzima upo lakini wale ambao Wana shida ya Afya basi Mwenyezi Mungu awajalie uzima.

Niende kwenye shida yangu, mm ni kijana nina Miaka 20, shida yangu nimeathirika na masterbation (Punyeto), yaani naona hichi kitendo kama nimeshindwa kuacha kabisa Kila nikaijaribu kuacha nashindwa 🥲😪,naweza Kaa hata mwezi bila masterbation, ghafla najikuta nimerudi tena.

Naombeni mnisaidie maana naona Kila mbinu kwangu imegonga mwamba, maybe ambao waliwa pitia hii situation waliwezaje kushinda.

Pia nina shida ya kujifananisha maisha na watu wengine nakuwa na Wivu pale ninapo ona wenzagu wanafanikiwa, kiufupi siitaki hii hali lakini nashangaa kwanini nashindwa kuizuia.

Pia mimi ni muoga sana wa mademu nisaidieni mdogo wenu pia kama mtoto wenu nateseka sanaa na haya matatizo, Kuna muda nakosa kabisa hata ujasiri wa KUJIKUBALI nateketea na hii hali😢😢

Nisaidieni kwa ushauri.
 
Sasa unataka tukusaidie nini tofauti na kupigwa makofi?

Yani ujinga ni wako, umeshindwa kuacha unataka sisi tukusaidie. Hivi uko timamu kweli?
Sehemu ya kupata maada sahihi ni sehemu ya kurekebisha tabia. Fanya kosa lolote lenye kukutia hatiani alafu ukimbilie polisi.... Baada ya miezi kadhaa au miaka kadhaa utarekebishika
 
Mzee unachokiogopa sio wanawake bali hofu ya kukataliwa... take your cance kama mwanaume ukimuona mwanamke unamuelewa nenda mwambie akichomoa achana nae pia always kuwa na multiple choice...

Omba namba za madem hata kumi approach mmoja baada ya mwngne akichomoa unapga chini
 
Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo, natumaini uzima upo lakini wale ambao Wana shida ya Afya basi Mwenyezi Mungu awajalie uzima.

Niende kwenye shida yangu, mm ni kijana nina Miaka 20, shida yangu nimeathirika na masterbation (Punyeto), yaani naona hichi kitendo kama nimeshindwa kuacha kabisa Kila nikaijaribu kuacha nashindwa 🥲😪,naweza Kaa hata mwezi bila masterbation, ghafla najikuta nimerudi tena.

Naombeni mnisaidie maana naona Kila mbinu kwangu imegonga mwamba, maybe ambao waliwa pitia hii situation waliwezaje kushinda.

Pia nina shida ya kujifananisha maisha na watu wengine nakuwa na Wivu pale ninapo ona wenzagu wanafanikiwa, kiufupi siitaki hii hali lakini nashangaa kwanini nashindwa kuizuia.

Pia mimi ni muoga sana wa mademu nisaidieni mdogo wenu pia kama mtoto wenu nateseka sanaa na haya matatizo, Kuna muda nakosa kabisa hata ujasiri wa KUJIKUBALI nateketea na hii hali😢😢

Nisaidieni kwa ushauri.
Acha kunisema bac bwashe
 
Punyeto inaondoa uwezo wa kujiamini na sio kwa mademu tu kama utaizidisha kwa muda mrefu utaanza hata kushindwa kujiamini mbele ya wanaume wenzako na kuingia kwenye msongo wa mawazo.. Inawezekana kujitoa kabisa ousisubiri ufikishe miaka 30 bila kua na demu ndo ushtuke itakua umepoteza vingi sana… Pigana uachane na huo ujinga dogo
 
Sasa unataka tukusaidie nini tofauti na kupigwa makofi?

Yani ujinga ni wako, umeshindwa kuacha unataka sisi tukusaidie. Hivi uko timamu kweli?
Sehemu ya kupata maada sahihi ni sehemu ya kurekebisha tabia. Fanya kosa lolote lenye kukutia hatiani alafu ukimbilie polisi.... Baada ya miezi kadhaa au miaka kadhaa utarekebishika
Unazidi kumuongezea stress kijana wa watu...

Don't overstress him na kumfanya ajione sio chochote au amekosea maisha....

Katika vitu ambavyo sitakaa nivifanye ni kuignore someone who needs help kisa kwangu inaonekana kidogo...na hii ndo inasababisha vijana wawaogope wazazi, kaka zao nk katika kuwaelezea ukweli na wanayopotia..
Imagine huyu mtoto kaacha ndugu zake na wote wanaomzunguka na naamini tatizo ni hili hili anajaribu kutafuta msaada wanamuignore...

Haya ndo yamesababisha kiwango cha depression, anxiety nk kuwa kubwa kwa vijana
 
Unazidi kumuongezea stress kijana wa watu...

Don't overstress him na kumfanya ajione sio chochote au amekosea maisha....

Katika vitu ambavyo sitakaa nivifanye ni kuignore someone who needs help kisa kwangu inaonekana kidogo...na hii ndo inasababisha vijana wawaogope wazazi, kaka zao nk katika kuwaelezea ukweli na wanayopotia..
Imagine huyu mtoto kaacha ndugu zake na wote wanaomzunguka na naamini tatizo ni hili hili anajaribu kutafuta msaada wanamuignore...

Haya ndo yamesababisha kiwango cha depression, anxiety nk kuwa kubwa kwa vijana
Kweli kabisa umeongea vyema kabisa mtu kuomba ushauri maana ake anahitaji njia ya kutoka kwenye hicho anacho omba ushaur so inapotokea mtu kama huyo anakashfu inaktisha tamaa wengne matatzo kama haya tuna aibu kuelezea watu wa karibu lakin hku mtandaoni Kuna watu wengi wasom wenye uelewa
 
Sasa unataka tukusaidie nini tofauti na kupigwa makofi?

Yani ujinga ni wako, umeshindwa kuacha unataka sisi tukusaidie. Hivi uko timamu kweli?
Sehemu ya kupata maada sahihi ni sehemu ya kurekebisha tabia. Fanya kosa lolote lenye kukutia hatiani alafu ukimbilie polisi.... Baada ya miezi kadhaa au miaka kadhaa utarekebishi

Sasa unataka tukusaidie nini tofauti na kupigwa makofi?

Yani ujinga ni wako, umeshindwa kuacha unataka sisi tukusaidie. Hivi uko timamu kweli?
Sehemu ya kupata maada sahihi ni sehemu ya kurekebisha tabia. Fanya kosa lolote lenye kukutia hatiani alafu ukimbilie polisi.... Baada ya miezi kadhaa au miaka kadhaa utarekebishika
Nashukuru kwa mchango wako
 
Back
Top Bottom